Siwezi kuficha furaha yangu kwa Yanga kula kichapo

Ila simba kuna wazee nuksi kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]so mkaona heri tukose wote,manake leo mji ungekuwa mgumu huu kwa sisi kina lunyasi.
 
Imeisha Wachezaji Walipewa Ahadi Million 60 Kila Mmoja Kununuliwa Ndege Bombadier Q400 Kila Mtu Yake, Viwanja Wajenge, Mashamba, Sijui Sasa Itakuwaje
 
Ila simba kuna wazee nuksi kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]so mkaona heri tukose wote,manake leo mji ungekuwa mgumu huu kwa sisi kina lunyasi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
jamaa alivyolamba chenga mmoja wao wale wengine waka baki kusimama tu kama wamepigwa shoti ya gridi ya taifa wakitegemea huruma la mwamuzi apige kipenga iwe offside lakini wapi,kula chuma hicho!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani kweli yanga siipendi jana mimi ni wa kumshangilia mwarabu kweliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sio yanga imepata kichapo ila ni TZ imepata kichapo. Hapo unafurahia?? Labda kwenye damu yako hakuna hata chembe ya uzalendo.
 
Mleta uzi ungejitahidi hadi second leg ndio ungeandika uzi wako, kitendo cha kiandika uzi mapema hivi inaweza kukufanya uje kuumbuka kama nyuzi zako za nyuma zilizovyogeika kuwa chungu kwako. Mpaka sasa hauna uzi uliyoandikia Yanga ukawa ni mzuri kwako mwisho wa siku, kama na hili nalo likienda kukuumbua basi utakuwa mtu mwenye gundu haswa.
 
Usinipangie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…