Sitasahau usiku ule: Alinifukuza kwake usiku kisa mwanamke!

Hawa walikuwa madogo akili wote sawa [emoji1] sasa utananii vipi huku unajua mwenzako yupo chumba cha pili tena utakuta hakina hata mlango ndio maana jamaa alivyoinuka tuu dada wa watu kasikia kaanza kupiga kelele

[emoji23][emoji23][emoji23] bi dada alijua wanataka kumfanya mbuzi wa kafara
 
Kanichekesha alivyoibuka km Rambo [emoji23][emoji23][emoji23]

Na muongo anasingizia kukosa hewa eti!! Yeye aseme walimtia stimu akadinda [emoji23][emoji23] alitaka akapige MMF pumbavu zake
Jamaa ilitakiwa atoe tu pua zake nje aendelee kuuchapa usingizi sasa yeye kaibuka mzima mzima πŸ˜„
Ila sio poa ufunikwe na minguo michafu sipatii picha inavyowasha πŸ˜†
 
Jamaa ilitakiwa atoe tu pua zake nje aendelee kuuchapa usingizi sasa yeye kaibuka mzima mzima [emoji1]
Ila sio poa ufunikwe na minguo michafu sipatii picha inavyowasha [emoji38]

Unakuta kamuwekea na boksa lake shenzy huyo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume tuishi humu.[emoji123]
 
Jamaa ilitakiwa atoe tu pua zake nje aendelee kuuchapa usingizi sasa yeye kaibuka mzima mzima [emoji1]
Ila sio poa ufunikwe na minguo michafu sipatii picha inavyowasha [emoji38]
Jamaa itakua walimpandisha stimu na zile kelele akatoka mafichoni [emoji2][emoji2][emoji2]
 
[emoji1787]em ngoja aje atujibu. Alikua na sababu gani ya kunyanyuka mzima mzima si angetafuta kauwaz apate hewa atulie
Yeye mwenyewe akiwa huko kwenye handaki alimsikia bi dada akimpiga biti mwamba πŸ˜„ alafu sipatii picha dada angefumua nguo alafu akute mtu ingekuwa ni kituko cha mwaka πŸ˜†
 
Kuna mambo mengine ukisimuliwa unabaki tu unacheka.Pole sana mwamba Dunia uwanja wa fujo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…