Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

Sasa hayo ndio mapambano aisee kumbe mambumbumbu mpo wengi🤣🤣🤣
Nimehamasisha wenzangu na mimi nikiwepo kushinikiza serikali ili bima ya afya ya mtoto irudishwe au kusaidia kiongozi anayetaka uongozi mwenye nia hiyo aweze kushinda
 
kabisa akina sonko kagame museven traure wamepambana wenyewe halafu limtu linabeba vijana kwenye macosta wakafe foolish death, kuna kijana na wani yake ya form six wakamtanguliza mbele kafa kifo kibaya wao wakasepa, kila mtu apambane kivyake
 
Utumbo wa bata huu, ila uko tayari kumuita mwanamke mwingine "Mama" wakati mama yako mzazi hujawahi hata kumtumia Mia....hii sio laana kweli?
 
we tulia sisi tuko mstari wa mbele kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…