Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

Sitathubutu kuoa mwanamke mwenye elimu duni

Tatizo lenu mnashindwa kutofautisha akili, Elimu na Kwenda shule.

Akili mtu anazaliwa nayo. Hata asipopata fursa ya kwenda shule bado atajifunza vitu vya msingi katika maisha kulingana na mazingira aliyokuwa nayo na maisha yatasonga.

Elimu ni ufahamu juu ya jambo au nyanja fulani. Hii hupatikana kwa kufundishwa na kujifunza. Kupata elimu si lazima uende shule. Mtu yeyote mwenye akili na basic education: darasa la saba anaweza kujiendeleza ki elimu hata nje ya mfumo rasmi na akawa mtu makini sana.

Kwenda shule ni kupata fursa ya kujielimisha kupitia mfumo rasmi. Kutegemea na akili ya mtu, shule hadi degree, zina zalisha watu wa aina tatu

1. Watu wenye kukarili mambo. Hawa mara nyingi hawajui kitu kingine zaidi ya kukarili walichofundishwa. Watu hawa huwa na ufaulu wa kati na mara nyingi hata kazini ni watu wa kusubiri kuelekezwa kitu cha kufanya. Huweza kazi za routine zisizo hitaji kufikiri. Hawa watu ndo mara nyingi hupenda kujivunia vyeti (kwenda shule) ili kuficha udhaifu wao.

2. Watu wanao karili na kuelewa kidogo. Watu hawa huwa na ufaulu wa wastani. Huelewa mambo ya shule na kidogo mambo ya nje ya shule. Watu hawa wanaweza kufanya kazi za routine na zile zisizo za routine ila kwa usimamizi na maelekezo ya kila mara.

3. Kundi la mwisho ni watu wenye elimu. Hawa ni watu wenye akili na wamepata fursa za kula vidato. Huelewa mambo mengi maana hupenda kujisomea. Kazini huwa ma think tank..kupanga mikakati, mbinu na kuboresha utendaji. Hupenda na huweza kufanya kazi za akili na siyo routine. Wanaitwa knowledge workers.

Nadhani mtoa mada ni mtu kundi la kwanza. Hata namna alivyo wasilisha hoja yake inaonekana kabisa amekarili tu mambo fulani na kujiona ana elimu.

Uandishi wowote wa mtu aliye elimika huzingatia kanuni ya 4W1H. 4-W's ni What, Who, Why, When na H Moja ni How.

Siku zote unapoandika kwa kuzingatia kanuni hii...msomaji ataelewa na kuridhika na andiko lako bila kubaki na maswali mengi. Nawasilisha
 
Wewe mwenye Uzi ni pumbavu Sana Baba ako kaishia darasa la Saba b na mama yako aliishia la 4 lakini wamekuzaa na kukulea wewe punda mpaka ukajielewa.....Leo ndio umeanza gubu ....sema nini mwana huna nyota Tu ya kutoka kutokana na tabia yako ya kiduwanzi .........usisingizie huyo demu ......kumbuka hata Baba yako alikuwa bingwa WA kuangua mapera shuleni kwao lakini alipendwa na mama yako.........don't lookin past ......
Hapa hauna hoja zaidi ya kudhihirisha uzamani badala ya ufahamu. Mazingira waliyoishi wazazi ni tofauti na maisha ya sasa. Kuanzia shughuli za kiuchumi, values nk. Unachosema hapo ni kuwa hautakiwi kuwaza gari kwa kuwa mzee wako aliishi kwa furaha akitembea kwa miguu. Jamaa yangu mmoja anasema, kukomaa katika historia bila kuangalia mahitaji yaliyopo ni alama ya mtu anayekumbatia umasikini
 
Tatizo lenu mnashindwa kutofautisha akili, Elimu na Kwenda shule.

Akili mtu anazaliwa nayo. Hata asipopata fursa ya kwenda shule bado atajifunza vitu vya msingi katika maisha kulingana na mazingira aliyokuwa nayo na maisha yatasonga.

Elimu ni ufahamu juu ya jambo au nyanja fulani. Hii hupatikana kwa kufundishwa na kujifunza. Kupata elimu si lazima uende shule. Mtu yeyote mwenye akili na basic education: darasa la saba anaweza kujiendeleza ki elimu hata nje ya mfumo rasmi na akawa mtu makini sana.

