kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Pole subirini Lumumba hapo siku kikichanganyaYale ni maigizo kama maigizo mengine. wanashangilia kuvunjwa katiba ya Guinea?
Katiba inatamka wazi kuwa katika njia za kumuondoa Raisi madarakani hiyo ya mapinduzi haimo kwenye katiba
Raisi Conde ni Raisi halali wa Guinea hadi saa hii kwa mujibu wa katiba ya Guinea siyo hilo Jambazi Mamady Doumbouya
We ni nani?Bunge la Guinea kwa Vikao vyake halali kabisa lilijiongezea posho na kupitisha kuwa Raisi aliyepo Raisi aliyepo ruksa kugombea tena
Kikosi kimoja cha makomandoo bila kushirikisha vikosi vingine vya jeshi wakaenda kumteka Raisi CondΓ© na kumficha wanakojua wao.
Mimi bado namtambua Rais Conde kama Rais halali wa Guinea na nautaka umoja wa Afrika usimtambue huyo jambazi Mamady Doumbouya na Kikosi chake cha majambazi makomandoo waliomteka Rais halali na kujitia eti wamempindua.
Vikosi vingine nendeni mkalipindue hilo jangili. Mamady Doumbouya arudishwe Rais Conde
Naitaka jumuiya ya kimataifa ilaani huo utekaji nyara na hilo Jambazi linalojiita limepindua liuawe chap chap
Kwa mujibu wa katiba ya Guinea hakuna njia ya Jeshi ya kumuondoa Raisi aliyepo madarakani. Jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba
Voice from MirembeYale ni maigizo kama maigizo mengine. wanashangilia kuvunjwa katiba ya Guinea?
Katiba inatamka wazi kuwa katika njia za kumuondoa Raisi madarakani hiyo ya mapinduzi haimo kwenye katiba
Raisi Conde ni Raisi halali wa Guinea hadi saa hii kwa mujibu wa katiba ya Guinea siyo hilo Jambazi Mamady Doumbouya
Kazi ya jeshi ni kulinda wananchi wote katika nchi dhidi ya adui yeyote awe wa ndani au wa nje na hiyo ndiyo maana wanawapindua madikteta kama Alpha Conde ili kuleta utawala wa haki.Uongo kazi ya jeshi ni kulinda mipaka sio ndani hiyo kazi ya Polisi hilo Jambazi Mamady linatakiwa kuuawa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hii sio comment n chuki binafsi Sasa mkuuHakuna kitu kibaya kama kunywa uji wa mapumba ya mahindi na chumvi kama chakula kikuu cha siku.
Ukute mtoa mada ni muhitimu wa chuo fulani tangu 2013 hana ajira, kakaa kwa shemeji imeshindikana akajiunga na forever living anatembea na vipeperushi kila siku kazi kuhudhuria mikutano ya motivational speakers tu kila alhamisi na anasali kwa Gwajima. Unaweza kuelewa ni mtu wa aina gani
Kojoa urudi ndani ulaleMimi uzuri huwa post zangu sipost kutafuta likes ! !! ! Hii mada iko juu mno ya uwezo wako hii ni ya kimataifa sio ya ndani ya hoja ya katiba mpya na tume huru ya uchaguzi mada ambazo wewe unaziweza kidogo! ! ! Hapa niko anga za kimataifa
Katiba unayoisemea ambayo huyo conde aliibadilisha kihuni ili aendeelee kutawala???Kwenye katiba ya Guinea hiyo statement haimo. jeshi halitajwi kama njia mojawapo ya kumuondoa Raisi madarakani. hilo Jambazi Mamady Doumbouya lazima lifungashwe virago
Kwani Tanzania ni kitu gani duniani ?!. Upuuzi mtupu YEHODAYANaomba Mama Samia Tanzania tuwahi haraka kutangaza kuwa hatuitambui serikali ya huyo jambazi Mamady Doumbouya aliyeingia madarakani kinyume cha katiba ya Guinea
Jaman huu ni mwaka 2021 tena unaisha , Hivi mpaka leo we yehodaya hujajua tu hakuna watu wezi na majambazi kama hayo maumoja uloyataja???? Kizazi kinafunguka shauri yenu mtaakumbuka shuka kumekucha aseee tupo ssKwa taarifa yako umoja wa Afrika, umoja wa Ulaya, Marekani na jumuiya ya nchi za Africa Magharibi wamelaani Mapinduzi hayo na hawamtambui huyo jambazi Mamady Doumbouya
Hao wa America na France unawasingizia kwa sababu ya upumbavu wa muAfrica .Haya mapinduzi yanaweza kuonekana yana nia njema hasa baada ya Rais kusigina katiba lakini kwa asilimia kubwa yatakuwa na matokeo hasi kwa wananchi wanaoshangilia leo.
