Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Mwaka 2013 nikiwa katika shughuli za shirika moja hivi tulienda kikazi wilaya moja hivi, kanda ya ziwa.Kuna kijiji tulikuta nyumba kali lakini hakuna watu wanaoishi na wenyeji walituambia ukimwi ulifanya tamasha kakita familia miaka ile
Duuh
 
Dah Ujumbe wako unahuzunisha sana lakini unatupa funzo. Tunapaswa kua waangalifu sana janga bado lipo na linaondoka na waja taratibu. hakuna aliye salama.

Hiyo kitu imekula sana watu, Kagera, Iringa hasa mafinga, makambako na njombe. Mbeya, tunduma, Rungwe pia wameondoka wengi. Sina hakika lakini kuna ishara kuwa kutofanya tohara, hali ya hewa ya baridi kali, na wadau wa huko kuwa na maumbile manene pamoja ya .... na desire kubwa ya kufanya tendo ni sababu kuu ya maeneo hayo kuathirika zaidi.

Pale dodoma kuna Ukoo ulikuwa unaitwa Masimba: Walikuwa wanafanya ufuska wa kupindukia wa ndugu kwa ndugu, Inasemekana HIV imewaondoa wote kijiji kimebaki maghofu.

Hata Dar nayo ni mwathirika mkubwa. Sample; kuna Bendi maarufu nchini; HIV iliondoka na Wanamuziki wake wote hadi wabeba ngoma. Pia, ukichukua wasanii wakubwa nchini ni wachache sana wameweza vuka miaka 55, wengi uondoka mapema kutokana na hilo janga ingawa huwa atuambiani ukweli.

Siku hizi, HIV inaua kupitia kisukari, kufeli kwa Ini, figo na moya n.k.

Asante kwa kutukumbusha. hakuna aliye salama bila kudra za mungu na kuchukua taadhari hatuwezi
 
Kwa miaka hiyo, kama sijakosea nahisi hapa palikuwa Bunda Mtaa uliyopo jirani na Posta barabara inayoshuka stand mpya kama unatoka Musoma.
Mama wa Binti huyo alikuwa Mwalimu.
 
Shabgazi umemwaga ukweli mtupu
 
Hizo ndio unapata mawenge. Hapa ni mazoezi maji mengi, kula vizuri na kuendelea kugegeda tuu na kutokuwa n mke. Maana mke anakuletea stress na huu ugonjwa hautakiwi uwe na stress
Piga dawa uongeze umri, kuna binamu yangu nae kagomea kabisa dawa hataki kusikia....cha ajabu hata apetite huwa hana sio mlaji hivo anakomaa tu na zoezi na anapiga chuma ukimuona sio rahisi kujua.

Sasa hapigi dawa ila anakula mizigo tena anapenda mizigo yenye mawowowo
 
Ngoma hatari sana.. ila kwa siku hizi sukari hatari sana ×100.. nishiaona inampofua mtu kijana tu mixer mwingine imemkata mguu.. ukijikwaa tu ukapata kidonda kwenye kidole inaweza ikawa mguu ndio ntolee hio..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…