Kwenda shule ni kupata fursa ya kujielimisha kupitia mfumo rasmi. Kutegemea na akili ya mtu, shule hadi degree, zina zalisha watu wa aina tatu

1. Watu wenye kukarili mambo. Hawa mara nyingi hawajui kitu kingine zaidi ya kukarili walichofundishwa. Watu hawa huwa na ufaulu wa kati na mara nyingi hata kazini ni watu wa kusubiri kuelekezwa kitu cha kufanya. Huweza kazi za routine zisizo hitaji kufikiri. Hawa watu ndo mara nyingi hupenda kujivunia vyeti (kwenda shule) ili kuficha udhaifu wao.

2. Watu wanao karili na kuelewa kidogo. Watu hawa huwa na ufaulu wa wastani. Huelewa mambo ya shule na kidogo mambo ya nje ya shule. Watu hawa wanaweza kufanya kazi za routine na zile zisizo za routine ila kwa usimamizi na maelekezo ya kila mara.

3. Kundi la mwisho ni watu wenye elimu. Hawa ni watu wenye akili na wamepata fursa za kula vidato. Huelewa mambo mengi maana hupenda kujisomea. Kazini huwa ma think tank..kupanga mikakati, mbinu na kuboresha utendaji. Hupenda na huweza kufanya kazi za akili na siyo routine. Wanaitwa knowledge workers.

Nadhani mtoa mada ni mtu kundi la kwanza. Hata namna alivyo wasilisha hoja yake inaonekana kabisa amekarili tu mambo fulani na kujiona ana elimu.

Uandishi wowote wa mtu aliye elimika huzingatia kanuni ya 4W1H. 4-W's ni What, Who, Why, When na H Moja ni How.

Siku zote unapoandika kwa kuzingatia kanuni hii...msomaji ataelewa na kuridhika na andiko lako bila kubaki na maswali mengi. Nawasilisha
Maelezo ni mengi sana, ila nikuambie hivi. Ufahamu wa mtu unatokana na exposure, moja kati ya kitu kinamuexpose mtu kwa ukubwa ni elimu. Mtu asiye na uwanda mpana wa elimu anakuwa na fikra finyu relative to mtu mwenye uwanda mpana wa elimu. Japokuwa kuna mtu anaweza asiwe ameenda shule akawa na ufahamu lakini hao ni wachache sana ukilinganisha na idadi inayotoka kwa wenye exposure kubwa.

Shida nyingine ni kuwa wanaume wengi tunajifunga kwenye uzamani katika ulimwengu wa sasa hali inayoleta shida anapokutana na mwanamke mwenye exposure(Elimu), thus kuna watu hawawezi kuishi na watu wenye Masters, PhD kwa kuwa hawaendani na exposure iliyopo.
Mimi sio mzamani nafahamu mahitaji ya ulimwengu wa sasa, na najua nafasi ya elimu ukiacha porojo zote ulizoandika kuhusu elimu.
 
Mkuu kama hutajali naomba tu badilishani wa kwangu ana MA in sociology siku hizi ameanza kutafuta scholarship kusoma PhD nje ya nchi, mimi niko serious naomba unipe huyu wa form 4 hata akiwa darasa la saba sitajali tu ili mradi bado anaweza kuzaa watoto na kulea wengine, huyu wa kwangu ni memzalisha watoto wawili utaongezea hapo. mkuu ni pm tuyajenge plz umchukuwe huyu buana.
Ewaa, tena ana MA ya socialogy, huyo ni mtu hasaa wa kuwa naye... na hadi anatafuta kusoma zaidi, huyo ndiye haswaa size yangu.

Njoo tuyajenge, siwezi kuwa na mwanamke ambaye hafikiri miaka 100 ijayo. hawa wasomi ndio nawataka
 
My opinion, wanaume ambao hawajasoma mara nyingi wanayajua maisha na wapambanaji, na ndio maana easy kutoboa maisha,,tofauti na wasomi 😁 wengi wao mazezeta, yani sio watu wa kazi, na hata tabia zao za ajabu ajabu tuu.

Kuhusu kuowa,,,ukiowa msomi kubali umeolewa,,but sio wote.

Wanawake jitambueni, usiangalie mwanamume aliesoma, angaria tabia yake,,na kwa mwanamume kwenda kwa mwanamuke iwe ivyo ivyo.

Nimemaliza wazehe

S
Well said mkuu, hakuna tajiri msomi,ngumbaro wenzangu mje tulisongeshe gurudumu pamoja,nyie mnaotaka waliosoma mkafungue vyuo vyenu.
 
