Siwezi kuficha furaha yangu kwa Yanga kula kichapo

Siwezi kuficha furaha yangu kwa Yanga kula kichapo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kimbenju mwanga mchawi mkubwa wewe
fb4b341430bc4e228cc40f67cf846914.jpg
 
Haijaisha mpaka iishe!

Waarabu wanafungika, hawana mpira wowote bahati tu imewabeba!
Hivi ww unatumia nini kuwaza? Ni ubongo ulitimamu?

Wale waarabu na nyie nani alibebwa na BAHATI..?

zile pasi kampa kampa tena uliziona?

Nyie mlipiga kona ngapi? Je effects? Nani ana bahati?

One on one ngap wamewakosa wale..
 
Jifunze kuwa na akiba za maneno katika soka maana bado dakika 90 za ugenini na mpira haunaga kukariri matokeo.

Kolowizards, nimekaa pale [emoji117][emoji142]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Dkk 90 hizo hata USMA nao wanazisubiri tena watakua sebuleni kwaooo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haijaisha mpaka iishe!

Waarabu wanafungika, hawana mpira wowote bahati tu imewabeba!

Nabi kachelewesha sana sub. Leo kachemka! Alitakiwa half time irudi timu ingine baada ya kuwa Nyuma kwa goli moja!

Tumemiliki mpira asilimia 60, ila mtu wa kuwaunganisha Mayele na Musonda alikosekana!

Aziz Ki hakuwa makini alikazana kutaka kufunga badala ya kawaida yake kutoa mapande, anao anao sana badala ya kuharakisha kutoa pasi , c Morisson alielewa alichokosea Aziz Ki.

Mayele hakupata usaidizi akawa anacheza pembeni, Ambundo au Denis Nkane wanajua kukimbia na Mayele ,

Kibwana hakupanda inavyotakiwa!

Timu haikukaba kama kawaida yake, waarabu walirelax wakiwa na mpira!

Pengo la Aucho lilionekana timu ilikosa balance!
Hivi hii takwimu umezitoaa wapiii wee???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bao LA 2 uliliona lilivyotokeaa?? Au unajizima dataaa??

Watu mmechezewa ball hadi ndani ya 18 wee unasema nn wee?? Khaaaaah
 
Kolowizards umekenua hadi jino lako la 32, Waarabu wataendelea kutuita ngozi nyeusi nyani sana na saana kwa kujikomba huku kwao [emoji4]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mbna unatesekaa sanaaa?? Vipii kwemaaaa???
 
Hivi ww unatumia nini kuwaza? Ni ubongo ulitimamu?

Wale waarabu na nyie nani alibebwa na BAHATI..?

zile pasi kampa kampa tena uliziona?

Nyie mlipiga kona ngapi? Je effects? Nani ana bahati?

One on one ngap wamewakosa wale..
Afu wanajizimaa dataaa hapaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom