UVCCM ndio wamefufua uwizi wa huyo anayeitwa Mapunda ndio maana TAKUKURU wakaenda kumuhoji huyo mdaiwa... Sasa BAVICHA mkidai Ruzuku mtafukuzwa nyie na chama mtakiacha. Sasa BAVICHA simameni leo acheni kuwa misukule muhoji kwanini Mbowe alikiuzia chama magari chakavu kwa million 500. Hojini kwanini Tender zote anabeba Mbowe ndani ya Chama.. Hakika mkihoji hayo lazima TAKUKURU wamtie kimiani Mbowe..TAKUKURU wakamkamate basi kama walivyowakamata hayo majizi yenu. Kama sivyo basi hizo ni blah blah za mfa maji tu
Mimi ni mtu huru sana kifikra.....Mwizi yeyote sio rafiki yangu haijalishi yuko wapi.....Nini kinazuia hao wezi walioko chadema kukamatwa...tunailipa serikali hii ya CCM kodi zetu ifanye kazi...kwa nini haiwakamati hao wezi walioko Chadema...hatutaki politics za hisia hapa...serikali ina vyombo vyote kwa nini tuanze ku assume...come on..achen utani bana...we have a serious job ahead....serikali kwa nini haiwezi kuchukua hatua....is it an issue of incompetence? au nini?
Nini kinazuia vyombo vya serikali kwenda kiundani...acha jokes bana......serikali inatumia kodi zetu halafu hawataki kwenda kiundani kwenye serious issues?
Mimi nataka wakamatwe kama wanavyokamatwa MAJIZI MAARUFU ya CCM....Watu wa hovyo sana nyie CCM...Shame on you...look at how bad you are...wezi wakubwa nyie.
Hakuna kitu kama hicho...mnaendelea kuifisadi nchi kuwalipa IPTL mabilioni,Kivuko cha MV Dar es salaam kipo wapi? Wizi wa ESCROW,LUGUMI na vingenevyo...Mnadhani sisi ni wajinga sana eeeeh? we are not all ignorants
Hivi kile si ni chuma chakavuHapana kwanza anatakiwa aliyenunua Mv Bagamoyo ahojiwe
akinyan'ganywa Ranchi alizojiuzia,viwanja kwa mamia, mashamba pamoja na nyumba za serekali alizo jiuzia mtajua tuu nani mwizi ni Rostam au Lowassa. unajua Lowassa kaingia ubia na wawekezaji wangapi kwa kipindi yeye ni waziri mkuu tuu?😡Rostam ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii
Karamagi ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii
Mbowe ni mwenyekiti wetu asiye na doa hata moja kama angekuwa nalo TAKUKURU hao hawapo? mbona hawajamkamata kama wanavyowabeba wezi nyie CCM?
About Lowasa..sitasema Mengi...Muda ndio utawaumbua ..na mtaona aibu sana
Ahsante Mungu kwa kumuumba Lowasa.
View attachment 381917
...comrade
akinyan'ganywa Ranchi alizojiuzia,viwanja kwa mamia, mashamba pamoja na nyumba za serekali alizo jiuzia mtajua tuu nani mwizi ni Rostam au Lowassa. unajua Lowassa kaingia ubia na wawekezaji wangapi kwa kipindi yeye ni waziri mkuu tuu?😡
Mimi ni mtu huru sana kifikra.....Mwizi yeyote sio rafiki yangu haijalishi yuko wapi.....Nini kinazuia hao wezi walioko chadema kukamatwa...tunailipa serikali hii ya CCM kodi zetu ifanye kazi...kwa nini haiwakamati hao wezi walioko Chadema...hatutaki politics za hisia hapa...serikali ina vyombo vyote kwa nini tuanze ku assume...come on..achen utani bana...we have a serious job ahead....serikali kwa nini haiwezi kuchukua hatua....is it an issue of incompetence? au nini?
Nini kinazuia vyombo vya serikali kwenda kiundani...acha jokes bana......serikali inatumia kodi zetu halafu hawataki kwenda kiundani kwenye serious issues?
Mimi nataka wakamatwe kama wanavyokamatwa MAJIZI MAARUFU ya CCM....Watu wa hovyo sana nyie CCM...Shame on you...look at how bad you are...wezi wakubwa nyie.
Hakuna kitu kama hicho...mnaendelea kuifisadi nchi kuwalipa IPTL mabilioni,Kivuko cha MV Dar es salaam kipo wapi? Wizi wa ESCROW,LUGUMI na vingenevyo...Mnadhani sisi ni wajinga sana eeeeh? we are not all ignorants
Mhusika mkuu ni Fredrick Sumaye.Tuone kama nyumba za serikali zitarudishwa!!!
Na mhusika kutinduliwa hadharani.
Hivi ccm kuna msafi kweli watu wamefilisi taifa na chama mpaka wamekosa hata pesa za kuitisha mkutano wa kumchagua mwenyekiti wao.
Wakimkamata nyoka wa makengeza a.k.a mzee wa vijisenti nitaamini kuwa hakuna fisadi wa kubaki.Sasa naamini serikali na vyombo vya dola vipo kazini. Jana mara baada ya UVCCM kutoa taarifa za ufisadi za Suxtus Mapunda (aliyekuwa katibu mkuu wa jumuia hiyo, na kwa sasa ni mbunge wa Mbinga), leo kakamatwa na Takukuru kwa mahojiano zaidi na ikibidi kufikishwa mahakamani mapema iwezekanavyo..
Wakati huo huo Mdada Seki na aliyekuwa katibu katibu wa uvccm, Iringa wakiendelea kutafutwa.
Mytake: Chini ya Magufuli hakuna fisadi atakayebaki salama..
Ok ok hebu weka evidence za unayoyasema...usiongozwe na ushabiki. weka facts sio propagandaUVCCM ndio wamefufua uwizi wa huyo anayeitwa Mapunda ndio maana TAKUKURU wakaenda kumuhoji huyo mdaiwa... Sasa BAVICHA mkidai Ruzuku mtafukuzwa nyie na chama mtakiacha. Sasa BAVICHA simameni leo acheni kuwa misukule muhoji kwanini Mbowe alikiuzia chama magari chakavu kwa million 500. Hojini kwanini Tender zote anabeba Mbowe ndani ya Chama.. Hakika mkihoji hayo lazima TAKUKURU wamtie kimiani Mbowe..
Prove it acha kuchemka kama boiler isiyo na controlUsiwe masikini wa akili hivi ukiambiwa "kivuko kibovu" hujui maana yake au unajitoa ufahamu
Na Escrow!Ni kweli hakuna fisadi atakayebaki salama isipokuwa Lugumi
Namuona fisadi kuuRostam ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii
Karamagi ni mwanachama maarufu wa CCM hadi leo hii
Mbowe ni mwenyekiti wetu asiye na doa hata moja kama angekuwa nalo TAKUKURU hao hawapo? mbona hawajamkamata kama wanavyowabeba wezi nyie CCM?
About Lowasa..sitasema Mengi...Muda ndio utawaumbua ..na mtaona aibu sana
Ahsante Mungu kwa kumuumba Lowasa.
View attachment 381917