Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Sitosahau UKIMWI ulichofanya mtaani kwetu. Nyie watu wa mapenzi kuweni makini

Umenikumbusha mbali Sana kwenye miaka ya 2006.
Ilikuwa hivi,
Nipo form six! shule ilikuwa mchanganyiko, advance boys tu, o-level boys and girls kutwa.

Nikatongoza katoto kaform II, (jina tumwite Neema) tukakubaliana kufafanya mapenzi, Siku ya tukio ilikuwa weekend tukatoka out ambako tulikaa mpaka saa Moja usiku, mi si nikaomba mchezo, binti akawa anataka hataki, nikaona nimtomase Ili kumwamshia hisia, zaidi nikaanza kumnyonya chuchu (wakati namnyonya chuchu si nikavuta maziwa- ingekuwa maziwa ya ng'ombe nigesema yalitosha kusindikiza tonge la ugali, daa.. nikayatema harakaharaka Kwa kificho Ili mrembo asigundue akaninyima).

Daa!! nyege bana duu!!! sikujali nikaendelea na purukushani za kumtomasa maeneo mbalimbali kufikia saa mbili usiku kakubali kaachia mchezo ( hapo tupo vichakani maeneo ya Jirani na shule), ile napampu kama mara mbili hivi nikaona mtu anakuja kufuata uelekeo tulipo, ikabidi tunyanyuke kusongea mbele na sitimu zikayeyuka maana nilihisi ni mlinzi wa shule.

Sasa kimbembe kikaja, Ile nafika bwenini nikakuta story za huyo Neema wangu aliyetoka kuninyonyesha mda mfupi uliopita, Kuwa:
1. Neema ametoa mimba ya mwl Msa (jina bandia). Ambaye wiki Moja iliyopita alikutwa na Madam Shigedi akimeza ARV.
Madam Shegedi,(Kwa wasifu wake alikuwa ni mwl. wa biolojia Kwa o-level na ndo alikuwa anamwaka 1 tangu ahitimu diploma na baadaye kuajiriwa shuleni hapo, Kwa sababu alikuwa Binti mdogo, mrembo mwembamba na nzuri Kwa sura, mwalimu Msa Kwa kumtumia makamu mkuu wa shule akatupa ndoano na akafanikiwa kumpata na wakaanza mahusiano Kwa Siri, ikumbukwe kwa kipindi hiki sisi wanafunzi hatukufahamu chochote tulikuja kujua baadaye).
Baada ya kukutana na hali hiyo Kwa mwl Shigedi alichanganikiwa akawa anasema Kwa kila mtu, kitendo kilichopelekea walimu wote tukiwepo sisi wanafunzi kujua mwl Msa ana ngoma.

Baada ya mwezi mmoja mwl Msa aliugua akaenda hospital za watu binafsi na akalazwa huko,Kwa sababu ya kusikia story ya kuwa alimbembesha mimba Neema ilibidi nikamsalimie kuzuga kwenda kumjulia hali mwl Msa (Kusudi siyo kumjulia hali Bali kwenda kuona hali yake kama kweli ni ngoma) nilimkuta amekonda aisee, na baada ya wiki akahamishiwa hospital ya mkoa.
Baada ya Siku chache nyepesi zikafika Kwa wanafunzi tuliokuwa bweni kuwa mwl Msa ana UKIMWI ila hataki kutumia ARV na CD4 zake zimeshuka sana.

wasifu wa mwl msa, huyu alikuwa ni mwali pekee wa advance Kwa Somo la Kiingereza + History mwajiriwa mwenye degree Kwa shuleni kwetu, Kwa sababu ya uchache wa walimu kipindi hicho, mwl msa alikuwa anachukuliwa na shule Jirani za wasichana bweni kufundisha.

Sasa kutokana na CD4 kushuka na mwl Msa kukata kutumia ARV baada kama ya wiki mbili mwl Msa akafariki.

Nakumbuka siku amefariki;
1. Shule za wasichana alizokuwa anaenda kufundisha ilikuwa vilio tu nahisi hata vipindi havikuendelea.
2. Mimi niliishi Kwa msongo wa mawazo mpaku kushusha uwezo wa kitaaluma na ilinicost ktk mitihani ya kuhutimu.
3. Neema sikumwona Tena shuleni nikapata taarifa alitoroka nyumbani akaenda Kwa shangazi vijijini.