Wazaramo walipokutana na Waarabu koko walisema..

"The grass is not greener on the other side,, it is greener where you water it"

Unachofanya ni kuhama nchi kwa sababu ya Mvua.
 
Wasomi ndiyo wabaya zaidi, maana wana degree ya darasani na degree ya kusuck dick.
 
Well said mkuu, hakuna tajiri msomi,ngumbaro wenzangu mje tulisongeshe gurudumu pamoja,nyie mnaotaka waliosoma mkafungue vyuo vyenu.
Kwa takwimu watu ambao hawajasoma na wamefanikiwa ni wachache kuliko waliosoma na kufanikiwa. Lakini kwa kuwa mnawasikiliza motivational speakers huwa mnaacha shule na kufuata wanayosema na kuzidisha ugumu.

Kaa tulia andika listi ya waliofanikiwa bila shule na waliofanikiwa kwa shule utajua kipi cha kufuata.
Sasa kuta unakutana na mwanamke anaongea mambo bila facts bali porojo za motivational speakers, aisee huwa naona taabu kwa kweli
 
Kwa takwimu watu ambao hawajasoma na wamefanikiwa ni wachache kuliko waliosoma na kufanikiwa. Lakini kwa kuwa mnawasikiliza motivational speakers huwa mnaacha shule na kufuata wanayosema na kuzidisha ugumu.

Kaa tulia andika listi ya waliofanikiwa bila shule na waliofanikiwa kwa shule utajua kipi cha kufuata.
Sasa kuta unakutana na mwanamke anaongea mambo bila facts bali porojo za motivational speakers, aisee huwa naona taabu kwa kweli
Don't take it serious mkuu we are just refreshing mind,life is too tough we are trying to share different ideas.at the end Kila mtu ana mtazamo wake Kuna mtu hapendi kuoa msomi Kwa mtazamo kuwa atamsumbua pia Kuna anayetaka kuoa msomi mwenzake pia Kwa maana watakwenda sawa,ambacho nakuona Mimi right Kwa mwingine is not right
 
Nimesikia watu kadhaa wakisema wanawake wasiosoma ndio wazuri, lakini naona kwa karne ya sasa hali inaweza kuwa tofauti.

Nimewahi kuwa na wasichana kadhaa, wengi wao ni wale ambao nafanana nao elimu, ila nikajitela kuja kuishi na mwanamke ambaye nimemuacha parefu.

Aisee sio kwa balaa hili, kwa kweli, nimewakumbuka sana wasichana niliokuwa nao enzi hizo, yaani naona nimeacha dhahabu nikaokota jiwe.

Yaani kwa sasa siwazi tena manzi yoyote nikitongoza akikubali na nikiona anafaa, hapa nilipo naondoka, naacha huyu mwanamke dunia imtie ilimu.

Na sitachukua mwanamke walau mwenye diploma, ila pia awe tayari kujiendeleza, sio aone ndio kashafika, asogee sogee kielimu tufanane kama ni gap lisiwe kubwa kihivyo.

Nikitongoza mwanamke akisema ni Form Four huwa mzuka unapotea, maana huwa najua mbali na kutongoza unaweza kusema hapa nafanya ya kufanya naondoka halafu unakuta umenasa, sasa ili kuweka mambo vizuri naanza awali kabisa.

Na hii sio kama nawashusha thamani walioshia form four, ni hali ya kawaida tu, sawa na mwanamke kusema anataka mwanaume mwenye hela, au mrefu. Preferences
[emoji1787][emoji1787]balaa hili tena..... Kwani we una elimu ipi?!...... ayajakukuta ya kukukuta ww..... Kwani unaoa degree au unaoa nn?!...... Jichanganye alaf leta mrejesho [emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Sisi wa form2..Mungu aingilie Kati😔
 
Una ulimbukeni wa vyuo jamaa yangu, acha nikuchane tu maana wanaume huwa hatuoneani aibu unapoona mwanaume mwenzako anapotea, tena watu kama nyie ndo wale walifauru kwa kuangalizia mpaka wakajikuta wapo chuo kikuu, sorry kwa kukwambia ukweli,
Katika maisha huwa sipendi mwanadamu ajisifu kwa magari, pesa, mavazi, nyumba, huu ni ujinga,
Jisifu unatoa huduma gani kwa jamii na ni jamii ya watu wangapi wananufaika na huduma yako.
uliza walio oa darasa la nne jinsi wanavyo fanya maendeleo kuliko waliotoka vyuo vikuu.
Ridhiki ya mtu haifananii na kiwango cha elimu.

