Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Hapo target ni wewe mkuu sio hiyo pisi... yaan mada uliyoleta na wewe tunavokutambua hatujaamini mkuu 😂Sio kila pisi kali ina akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo target ni wewe mkuu sio hiyo pisi... yaan mada uliyoleta na wewe tunavokutambua hatujaamini mkuu 😂Sio kila pisi kali ina akili
Mimi ni mkulima na mfugaji, siwezi kulima nguo, au kufuga viatu. Lazima mazao yangu yaniletee vitu ambavyo mimi sina. (Wewe ni msomi, elewa lugha ya alama) Miongoni mwa zawadi ninazoletewa na maisha ya shamba, ni hizi pisi kali. Sio mbaya mara moja moja na mimi nikaonekana Akemi nikinywa Dom Perignon huku pembeni nina kisu kikali.Aaah hiyo ni moja ya fantasy yangu nikizeeka, Mimi Nina 20 nipo chuo first year na Bibi yangu pia ni mstaafu na yeye ni mfugaji wa kuku (hapo kwenye uhitaji wa tudemu vipi) ni shoo sio Tena unamkoromea kabisa ukimwagia Yale maji ya uzima 🤣🤣🤣🤣 kwani hukuoa mkuuu au wife alifariki?
Yes papa mopao nimeelewa hiyo tafsida mkuu shukranMimi ni mkulima na mfugaji, siwezi kulima nguo, au kufuga viatu. Lazima mazao yangu yaniletee vitu ambavyo mimi sina. (Wewe ni msomi, elewa lugha ya alama) Miongoni mwa zawadi ninazoletewa na maisha ya shamba, nihi pisi kali. Sio mbaya mara moja moja na mimi nikaonekana Akemi nikinywa Dom Perignon huku pembeni nina kisu kikali.
Maandishi yangu sio injili hadi muyaamini. Nilikuwa nakumbuka tu raha za zamaniHapo target ni wewe mkuu sio hiyo pisi... yaan mada uliyoleta na wewe tunavokutambua hatujaamini mkuu 😂
Karibu kwa swali lingineYes papa mopao nimeelewa hiyo tafsida mkuu shukran
Basi ukifika dar unaanza kuhangaika na magumegume yanakusafisha hela za mauzo zote unarudi shamba mweupe mkuu 😋😂😂Mimi ni mkulima na mfugaji, siwezi kulima nguo, au kufuga viatu. Lazima mazao yangu yaniletee vitu ambavyo mimi sina. (Wewe ni msomi, elewa lugha ya alama) Miongoni mwa zawadi ninazoletewa na maisha ya shamba, ni hizi pisi kali. Sio mbaya mara moja moja na mimi nikaonekana Akemi nikinywa Dom Perignon huku pembeni nina kisu kikali.
Yaan hatuamini kama ungeleta mada ya namna hii... tunakuheshimu sana bwana bujibuji 😂 ila leo hapanaMaandishi yangu sio injili hadi muyaamini. Nilikuwa nakumbuka tu raha za zamani
Unanishaurije Kama kijana mbichi (anayependa mafanikio na kutamani wanawake kwa wakati mmoja 😭😭😭)Karibu kwa swali lingine
Hizo soda hazikuwa na gas?😆😆Nilipata demu nikiwa kijana kijana, tukatoka kwenda naye Ngwasuma, 2007 hiyo Ngwasuma wanapiga Makumbusho Village. Ukumbi ulikuwa unajaza sana, Ngwasuma walikuwa wanapendwa sana.
Watu walikuwa wakitoka Tunduma, Mwanza, Kahama etc kuja kuwaona Ngwasuma, hivyo ni lazima uingie ukumbini mapema ukitaka ukae.
Saa 1⅞ jioni niko na huyu binti Ngwasuma, nikaitisha mbuzi portions mbili na yeye chips na robo kuku, nikamwambia agiza nusu kuku akikushinda nitakusaidia.
Mezani nimelaza maji na konyagi kubwa, zamani ilikuwa ya chupa ya round, sio hili jibapa. Binti aliagiza Coca-Cola nne, ndani ya muda mfupi akawa amezifuta na kaagiza nyingine.
Hadi tunatoka mziki demu kazinywa koka na soda nyingine mchanganyiko zaidi ya 19, kisa hanywi pombe.
Kazi na dawa... uwe makini tu wasikuue na ngwengwe ☻Unanishaurije Kama kijana mbichi (anayependa mafanikio na kutamani wanawake kwa wakati mmoja 😭😭😭)
Hapana bro, mimi ni mzee update. Kama ni Prado ni series 120 upgraded to 250Basi ukifika dar unaanza kuhangaika na magumegume yanakusafisha hela za mauzo zote unarudi shamba mweupe mkuu 😋😂😂
Nimekwepa mishale mingi mkuuKazi na dawa... uwe makini tu wasikuue na ngwengwe ☻
Shida naona Nina nguvu za kiume unlimited mkuu nikikuelezea Mikasa yangu yaani daah sijui itakua hivi mpaka uzee au ni kwa muda tu, 😭😭😭 nipo fresh class sema huku chini bwana loohKazi na dawa... uwe makini tu wasikuue na ngwengwe ☻
Umetisha mkuu! 😂👍🏾Hapana bro, mimi ni mzee update. Kama ni Prado ni series 120 upgraded to 250
Wee kwani bia na soda kipi kina gesi nyingi zaidi?Hizo soda hazikuwa na gas?😆😆
Na kweli hamna mkate mgumu kwa chai au ngariba haogopi mkojo.Cash ni kama tako, kila mtu analo. Mimi ni pensioner, nakula mafao yangu. Nina kuku, kondoo, bata, Ng'ombe, na mbuzi. Dada zenu na tudemu twenu wakiwa na uhitaji tunasaidiana. Unajua tena Ng'ombe huwa hazeeki maini.
Mhusika hajaeleza muda halisi uliotumika kupukutisha hizo soda.Ata mwanaume coca 19 mchezo 4 Tu shughuli