Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Itaendelea au imeisha?Nilipata demu nikiwa kijana kijana, tukatoka kwenda naye Ngwasuma, 2007 hiyo Ngwasuma wanapiga Makumbusho Village
. Ukumbi ulikuwa unajaza sana, Ngwasuma walikuwa wanapendwa sana.
Watu walikuwa wakitoka Tunduma, Mwanza , Kahama etc kuja kuwaona Ngwasuma, hivyo ni lazima uingie ukumbini mapema ukitaak ukae.
Saa 1⅞ jioni niko na huyu binti Ngwasuma, nikaitisha mbuzi portions mbili na yeye chips na robo kuku, nikamwambia agiza nusu kuku akikushinda nitakusaidia.
Mezani nimelaza maji na konyagi kubwa , zamani ilikuwa ya chupa ya round, sio hili jibapa.
Binti aliagiza Coca-Cola nne, ndani ya muda mfupi akawa amezifuta na kaagiza nyingine.
Hadi tunatoka mziki demu kazinywa koka na soda nyingine mchanganyiko zaidi ya 19, kisa hanywi pombe.
Afya ya akili ni muhimu kwenye maishaNilipata demu nikiwa kijana kijana, tukatoka kwenda naye Ngwasuma, 2007 hiyo Ngwasuma wanapiga Makumbusho Village
. Ukumbi ulikuwa unajaza sana, Ngwasuma walikuwa wanapendwa sana.
Watu walikuwa wakitoka Tunduma, Mwanza , Kahama etc kuja kuwaona Ngwasuma, hivyo ni lazima uingie ukumbini mapema ukitaak ukae.
Saa 1⅞ jioni niko na huyu binti Ngwasuma, nikaitisha mbuzi portions mbili na yeye chips na robo kuku, nikamwambia agiza nusu kuku akikushinda nitakusaidia.
Mezani nimelaza maji na konyagi kubwa , zamani ilikuwa ya chupa ya round, sio hili jibapa.
Binti aliagiza Coca-Cola nne, ndani ya muda mfupi akawa amezifuta na kaagiza nyingine.
Hadi tunatoka mziki demu kazinywa koka na soda nyingine mchanganyiko zaidi ya 19, kisa hanywi pombe.
Ata mwanaume coca 19 mchezo 4 Tu shughuliHakua mwanamke huyo.
Na shetani anakupa wa kufanana naye..!!Hawa wanawake zako sijui unawatoaga wapi 🤣🤣
Huyu kapishana kidogo na yule kiwavi
Sio kila pisi kali ina akiliAfya ya akili ni muhimu kwenye maisha
Afadhili sikufanya naye mambo ya shetani. Tuliishia kulisakata dansi tuNa shetani anakupa wa kufanana naye..!!
Shetani anajaribu kunitega lakini anajikuta ni yeye ndio anayezama shimoniHawa wanawake zako sijui unawatoaga wapi 🤣🤣
Huyu kapishana kidogo na yule kiwavi
Alikuwa anafusa cha Yusufu, fuuuuuuuuuuuHahahahaha dah! Hakupasuka tumbo?
Kumnunulia soda 19 si mambo ya KIMUNGU hata kidogoAfadhili sikufanya naye mambo ya shetani. Tuliishia kulisakata dansi tu
Nimecheka sana aiseeee...... halafu yule dada alikuwa mzuri kuliko hela, kwa mtazamo wa tamaaItaendelea au imeisha?
Haha haha hahah alikuwa ni ajenti wa kuzimuKumnunulia soda 19 si mambo ya KIMUNGU hata kidogo
Na kila kizuri huwa tunakitamani..!! Kwani kuna mtazamo mwingine? KAma upo unaitwaje?Nimecheka sana aiseeee...... halafu yule dada alikuwa mzuri kuliko hela, kwa mtazamo wa tamaa
Raha ya pisi kali ni kuona na kusikia!. Karibu mitaa hii uone baadhi ya hazina Enjoy Black Beauty: Did You Know They Are Two Types?!. Black Inside Out & Black Out, Inside Red!.Nilipata demu nikiwa kijana kijana, tukatoka kwenda naye Ngwasuma, 2007 hiyo Ngwasuma wanapiga Makumbusho Village. Ukumbi ulikuwa unajaza sana, Ngwasuma walikuwa wanapendwa sana.