Matatizo waliyoyataja yapo Afrika nzima na historia haioneshi kama wanajeshi huwa wanaleta demokrasia na hali bora ya maisha (isipokuwa Jerry Rawlings tu). Wangeweza kumtoa Rais na kuitisha uchaguzi lakini ndio kwanza wanateua wakuu wa mikoa hiyo si dalili nzuri.
Misri, Sudan na Mali wanajeshi walifanya mapinduzi na hadi leo bado wapo madarakani hawataki kuwaachia raia serikali, na wananchi wakiandamana kuwapinga wanapigwa risasi za moto. Huyu Mamady Doumbouya na Assimi Goita wa Mali walikuwa darasa moja kwenye mafunzo yanayoongozwa na Marekani na Ufaransa.
Marekani, Australia na Ufaransa wameshirikiana kumtoa Rais madarakani kwa maslahi yao na kuondoa ushawishi wa China katika nchi hiyo. Australia ndio muuzaji mkubwa wa iron ore kwa China na tangu mwaka juzi China amekuwa akitishia kuacha kununua madini hayo baada ya kuingia mkataba wa trilion 14 na Guinea ambayo ina madini hayo mengi na bora kuliko ya Australia. Sasa hivi kwa kuwa Rais hayupo China ataendelea kuwa mteja wa Australia. Marekani na Ufaransa hawataki China awe na ushawishi kwenye nchi zote zenye rasilimali Afrika. Kwa sasa utaona mikataba ya madini watapewa makampuni ya kwenye nchi hizo mbili.
Letter from Mirembe.
Kwa kawaida mlafi hategemei kukutana na mlafi kumzidi,pindi hilo likitokea tarajia lolote.Bunge la Guinea kwa Vikao vyake halali kabisa lilijiongezea posho na kupitisha kuwa Raisi aliyepo Raisi aliyepo ruksa kugombea tena
Kikosi kimoja cha makomandoo bila kushirikisha vikosi vingine vya jeshi wakaenda kumteka Raisi CondΓ© na kumficha wanakojua wao.
Mimi bado namtambua Rais Conde kama Rais halali wa Guinea na nautaka umoja wa Afrika usimtambue huyo jambazi Mamady Doumbouya na Kikosi chake cha majambazi makomandoo waliomteka Rais halali na kujitia eti wamempindua.
Vikosi vingine nendeni mkalipindue hilo jangili. Mamady Doumbouya arudishwe Rais Conde
Naitaka jumuiya ya kimataifa ilaani huo utekaji nyara na hilo Jambazi linalojiita limepindua liuawe chap chap
Kwa mujibu wa katiba ya Guinea hakuna njia ya Jeshi ya kumuondoa Raisi aliyepo madarakani. Jambazi Mamady Doumbouya kavunja katiba
Kweli amevunja katiba lakini sasa jeshi si liachie madaraka kwa raia.Hao wa America na France unawasingizia kwa sababu ya upumbavu wa muAfrica .
Wewe unavunja katiba unasingizia mabeberu ?!. Bahati mbaya hili la kwetu linaongozwa na makada .
Kwa siku moja tu !!. Lazima mazingira ya kuirudisha serikali kwa raia yaandaliwe . Ikiwemo na hilo Bunge lililofanya mambo haramu lazima liondolewe .Kweli amevunja katiba lakini sasa jeshi si liachie madaraka kwa raia.