Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Na hawa mademu huku kama hawataki nataka na milio fulani kutaka izame yote.Hali ya ukimwi kwa sasa ni mbaya zaidi.TABIA YA KUKUINGILIANA KINYUME NA MAUMBILE NDO KABISA.UKIONA DEMU ANAFANYIWA VITU VIKUBWA UJUE ANATOA MDUARA NAJISI. Watch out
 
Nimemuweka ignore list, tukifanya hivyo ID km 100 atafurahia show
Mwacheni jaman labda NDIO starehe yake mbona Kuna jamaa ana LIKE Kila kitu...πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sijui Bukoba nao wasemeje! Hilo gonjwa lisikie tu.
Huu Uzi unasisimua sanaa mm sitaki kuandika mengi....ila ukimwi wa 90's umetafuna wengi...

Watu wali ishia kusema wamerogwa na wengine baada ya kuupata waliamua kufa kishujaaa....

Kuna watu ukiwatizama Kwa kipimo Cha macho huwezi kuwa dhania....

Huu Uzi unatembea Kwa Kasi sanaa na I bet ni Uzi bora wa mwezi may (Uzi Bora wa mwezi may 2023)
 
Mama yako huwezi jua labda aliipata HIV kutokana na kazi yake, Nurse yupo kwenye high risk ya kupata HIV
 
Nilimzika mama yangu akitoa funza aisee [emoji24]
 
Ngoma ipo na inawaunguza watu ndani kwa ndani, kilichopo ni ARV ndo mficha maradhi, wapo watoto walizaliwa na ukimwi ila wana afya njema kwa hisani ya vidonge, wapiga kavukavu kazi mnayo. kiwanda kingine kinachozalisha ukimwi ni madada poa, hawa wana dau la kavukavu na dau la kondom, ajabu mtu anaongeza dua ili apige kavu kumbe ndo ananunua ukimwi, na haka kamtindo ka anal sex ndo balaa maana friction ni kubwa unapata fresh HIV, utani mwingine ni hawa wanaojipima, kumezuka biashara ya kitembea na vipimo, mnapima ndo mnapiga game, well and good but sio 100% guarantee, ndo maana hili jambo linafanyika hospital, kuna ishu ya utunzaji wa kifaa unaoweza kuadhiri ufanisi wa kipimo, pia kuna expire date sidhan kama wanaangalia, cha ziada kuna kitu kinaitwa "window period" yaan kipind kati ya kupata maambukizi mpaka mda wa ugonjwa kuonekana kwenye kipimo, zamani ilikuwa miezi 3, ila sikuhz ni mwezi mmoja, sasa kama dem kapata ngoma wiki iliyopita, kuna uwezekano ukimpima asome negative lakini ukila kavu unapata ngoma, ndo maana hata hospital ukipima unaambiwa rudi baada ya muda kurudia vipimo, somo ni kuwa majibu ya kujipima sio ya kutegemea 100%, bora mkapime hospital mpate na ushauri wa kitaalamu.
Hivyo bado suluhisho la ukimwi ni zilezile sentensi 3, ..... 1. jiepushe kabisa na ngono.. 2. kuwa na mpenzi mmoja na wote muwe waaminifu 3. tumia kondom ,
kondom itumike kwa usahihi na itunzwe vizuri, kuna watu wanatembea na condom kwenye wallet mwishowe zinapoteza ubora, pia kuna mafuta yakikutana na condom yanazidhoofisha inapasuka katikati ya show... kwahyo wale wazee wa vilainishi tumieni vilainishi ambavyo ni water based na sio oil based..
Is water-based lubricant best for condoms?

"
Water-based or silicone lube are always safe to use with any kind of condom. Don't use anything that has oil in it, like lotion, vaseline, or oil-based lubes with latex condoms. Oil can damage latex condoms and make them break"

unakuta mtu anakomaa na mafuta ya nazi ndo kilainishi, hapo kondom itachanika na utaenda na maji, kanunue tu KY firauni wewe

""Coconut oil cannot be used with latex condoms because it can break down the latex and cause the condom to break," explained Dr. Landry. Only water- and silicone-based lubricants can be used with latex condoms without risking breakage, said Dr. Landry""

so wazee wa kazi tujilinde na tuwalinde wenza wetu, point sio wivu au kuchapiwa bali point ni kutoleteana magonjwa nyumbani, ndo maana nawaelewa wanaotoa adhabu kali pale wanapofumania, we umetulia zako uko busy na kaz kumbe kuna kijana anaruka na wife, kamata kijana chomoa viungo, aende akamtumikie muumba wake.
"UKIMWI UNAUA, HAUNA KINGA WALA DAWA'
 
Asante mtoa mada kwa kutukumbusha.
Yawezekana huu uzi ukaokoa afya ya mtu.
Kwangu huu ndio uzi bora JF wa 2023.❀️
Hakuna kitu naogopa kupoteza kama afya yangu.
Wapendwa UKIMWI bado upo na unatesa sana msidanganyike na ARV .
 
Mama yako huwezi jua labda aliipata HIV kutokana na kazi yake, Nurse yupo kwenye high risk ya kupata HIV
Nikiwa kama mdau wa afya MWANDAMIZI (senior)

Kuna jamaa alikuja dar so Arvs zake zikaisha so akaniomba am 4 real nimchukulie za kusukuma siku mpaka atakapo Rudi mkoani kwake.......

Nikamcheki mshikaji wangu Y nikamwambia anichukulie akanambia nipo ofsn njoo uchukue.........
Ni dokta kijana alikua ana muhudumia mmama mmoja ni mteja etu nyumbani.....
Kwa bahati mbaya Ile sindano aliyo mchoma mama yule ikamchoma na yeye....
Nikakuta na yeye anazitumia zile dozi....
Niliwaza sana siku iyo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…