Mkuu umenikumbusha mbali.Kwa sisi wengine imebaki kumbukumbu tu ya those golden daysTui......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umenikumbusha mbali.Kwa sisi wengine imebaki kumbukumbu tu ya those golden daysTui......
Umenikumbusha demu wangu mmoja jina Fatma mtoto wa Kilavu bonge la pisi alikuwa anafanya shivacom enzi hizo akiishi maeneo ya tabata she'll, bonge la pisi mswambwanda halafu mwepesi mno, sijui yuko wapi, nilipata Ramani za kumpata pale ngwasuma. Tukitoka ngwasuma tunaingia Mzalendo pub Kwa Jay Dee, millennium tower, breakpoint ya moto enzi hizo, dadeki maisha matamu sana, hapo maeda club iko poa, Ambience, hongera bar, Ile bar opposite na ITV, The G's pub, Dadeki misosi ya Yenu Bar.Nilipata demu nikiwa kijana kijana, tukatoka kwenda naye Ngwasuma, 2007 hiyo Ngwasuma wanapiga Makumbusho Village. Ukumbi ulikuwa unajaza sana, Ngwasuma walikuwa wanapendwa sana.
Watu walikuwa wakitoka Tunduma, Mwanza, Kahama etc kuja kuwaona Ngwasuma, hivyo ni lazima uingie ukumbini mapema ukitaka ukae.
Saa 1⅞ jioni niko na huyu binti Ngwasuma, nikaitisha mbuzi portions mbili na yeye chips na robo kuku, nikamwambia agiza nusu kuku akikushinda nitakusaidia.
Mezani nimelaza maji na konyagi kubwa, zamani ilikuwa ya chupa ya round, sio hili jibapa. Binti aliagiza Coca-Cola nne, ndani ya muda mfupi akawa amezifuta na kaagiza nyingine.
Hadi tunatoka mziki demu kazinywa koka na soda nyingine mchanganyiko zaidi ya 19, kisa hanywi pombe.
When life was really goodMkuu umenikumbusha mbali.Kwa sisi wengine imebaki kumbukumbu tu ya those golden days
Marland Bar, Ile bar opposite na ITV
Ubungo hiyo, walikuwa wanajua sana aiseeDadeki misosi ya Yenu Bar.
Kulikuwa na chimbo linaitwa Chagga Bite. Ile miaka ya mwisho ya Mkapa, aliachia sana hela, alivyoingia Kikwete ndio akafanya kufuruUmenikumbusha demu wangu mmoja jina Fatma mtoto wa Kilavu bonge la pisi alikuwa anafanya shivacom enzi hizo akiishi maeneo ya tabata she'll, bonge la pisi mswambwanda halafu mwepesi mno, sijui yuko wapi, nilipata Ramani za kumpata pale ngwasuma. Tukitoka ngwasuma tunaingia Mzalendo pub Kwa Jay Dee, millennium tower, breakpoint ya moto enzi hizo, dadeki maisha matamu sana, hapo maeda club iko poa, Ambience, hongera bar, Ile bar opposite na ITV, The G's pub, Dadeki misosi ya Yenu Bar.
Maryland Bar huwa naisahau sana hio bar Nina historia nayo nikiwa na Demu bonge mmoja wa back-office pale ITV ofisi moja na Tom Obare, sijui Bonge wangu Subira Bado yupo?Marland Bar
Ubungo hiyo, walikuwa wanajua sana aisee
Kumtafute Facebook. Huko ma old-school ndio utawapata. Wengine wameolewa, lakini sio kiviiiiileeMaryland Bar huwa naisahau sana hio bar Nina historia nayo nikiwa na Demu bonge mmoja wa back-office pale ITV ofisi moja na Tom Obare, sijui Bonge wangu Subira Bado yupo?
Inawezekana Subira alishindwa kusubiri.Siku nyingi zimepita.Maryland Bar huwa naisahau sana hio bar Nina historia nayo nikiwa na Demu bonge mmoja wa back-office pale ITV ofisi moja na Tom Obare, sijui Bonge wangu Subira Bado yupo?
DSM 2006-2010, badae nikazama Chaka iringa, njombe, na namtumbo kupanda migomba ya miti, baada ya Yale makamuzi ya pesa za Barclays, kuna mwamba alinipa imani akanipa Mgao, God is Good always Good, nikawa nazama one time untill recent past ndio nikarejea Dsm-Dodoma terrainKulikuwa na chimbo linaitwa Chagga Bite. Ile miaka ya mwisho ya Mkapa, aliachia sana hela, alivyoingia Kikwete ndio akafanya kufuru
Hahaaaa ila Tom nadhani Bado yupoKumtafute Facebook. Huko ma old-school ndio utawapata. Wengine wameolewa, lakini sio kiviiiiilee
Safi sana.DSM 2006-2010, badae nikazama Chaka iringa, njombe, na namtumbo kupanda migomba ya miti, baada ya Yale makamuzi ya pesa za Barclays, kuna mwamba alinipa imani akanipa Mgao, God is Good always Good, nikawa nazama one time untill recent past ndio nikarejea Dsm-Dodoma terrain
Thom sijui hata alipo. Wale watoto wa Maryland walishindwa ku run mali zote. Saa hizi hawana nyumba hata mojaHahaaaa ila Tom nadhani Bado yupo
Vipi huko hujalima parachichi?DSM 2006-2010, badae nikazama Chaka iringa, njombe, na namtumbo kupanda migomba ya miti, baada ya Yale makamuzi ya pesa za Barclays, kuna mwamba alinipa imani akanipa Mgao, God is Good always Good, nikawa nazama one time untill recent past ndio nikarejea Dsm-Dodoma terrain
Daaaah 😂😂😂😂😂😂 mamake 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Huyo demu anakunywa soda 19 mkuu unaweza ambatanisha picha yake hapa itasaidia kupunguza maswali...natanguliza shukrani kwa niaba.
Huko tuendako utasema weka na picha ya chupi yakeHuyo demu anakunywa soda 19 mkuu unaweza ambatanisha picha yake hapa itasaidia kupunguza maswali...natanguliza shukrani kwa niaba.
Parachichi hapana nilizama kwenye real estate, mortgages dodoma baada ya kusoma Ramani ya Magufuli inshallah, ntanunua mashamba 2025 Nina targets zanguVipi huko hujalima parachichi?
Safi sana. Real Estate inalipa sana Dodoma. Ingia kwenye Airbnb Platform utafurahia zaidiParachichi hapana nilizama kwenye real estate, mortgages dodoma baada ya kusoma Ramani ya Magufuli inshallah, ntanunua mashamba 2025 Nina targets zangu
Yani upige coca ukojoe twende vipi gesi yake ?Mhusika hajaeleza muda halisi uliotumika kupukutisha hizo soda.
Pia uelewe kuwa, soda zinawiana na pombe namna zinavyochujwa mwilini.
Ukinywa soda kibofu kikafunguka, hata creti unalimaliza peke yako bila shida yoyote.
Mkuu nina uzoefu sizungumzi kwa nadharia. Ukinywa ya kwanza ukaenda haja, endeleza ya pili uone utavofululiza uani!Yani upige coca ukojoe twende vipi gesi yake ?