4. Visichana vingi vya shule kwetu na wake za watu mtaani siku ya msiba ilikuwa vilio Kwa zamu.
5. Mwl Shengi alichukua likizo na baadaye Sana ikasemekana ni HIV+

Sasa baada ya kusafirisha mwili wa marehemu kuupeleka kwao Igunga ikaja ikafamika kuwa:

1. Mwl alikuwa akisex na wanafunzi Kwa Siri na wale aliikuwa anawapa mimba alikuwa anawapeleka kutoa.

2. Mwl alikuwa anatembea na mwanamke yeyote bilakuangalia sura au umri.

3. Kule Kwa wasichana wa bweni marehemu alikuwa anabadilisha visichana vya advance kama nguo.

4. Mwl Msa kumbe aliwahi kuoa kabla ya kuajiriwa (mke wake walisoma naye UDSM baadaye waliingia ktk mahusiano na kupelekea kuoana ambapo walizaa moto mmoja ambapo baadaye mke na mtoto walifariki)

..............
Mwisho!
Marehemu mwl Nakumbuka kuwa;
Ulikufa ukiwa na miaka 30 tu miaka mitatu tangu uhitimu UDSM. Ukitanguliwa na mtoto wako baadaye mke wako kipenzi aliyefariki miaka miwili tu tangu kuzaa moto wenu wa kwanza.

ulinikosakosa kupitia Kwa Neema (nilithibitisha Kwa kupima ) ingawa sijui wahanga wezangu uliwaachaje ambao ulitembea nao kama kulipiza kisasi.
Namshukuru Mungu Sasa ni baba wa makamo nina mke na watito.

...Huu ni ushuda wa kweli.....
Nimeepuka sana kutembeza rungu kwa Ke wa vyuo zaidi ya vitatu.

Wake za Watu na wanafunzi sijawahi kabisa kujamiiana nao.

Namshukuru Mungu kwa neema hii maana si kwa ujanja wangu, Mungu naomba anisaidie niendelee kutembea na biti hili hili maisha yangu yote, Amina.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Habari njema ni kwamba kuna kinga ya HIV/AIDS siku hizi,,vaginal ring kwa ajili ya wanawake,pia kuna Ile ya sindano ya kila baada ya siku 90.

Zikiruhusiwa kutumika hapo Tanzania zitaokoa maisha ya wananchi wengi sana. Hata kama umeolewa vaginal ring unakuhusu na pia hata kama umeoa Ile sindano ya kinga inakuhusu. Usimwamini mtu maana wanandoa/wapenzi wanakulana na co-workers,bosses,X's zao bila hofu. Wanawake wengine wameolewa lakini wanauza K at the right price bila shida.

Mungu atuepushie kisukari tu maana hakuna dawa ya kufubaza makali yake.
Wachina wanatibu kisukari nimeshuhudia Rafiki yangu aliyeugua kisukari kwa zaidi ya miaka miwili bila tiba ila aliporejeshwa kwenye hospital ya Wachina Dar alipona mazima na haumwi tena kisukari.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
una maanisha wenye ukimwi ni wale waliomdhihaki Mungu
Mungu huwa ni mlinzi wa watakatifu Wake, so ukiwa unamcha Mungu huku we ni Mnafki wa ndoa kwa kuendekeza uzinzi na uasherati ilihali mwenzi wako yu mwaminifu katika ndoa Mungu atakuadhibu wewe mwenyewe na hilo janga wala si mwenzi wako.

Zaburi 34:7.

Malaika wa BWANA hufanya kituo,
Akiwazungukia wamchao na kuwaokoa.

Zaburi 127:1.

BWANA asipoijenga nyumba
Waijengao wafanya kazi bure.
BWANA asipoulinda mji
Yeye aulindaye akesha bure.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Uzi mzuri sana. Ninae ndugu mmoja tunamuuguza. Naona the effect of cheap sex. Anaumwa sana, anahuzunisha mno. Mbaya zaidi hana stability kiuchumi, kimaisha. Naweza sema 'alidanga' bila faida. Leo mambo mengi aliyofanya in the past, yanamback fire. Enzi zake alikuaga pisi kali haswa. Alikula starehe za kila namna. Lakin kweli mchuma janga hula na nduguze. Leo tunakoma kwa janga lililochumwa na huyu mtu.

