Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Yaani Yanga hata hawajamaliza kushangilia kagoli kao Waarabu wakawafunga mibakuli yao wakaingiza chuma cha pili πThank you USM Alger for saving us from unnecessary noise pollution [emoji38][emoji38]
Na wamejipatia Jina jipya Maandazi fcTangu kale kapimbi Cha yanga kalipo mfananisha mgunda na andazi. Nilitamani sana hili litokee. Yaani leoo ninafuraha sana
Subiri waje kwetu Uarabuni.. watatukomaAfu wanajizimaa dataaa hapaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kalijiona kako juu Mawinguni.Tangu kale kapimbi Cha yanga kalipo mfananisha mgunda na andazi. Nilitamani sana hili litokee. Yaani leoo ninafuraha sana
Walitia huruma sana aisee vile wanajiandaa kushangilia na kupeana cheers mara pap bao la pili kimyaaaaYaani Yanga hata hawajamaliza kushangilia kagoli kao Waarabu wakawafunga mibakuli yao wakaingiza chuma cha pili π
Dk 82 Kwa Dk 84 hata nyama ΒΌ robo haifungwi haraka hiviWalitia huruma sana aisee vile wanajiandaa kushangilia na kupeana cheers mara pap bao la pili kimyaaaa
Walizimwa kama taa ya kibatariWalitia huruma sana aisee vile wanajiandaa kushangilia na kupeana cheers mara pap bao la pili kimyaaaa
jamaa alivyolamba chenga mmoja wao wale wengine waka baki kusimama tu kama wamepigwa shoti ya gridi ya taifa wakitegemea huruma la mwamuzi apige kipenga iwe offside lakini wapi,kula chuma hicho!Walizimwa kama taa ya kibatari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila simba kuna wazee nuksi kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]so mkaona heri tukose wote,manake leo mji ungekuwa mgumu huu kwa sisi kina lunyasi.
Huko mvuaa itashukaa ya gharikaaaaSubiri waje kwetu Uarabuni.. watatukoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walizimwa kama taa ya kibatari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa alivyolamba chenga mmoja wao wale wengine waka baki kusimama tu kama wamepigwa shoti ya gridi ya taifa wakitegemea huruma la mwamuzi apige kipenga iwe offside lakini wapi,kula chuma hicho!
Mleta uzi ungejitahidi hadi second leg ndio ungeandika uzi wako, kitendo cha kiandika uzi mapema hivi inaweza kukufanya uje kuumbuka kama nyuzi zako za nyuma zilizovyogeika kuwa chungu kwako. Mpaka sasa hauna uzi uliyoandikia Yanga ukawa ni mzuri kwako mwisho wa siku, kama na hili nalo likienda kukuumbua basi utakuwa mtu mwenye gundu haswa.View attachment 2638378
Nipo hapa kuueleza umma kwamba mimi nisiwe mnaa. Furaha yangu kwa Utopolo kula kichapo haiwezi kufichika kwa uzalendo uchwara.
Nawaombea mkienda huko Algeria mchakazwe kama mbwa koko mkirudi msitamanike kabisa. Mna midomo sana
Nimefurahi sanaaaaaa
[emoji2][emoji116]Sio yanga imepata kichapo ila ni TZ imepata kichapo. Hapo unafurahia?? Labda kwenye damu yako hakuna hata chembe ya uzalendo.
UsinipangieMleta uzi ungejitahidi hadi second leg ndio ungeandika uzi wako, kitendo cha kiandika uzi mapema hivi inaweza kukufanya uje kuumbuka kama nyuzi zako za nyuma zilizovyogeika kuwa chungu kwako. Mpaka sasa hauna uzi uliyoandikia Yanga ukawa ni mzuri kwako mwisho wa siku, kama na hili nalo likienda kukuumbua basi utakuwa mtu mwenye gundu haswa.