Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
-
- #101
Sina mda wa kuandamana Mimi kisa jitu lingine liishi vizuri wakati huo Mimi nimeshaoza nimekua mchangaSijajua watu hapa Tz wanataka kuandamana kwa lipi, ila iwe iwavyo maandamano yanahitaji vijana werevu na wanaojitambua. Kwa uandishi huu tu, wala usipoteze muda na maandamano (hata yakija), waachie wenye akili mkuu.
Sina mda wa kuandamana Mimi Ili jitu lingine lije kuishi vizuri wakati huo Mimi nimeoza nimeshakua mchanga sifanyi huo ujinga milele Mimi sio mjinga ingia barabarani mwenyewe sio unakaa ndani ya shuka unalopoka humuSi unashiba bila kufanya kazi ndiyo maana unaropoka tu. Utaolewa kabla ya siku zako shauri yako.
Kwani kuna mtu alikupa mwaliko wa kuandamana au kiherehere chako tu, wacha wanaume waandamane.Sina mda wa kuandamana Mimi Ili jitu lingine lije kuishi vizuri wakati huo Mimi nimeoza nimeshakua mchanga sifanyi huo ujinga milele
Sifanyi huo ujingaMandamano Forever
mbona hauandamani au ndio nyumbu muoga unaandamana mtandaoni tu🤣🤣🤣🤣Kwani kuna mtu alikupa mwaliko wa kuandamana au kiherehere chako tu, wacha wanaume waandamane.
Wewe tuliza kishundu hicho mambo ya kiumeni tuachie wanaume, sawa sawa ?Wewe mbona hauandamani au ndio nyumbu muoga 🤣🤣🤣🤣
Hilo nyumbu unakalia kupiga kelele humu kumbe nyumbu tu unaongelea ndani ya shuka 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wewe tuliza kishundu hicho mambo ya kiumeni tuachie wanaume, sawa sawa ?
Sifanyi ujinga mimiElimu unahitajika tz.
Dada wewe subiria uletewe ule tu na kulazwa kifo cha mendeHilo nyumbu unakalia kupiga kelele humu kumbe nyumbu tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kelele nyingi za nini hata ukotukana vipi hamna tusi jipya ila wewe ni nyumbu tu huwezi kuingia barabarani 🤣🤣🤣🤣🤣Dada wewe subiria uletewe ule tu na kulazwa kifo cha mende
Nina uhakika na haya;Yaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mnaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu kama maisha yamekua magumu kwenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai wajinga nyie nione tena mnaweka vi nyuzi vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake
Hakuna tusi hapo nimekueleza ukweli wako.Kelele nyingi za nini hata ukotukana vipi hamna tusi jipya ila wewe ni nyumbu tu huwezi kuingia barabarani 🤣🤣🤣🤣🤣
Ukweli Gani hizo ngonjera tu unaziimba humu Kila siku keyboard warrior 🤣Hakuna tusi hapo nimekueleza ukweli wako.
Na unaishi ili iweje kama una akili za kishoga hivi? Siufe tuYaani Mimi niandamane nipigwe risasi nife nizikwe nioze eti kisa Kuna mizee ambayo yenyewe enzi zao yalikua yamezubaa nchi ikatafunwa Sasa hivi yanasema vijana wa gen z andamaneni kwajili ya tanzania mnaumwa nyie wazee pambaneni na hali zenu kama maisha yamekua magumu kwenu hamna kijana ataemwaga damu yake Kwa ajili yenu lnatakiwa nyie ndio mfe mapema Ili vijana tuishi Sasa nashangaa mpaka Leo mpo hai wajinga nyie nione tena mnaweka vi nyuzi vyenu uchwara humu Kila mtu afe kivyake
Wewe mwenyewe shoga maana umekubali kuongozwa na mwanamke kwanini usiwe shogaNa unaishi ili iweje kama una akili za kishoga hivi? Siufe tu
Tuna vijana wa hovyo sana kuwahi kutokea. Acha ajira ziendelee kukosekana watie akili!Ooooh Tanzania
🇹🇿😭
Katika ujinga namba Mbili siwezi kuufanya ni kukubali kuajiriwa ndio maana mnalialia njaa unakubalije kuajiriwaTuna vijana wa hovyo sana kuwahi kutokea. Acha ajira ziendelee kukosekana watie akili!
Nilikua najua huna akili. Kumbe huna akili kabisa.We kiazi kweli hivi Kwa akili Yako Nyerere alipigania uhuru hivi mitanzania Haina akili yaani we maiti hapo unajiona upo huru