Sitarajii Polepole kuapishwa kesho, ukibisha ungana na timu wahuni

Kwani ubalozi sio kazi mpaka akatae?? Huyo aliyempa ubunge akakubali haikuitwa uhuni au kunyamazishwa na ndo huyo huyo kaona slow slow anafaaa kwenda kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia huko Malawi, kama ni shule ya ungozi huko pia wapo wanahitaji hiyo kozi atapata wanafunzi wapya, aende tuu
 
Muhuni wako ameapishwa
 
Mwanzia uzi ,njaa haijawahi kua na adabu na wanasiasa wa Tanzania sio wa kuwaamini kabisa mwamba Polepole ashaapa na mjini Lilongwe atakwenda ,usije shangaa ata Makonda anapata Teuzi tena awamu hii.
 
Muwage na akiba ya maneno

Kingine usimuweke mdhamana Mwanasiasa

Hivi nyie bado mnawaamini

Ova
 
Ni zamu yako sasa na wewe kutumia majina yako matatu kumpigania.
 
Kampeni ya Kukataa Wahuni Tanzania ndio itakuwa imeishia hapa sasa...Poleni sana wote mliokuwa mnakataa wahuni Tanzania..
Kibaya zaidi wahuni wanaenda kumpa darasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kampeni ya Kukataa Wahuni Tanzania ndio itakuwa imeishia hapa sasa...Poleni sana wote mliokuwa mnakataa wahuni Tanzania..
Wahuni watu wabaya sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pole ameshakula kiapo kudadeki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…