OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #21
Kombe gani nyinyi mtakuchukua? Labda kombe la ujiKumbuka mechi ya mwisho ndio itaamua mshindi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kombe gani nyinyi mtakuchukua? Labda kombe la ujiKumbuka mechi ya mwisho ndio itaamua mshindi.
Upo sahihi mkuu.., tatizo dharau zaoView attachment 2638378
Nipo hapa kuueleza umma kwamba mimi nisiwe mnaa. Furaha yangu kwa Utopolo kula kichapo haiwezi kufichika kwa uzalendo uchwara.
Nawaombea mkienda huko Algeria mchakazwe kama mbwa koko mkirudi msitamanike kabisa. Mna midomo sana
Nimefurahi sanaaaaaa
hiyo haituhusu mkajadili kwenye vikao vyenu vya ndani tumefurahi metunguliwa sawsawaHaijaisha mpaka iishe!
Waarabu wanafungika, Nabi kachelewesha sana sub. Leo kachemka!
Tumemiliki mpira asilimia 60,
Aziz Ki hakuwa makini alikazana kutaka kufunga badala ya kawaida yake kutoa mapande, Morisson alielewa alichokosea Aziz Ki.
Mayele hakupata usaidizi akawa anacheza pembeni, Kibwana hakupanda inavyotakiwa!
Timu haikukaba kama kawaida yake,
Pengo la Aucho lilionekana timu ilikosa balance!
kwa sauti ya juu😅😂Ukitaka kuwauzi fungulia vipindi vya michezo..
Hapana ni la KUFA KIUME.Kombe gani nyinyi mtakuchukua? Labda kombe la uji
leo mepewa 100 mekung`utwa kule hamtapata hata kamokoHatuna habari na wanaoishia robo. Yanga tuna dakika 90 bado.
Mmechezea hamjachezea?! Fainali CAFCC ni sawa na round ya pili CAFCLHatuna habari na wanaoishia robo. Yanga tuna dakika 90 bado.
Tuliza wenge hiloMmechezea hamjachezea?! Fainali CAFCC ni sawa na round ya pili CAFCL
🦁Wewe tunaenda kupindua mezaView attachment 2638378
Nipo hapa kuueleza umma kwamba mimi nisiwe mnaa. Furaha yangu kwa Utopolo kula kichapo haiwezi kufichika kwa uzalendo uchwara.
Nawaombea mkienda huko Algeria mchakazwe kama mbwa koko mkirudi msitamanike kabisa. Mna midomo sana
Nimefurahi sanaaaaaa
Raja Casablanca 3-0Leo NDIO NIMEAMINI SIMBA ni timu kubwa Sana.
Inacheza na .....
Alahaly..
Raja.
WHYDAD.
KAIZERCHEEF.
Orando.
Wote tunapambana NAO kwa mkapa.
Kakakipimo kadogo tu halo watu wamepoteana.
YANGA imecheza Mechi mbili kubwa msimu huu
Simba 2 0
Usm algers 2-1.
Kama dk 100 umeshindwa kwenye uwanja wa nyumbani, hizo dk 90 za ugenini ni kupoteza muda tu.Hatuna habari na wanaoishia robo. Yanga tuna dakika 90 bado.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kiukweli nimefurahi sana wameumbuka na mapicha Yao ya ahsante mama
Acha kujifariji wewe, kwa timu gani mliyo nayo, hao akina musonda na kisinda ?Huu uzi unaweza kuja kuujutia tarehe 03/06/2023 kama nyuzi zako nyingine kuihusu Yanga.
View attachment 2638378
Nipo hapa kuueleza umma kwamba mimi nisiwe mnaa. Furaha yangu kwa Utopolo kula kichapo haiwezi kufichika kwa uzalendo uchwara.
Nawaombea mkienda huko Algeria mchakazwe kama mbwa koko mkirudi msitamanike kabisa. Mna midomo sana
Nimefurahi sanaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23] eti irudi timu nyingine, kweli utopolo mmevurugwa, unajua sub mwisho ngapi ?Haijaisha mpaka iishe!
Waarabu wanafungika, hawana mpira wowote bahati tu imewabeba!
Nabi kachelewesha sana sub. Leo kachemka! Alitakiwa half time irudi timu ingine baada ya kuwa Nyuma kwa goli moja!
Tumemiliki mpira asilimia 60, ila mtu wa kuwaunganisha Mayele na Musonda alikosekana!
Aziz Ki hakuwa makini alikazana kutaka kufunga badala ya kawaida yake kutoa mapande, anao anao sana badala ya kuharakisha kutoa pasi , c Morisson alielewa alichokosea Aziz Ki.
Mayele hakupata usaidizi akawa anacheza pembeni, Ambundo au Denis Nkane wanajua kukimbia na Mayele ,
Kibwana hakupanda inavyotakiwa!
Timu haikukaba kama kawaida yake, waarabu walirelax wakiwa na mpira!
Pengo la Aucho lilionekana timu ilikosa balance!
[emoji23][emoji23][emoji23] eti irudi timu nyingine, kweli utopolo mmevurugwa, unajua sub mwisho ngapi ?Haijaisha mpaka iishe!
Waarabu wanafungika, hawana mpira wowote bahati tu imewabeba!
Nabi kachelewesha sana sub. Leo kachemka! Alitakiwa half time irudi timu ingine baada ya kuwa Nyuma kwa goli moja!
Tumemiliki mpira asilimia 60, ila mtu wa kuwaunganisha Mayele na Musonda alikosekana!
Aziz Ki hakuwa makini alikazana kutaka kufunga badala ya kawaida yake kutoa mapande, anao anao sana badala ya kuharakisha kutoa pasi , c Morisson alielewa alichokosea Aziz Ki.
Mayele hakupata usaidizi akawa anacheza pembeni, Ambundo au Denis Nkane wanajua kukimbia na Mayele ,
Kibwana hakupanda inavyotakiwa!
Timu haikukaba kama kawaida yake, waarabu walirelax wakiwa na mpira!
Pengo la Aucho lilionekana timu ilikosa balance!
Kwa mwarabu kuchomoa hamuwezi labda ikatikieTuliza wenge hilo