Anyways, it is what it is. Kwetu wake kwa waume, yes sex is addictive, enjoyable and unexplainable..lakini kupitia wewe mume ama mke, unaweza ukaiangamiza familia. Be careful of the choices you make. Kuwa responsible kwa familia uliyokubali kwa ridhaa yako kuianzisha. Ukiumwa atakayeuguza, atakaeteseka ni your spouse. Mbaya sana mwenzako katulia na wewe ndo unakuwa ticket ya kumuangamiza ama kumuua. Kazi kwetu tuliobaki hapa duniani.
 
Katika vitu ambavyo nimejiandaa kisaikolojia kuvipokea basi ni ukimwi.
Maana wife ana trip nyingi sana kikazi mikoani yaani hapo kuchepuka ni akili yake tu atumie condom au laah.
Nimejikuta nakuonea huruma sana mkuu.Kitendo cha mkeo kuwa na trip daily ina leta confussion sana.Mara nying hata stability ya family huwa inakua at jeopardy sana
 
Uzi mzuri sana. Ninae ndugu mmoja tunamuuguza. Naona the effect of cheap sex. Anaumwa sana, anahuzunisha mno. Mbaya zaidi hana stability kiuchumi, kimaisha. Naweza sema 'alidanga' bila faida. Leo mambo mengi aliyofanya in the past, yanamback fire. Enzi zake alikuaga pisi kali haswa. Alikula starehe za kila namna. Lakin kweli mchuma janga hula na nduguze. Leo tunakoma kwa janga lililochumwa na huyu mtu.

Anyways, it is what it is. Kwetu wake kwa waume, yes sex is addictive, enjoyable and unexplainable..lakini kupitia wewe mume ama mke, unaweza ukaiangamiza familia. Be careful of the choices you make. Kuwa responsible kwa familia uliyokubali kwa ridhaa yako kuianzisha. Ukiumwa atakayeuguza, atakaeteseka ni your spouse. Mbaya sana mwenzako katulia na wewe ndo unakuwa ticket ya kumuangamiza ama kumuua. Kazi kwetu tuliobaki hapa duniani.
Kuna Mwalimu mmoja pale UD kwenye kota za Walimu alikuwa anakula kuku na mayai yake.

Alibahatika kupata Mabinti mapacha na walipoanza kupevuka tu aliwatenganisha kila mmoja kulala kwenye chumba chake, kumbe Lizee lilikuwa linakula zamu kwa zamu kwa hao Mabinti zake mbali na Mkewe.

"Mficha maradhi kifo humuumbua" hatimaye Doto alipata mimba, Mama Mzazi alipoona tu dalili zote ilibidi ambane Bintiye kwa maswali mengi kutaka majibu ya aliyemsababishia ujauzito, ingawa Binti alijitahidi sana kuficha ila mwishowe ilibidi amtaje Baba yake Mzazi ndiye mwenye ujauzito huo.

Mama akapandwa na presha ya ghafla ila alipomwambia Mumewe alikataa kata kata, Doto alianza kliniki na ndipo ilipobainika ana umeme alipokuwa anakaribia kujifungua, Kulwa naye ilibidi akapime baada ya kujua Mdogo wake Doto ana umeme halikadhalika naye alikutwa kaukwaa umeme. Mama Mzazi aliposikia hizo habari za umeme kwa Binti zake alipandwa na presha kubwa hadi kuzidiwa hatimaye Baba ilibidi atoroke kabisa home kujitenga na maswahibu hayo.

Mama Mzazi alifariki kwa presha, Baba Mzazi alichanganyikiwa naye hakukaa zaidi ya miaka miwili akavuta, Watoto mapacha walibaki Yatima wakiendelea kuishi kwa matumaini.

Dunia hadaa walimwengu Shujaa [emoji25]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Hii issue nikikua early 90s hasa hasa hii miaka miwili 1998/2000 nakumbuka kusikiliza kwenye taarifa ya habari RTD (TBC ya sasa) kwamba moja ya wilaya za Tanzania kuzungushiwa utepe mwekundu kutokana na kuongoza kwa vifo vilivyotokana na HIV/AIDS,nahisi ni hii hii Mafinga.

Pole sana hauko peke yako,hakuna Tanzania hii aliyekwepa hili zimwi iwe ni kwa wajomba,shangazi,baba wadogo etc mimi niliwahi zika mpaka babu yangu mdogo 2007 na mwanae alizikwa 1997 kisababishi kikiwa huu huu  UKIMWI na mzee alikuwa na jeuri yule aliambiwa atumie ARVs akakataa akasema kama alivyokuwa anafurahia utamu anataka kuuona uchungu nao unafananaje,alikufa mzee aged 70.
 
Back
Top Bottom