Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Kijijini kwetu ulifyeka kijiji kizima, wamebaki watu wachache sana, nyumba ni nyingi kuliko watu.
Vijana kutoka mikoa mingine wanajikalia bure kwenye nyumba zilizoachwa
Mnatakiwa information km hizi ziwekwe kwa uwazi na kutaja mtaa au Kijiji husika unaweza kuongeza awareness wengi hudhani taarifa zisizokuwa detailed ni chai humu

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Nina Aunt yangu anaishi nao huu ugonjwa sasa akismbiwa aende Hospital akapate ARV's hataki eti kaokoka na nabii wao kawaaminisha kuwa ukimwi hauwezi muua saivi kakonda balaa.
Huwa hawataki kutumia dawa. Usihangaike na counseling tumia nguvu za mwili. Kamata weka ktk gari peleka hospital. Iko hivyo.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kwanini unaficha huo huo mtaa? Kila saa unaandika herufi moja herufi moja! Weka wazi nani anakujua hapa? Na hata akikujua yadhuru nini? Hapa unaweza kuongeza awareness just tu kuutaja na huo mtaa.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Hii elimu ya hii issue watu wengi hatuna. Nafkiri Kuna haja ya kutoa elimu kama hii ki usahihi. Nafkiri semina za ukimwi nyingi zinafanywa na watu ambao siyo medical practioners. Kwa mfano pamoja na kuhudhuria au kusikia elimu ya ukimwi lakini sikuwahi kusikia hili.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Okoka ndugu, hiyo ndio pona yako ilipo.
 
Kwa waliosoma vyuo vikuu wanaelewa rate ya maambukizi ilivyo kulingana na mahusiano holela ya vyuoni. Ukitaka story ya rate ya maambukizi vyuoni jenga urafiki na wauguzi wa kike wa hospital za vyuo. Huwa hawana kuficha ficha wanakwambia hali halisi ilivyo. Wewe ndo uamue mwenyewe.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Ila kuna kitu kimefichwa kwenye AIDS ikitokea kwenye familia mmoja akaupata trust me lazima na wenzie aidha Wawili Au watatu watapata,ni kitu kama laana hivi but anyway naendelea na tafiti
I think ni no mawazo yako tuu. Ukimwi siyo ugonjwa wa vizalia. Uambukizeaji wake haufati mtiriko wa familia unless wewe ujichanganye mwenyewe.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 

Mavyuoni ni hatari ,ndiyo wapo moto kila kitu wanataka kujaribu hivyo wanaungua sana.
 
Lakini nafkiri virus ana limitations ktk kusurvive kwake akiwa nje ya mazingira fulani hasa ya damu au majimaji fulani. Nikifikiria vifaa vya saluni jinsi vinavyotunzwa. Halafu kuna ile bandika bandua ya kutumia mashine moja ya saluni nahisi wanaume wengi tungekuwa waathirika.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Mavyuoni ni hatari ,ndiyo wapo moto kila kitu wanataka kujaribu hivyo wanaungua sana.
Nimeona jamaa anabisha concept ya watoto wa mama Salma. Lakini hiyo issue tulisikia sana miaka ya 2010s. Labda hiyo program ilishaisha lakini hicho kitu kilikuwepo.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Hii Tanzania nyumba ziachwe mpka watu wakae bure? Acheni story za kitoto basi!
Tembea uone Ndugu yangu...kuna sehemu nilifika nikakabidhiwa nyumba full kwa sh. 3000.....nikae kwa miezi mitatu...hiyo elfu tatu nilimpa balozi alienionyesha hiyo nyumba niishi....vijijini hizo nyumba ni nyingi sana tu...
 
Hii ni kweli kabisaaa,..Nimeona watu wengi wakisemekana wanasumbuliwa na figo, kansa mara kifua au presha,... lakini chini ya kapeti wengi wao ni Waathirika......
 
Bila kusahau migodini,...nimeshuhudia mengi sana Chunya,...baadhi ya vijiji, huitaji kuwa mtaalamu kujua hiki kijiji kimewaka....
 
Kila mmoja anasema Hana....😞😞🥲
 
Upande wa mama walizaliwa kumi.Wakike 6,wakiume wanne.wajomba wote wako hai
Ila huu ugonjwa ukawabeba
Mama×
Mama mdogo×
Mama mdogo×
Mama mdogo×
Mama mdogo×
Mama mdogo×
Baba nae akaenda wakatuacha wadogo sn.Huu ugonjwa hadi leo umetuathiri sn kisaikolojia.ila MUNGU ni mwema tunapambana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…