narudia tena sorry kwa kukufumbua macho maana naona upo usingizini
 
Una ulimbukeni wa vyuo jamaa yangu, acha nikuchane tu maana wanaume huwa hatuoneani aibu unapoona mwanaume mwenzako anapotea, tena watu kama nyie ndo wale walifauru kwa kuangalizia mpaka wakajikuta wapo chuo kikuu, sorry kwa kukwambia ukweli,
Katika maisha huwa sipendi mwanadamu ajisifu kwa magari, pesa, mavazi, nyumba, huu ni ujinga,
Jisifu unatoa huduma gani kwa jamii na ni jamii ya watu wangapi wananufaika na huduma yako.
uliza walio oa darasa la nne jinsi wanavyo fanya maendeleo kuliko waliotoka vyuo vikuu.
Ridhiki ya mtu haifananii na kiwango cha elimu.

narudia tena sorry kwa kukufumbua macho maana naona upo usingizini
Kuna kitu kimoja unashindwa kukijua kwamba you have your rules, I have my rules. Post haijasema 'USIOE...' Bali, "Sita..' yaani nimejitaja mwenyewe.
Kwa kuheshimu uhuru wa maamuzi huwa nakubali mwanamke akinikataa kwa kusema sina fedha, sina gari au chochote ambacho yeye ni kigezo chake cha kutokuwa na mwanaume. The same way na mimi nina vigezo vyangu kwa mwanamke. i.e, sichukui mwanamke chini ya diploma.
Unachokifanya hapo ni kutaka your rules to be my rules. Hebu nikuulize una wanawake wangapi ambao hauthubuti hata kuwatongoza, and why? ukijua hilo utajua vigezo vyako vya kuchukua msichana, vyangu ni elimu! elimu!elimu!
 
Una ulimbukeni wa vyuo jamaa yangu, acha nikuchane tu maana wanaume huwa hatuoneani aibu unapoona mwanaume mwenzako anapotea, tena watu kama nyie ndo wale walifauru kwa kuangalizia mpaka wakajikuta wapo chuo kikuu, sorry kwa kukwambia ukweli,
Katika maisha huwa sipendi mwanadamu ajisifu kwa magari, pesa, mavazi, nyumba, huu ni ujinga,
Jisifu unatoa huduma gani kwa jamii na ni jamii ya watu wangapi wananufaika na huduma yako.
uliza walio oa darasa la nne jinsi wanavyo fanya maendeleo kuliko waliotoka vyuo vikuu.
Ridhiki ya mtu haifananii na kiwango cha elimu.

narudia tena sorry kwa kukufumbua macho maana naona upo usingizini
Jibu lingine, hakuna sehemu mtu amejisifu bali umejistukia. Wanasaikolojia wanaita inferiority complex. Eti umetoa huduma gani? Aah, kila mtu anaishi vile anaweza i.e., mimi sio mtu wa kusapoti philanthropy, kila mtu abebe mzigo wake.
Nikiwa na shida silii kwa mtu ukiwa na shida usije kulia kwangu, mimi nina shida zangu nizikilize zako za nini?
Kila mtu ashinde mechi zake.
 
Wanaume nanyie mbona hamueleweki...
Moja kati ya kosa kubwa ni kusema 'Wanaume hivi' au 'Wanawake hivi'. Tumia neno 'Watu' ambao hatufanani. Mimi nataka 'elimu' haimaanishi kuwa na represent wanaume wote, wapo wanaopagawa na 'tako'. kwa hiyo jua kuwa una mtu ambaye anahitaji hasaa vigezo ulivyonavyo, ukienda kwa mtu tofauti ndio utasema kuwa 'Watu hawaeleweki'
 
[emoji1787][emoji1787]balaa hili tena..... Kwani we una elimu ipi?!...... ayajakukuta ya kukukuta ww..... Kwani unaoa degree au unaoa nn?!...... Jichanganye alaf leta mrejesho [emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Honestly! Naoa 'Mwanamke mwenye elimu'. Ingekuwa mtu anao mwanamke tu, basi wale wadada watembeza vitu wangeolewa kirahisi kwa kuwa hawana gharama.
 
Back
Top Bottom