Sitosahau mara yangu ya kwanza kuingia Barbershop

Nina visa kuhusu bei huwa nacheka sana nikivikumbuka.

Kuna siku nimeenda dar, 2016 nadhani. Sasa kuna mpwa wangu alikuwa UD pale, ilikuwa nionane naye. Ukienda mjini, mwanachuo lazima umtoe chochote. nikamwambia niko "kagame hotel, kwa kuwa wewe ni mwenyeji, njoo maeneo haya, then twende saloon ya jirani mandevu yamekua na kesho kuna watu naonana nao siwezi enda hivi".
"Poa bro, nami nataka nikanyoe"

Tumefika barbershop, dogo kaanza, baadae nikafata kwa kinyozi wa pili mimi. Sasa dogo akawahi maliza. Nikamuuliza jamaa mnanyolea sh. Akaniambia 5k. Kichwani nikajua 10 wote. Mfukoni nina kama 70 tu. Lengo dogo nimtoe 50. Nimeingia kule chemba, nikamwambia yule dada naosha tu.

Pembeni dogo, nasikia scrub ya steam sijui, mara massage ya kichwa, mara mba.. Nikajua hapa shughuli ipo.

Bill kuja 40. Nikuuliza kivipi, kale kadada, kunyoa 10, steamer 15, massage ya kichwa 10, mba 5. Ntafanyaje sasa nikalipa. Ila nilichukia vibaya sana.

Dogo nikampa twenty, nikamwambia rudi chuo kesho tutaonana.
 
Digo unaingia Barbershop na buku,unataka wakuoe?,[emoji23]
 
hapo kwenye kulala njaa uliyataka mwenyewe ndugu😹😹😂🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
😅😅😅
Butternan ni kavu sana tena ukitaka ujue ukavu wake acha ipoe kabisa inakauka ile Kauka kiasi unaweza kumpiga nayo mtu akazimia.
Huwa wanakuja nayo hawa waarabu wa dpw nawaambia rudi nayo tu sili.
Waambie garlic butter nan next time,
Hiyo hatakuangusha,wakitoa jikoni lazima waipake siagi ya kitunguu swaumu inakua lainii mda wote na taste yake balaa.
Ule ikiwa moto.
 
Hiyo kitu Wana penda kula wahindi na waarabu baadhi 🤣😃.
👉Iko expensive Kutokana na sehemu🤣😃, pimbi wewe Manyanza
 
Kali sana, BONGE MOJA LA COMEDY
 
Umenifurahisha.Umenikumbusha mara ya kwanza kutumia tea bag tena hotelini .Kata kamba kwenye kikombe nikakatoboa na meno nikamimina kwenye kikombe.Wenyeji wangu wakabaki wamepigwa na butwaa.Ushamba mzigo.
Nimecheka kwa sauti aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…