Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Too late,wale ilitakiwa wamalizwe hapa hapa kwa goli za kutoshaHuu uzi unaweza kuja kuujutia tarehe 03/06/2023 kama nyuzi zako nyingine kuihusu Yanga.
Kolowizards umekenua hadi jino lako la 32, Waarabu wataendelea kutuita ngozi nyeusi nyani sana na saana kwa kujikomba huku kwao [emoji4][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Yanga ni timu ya CCM ndo maana Leo imebeba mabango ya kumshukuru mwenyekiti waoKumbuka mechi ya mwisho ndio itaamua mshindi.
Na ikawe hivyo!View attachment 2638378
Nipo hapa kuueleza umma kwamba mimi nisiwe mnaa. Furaha yangu kwa Utopolo kula kichapo haiwezi kufichika kwa uzalendo uchwara.
Nawaombea mkienda huko Algeria mchakazwe kama mbwa koko mkirudi msitamanike kabisa. Mna midomo sana
Nimefurahi sanaaaaaa
Thank you USM Alger for saving us from unnecessary noise pollution [emoji38][emoji38]Kombe gani nyinyi mtakuchukua? Labda kombe la uji
Hata bila matusi na dharau kwa Mgunda, bado mngefurahia Mateo ya leoHunishindi mimi. Kwa upuuzi huu lazima tufurahieView attachment 2638385
Hivi ww unatumia nini kuwaza? Ni ubongo ulitimamu?Haijaisha mpaka iishe!
Waarabu wanafungika, hawana mpira wowote bahati tu imewabeba!
Kwahiyo hilo wanalijua Yanga tu ila Waarabu wao hawalijui siyo?Kumbuka mechi ya mwisho ndio itaamua mshindi.
Kwa sasa Yanga wanachagua nini kati ya Mwarabu na andazi?Hunishindi mimi. Kwa upuuzi huu lazima tufurahieView attachment 2638385
Dkk 90 hizo hata USMA nao wanazisubiri tena watakua sebuleni kwaooo.Jifunze kuwa na akiba za maneno katika soka maana bado dakika 90 za ugenini na mpira haunaga kukariri matokeo.
Kolowizards, nimekaa pale [emoji117][emoji142]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hivi hii takwimu umezitoaa wapiii wee???Haijaisha mpaka iishe!
Waarabu wanafungika, hawana mpira wowote bahati tu imewabeba!
Nabi kachelewesha sana sub. Leo kachemka! Alitakiwa half time irudi timu ingine baada ya kuwa Nyuma kwa goli moja!
Tumemiliki mpira asilimia 60, ila mtu wa kuwaunganisha Mayele na Musonda alikosekana!
Aziz Ki hakuwa makini alikazana kutaka kufunga badala ya kawaida yake kutoa mapande, anao anao sana badala ya kuharakisha kutoa pasi , c Morisson alielewa alichokosea Aziz Ki.
Mayele hakupata usaidizi akawa anacheza pembeni, Ambundo au Denis Nkane wanajua kukimbia na Mayele ,
Kibwana hakupanda inavyotakiwa!
Timu haikukaba kama kawaida yake, waarabu walirelax wakiwa na mpira!
Pengo la Aucho lilionekana timu ilikosa balance!
Hata USMA wanazo hizo 90, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatuna habari na wanaoishia robo. Yanga tuna dakika 90 bado.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mbna unatesekaa sanaaa?? Vipii kwemaaaa???Kolowizards umekenua hadi jino lako la 32, Waarabu wataendelea kutuita ngozi nyeusi nyani sana na saana kwa kujikomba huku kwao [emoji4]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Afu wanajizimaa dataaa hapaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi ww unatumia nini kuwaza? Ni ubongo ulitimamu?
Wale waarabu na nyie nani alibebwa na BAHATI..?
zile pasi kampa kampa tena uliziona?
Nyie mlipiga kona ngapi? Je effects? Nani ana bahati?
One on one ngap wamewakosa wale..