Kataa wahuni ameapishwaUnayeyuka
Muhuni wako ameapishwaTunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Muwage na akiba ya manenoTunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Ni zamu yako sasa na wewe kutumia majina yako matatu kumpigania.Kuna mvundo mmbaya sana kwenye hili. Hata uvunjajibwa katiba.
Humprey PolePole.
kwa taadhima uombe kukataa uteuzi huu wa chuki na kutaka kukunyamazisha. Huo Ubalozi sisi wananchi tunataka uwe BALOZI WA MAGUFULI na Afrika na sio kwenda kwenye tundu hili la sindano.
Gaucho, #BALOZIWA MAGUFULIFICATIONNASIOWAWAHUNI.
Aluta Continua
Kampeni ya Kukataa Wahuni Tanzania ndio itakuwa imeishia hapa sasa...Poleni sana wote mliokuwa mnakataa wahuni Tanzania..Kataa wahuni ameapishwaView attachment 2151317
Kibaya zaidi wahuni wanaenda kumpa darasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kampeni ya Kukataa Wahuni Tanzania ndio itakuwa imeishia hapa sasa...Poleni sana wote mliokuwa mnakataa wahuni Tanzania..
Wahuni watu wabaya sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kampeni ya Kukataa Wahuni Tanzania ndio itakuwa imeishia hapa sasa...Poleni sana wote mliokuwa mnakataa wahuni Tanzania..
Wahuni wamempa ajira[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Balozi wa Tz nchini Malawi Ndg. H.Polepole
Pole ameshakula kiapo kudadekiTunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Imeisha hiyo 🤣🤣Wahuni watu wabaya sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2151332View attachment 2151333
Huo upuuzi ulioandika hapo wala sitetereki. Kawatishe wadini wenzako huko.Ni zamu yako sasa na wewe kutumia majina yako matatu kumpigania.
Hahaha anamtoa mwenzie kafara ilhali yeye kajibanza jfNi zamu yako sasa na wewe kutumia majina yako matatu kumpigania.
Kwani Polepole ana umri gani? Mimi ananichanganya kabisa kiukweli.Being an ambassador at that age too sarcastic really.
Nchi hii kuna mainjinia wa kihuni sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Imeisha hiyo [emoji1787][emoji1787]