Siyo kwa ubaya, nauliza tu: Gari la Lissu halitengenezeki? Je, halikuwa na bima kubwa?

Una roho ya kimasinikini sn, hujalazimishwa acha watu wachange kwa hiari yao.
 
Swali ni kwamba,

Je kwa mfano sasa hivi Lisu akitaka kulitengeneza gari lake Bima itacover gharama kama wakati lilipotokea hilo tukio ilikua na bima?

Hili sio swali la kisiasa na ningependa lijibiwe na wataalamu wa masuala ya Bima tu.
Tofautisha Bima ya Ajali na tukio la gari kushambuliwa na majambazi

Ni vitu viwili tofauti 😃😃
 
Ahsante kwa kujibu kwa kina, Ndugu Dr Matola PhD Nini mtazamo wako zaidi.
 

Muujiza unaoishi.....risasi 16 ziliingia mwilini ,moja imebakia ,22 zimeenda nje ya target.

38 bullets couldn't drop him ,he took and smiled ,a lot they clapped but he ate 'em shits like scooby's snacks.
 
Lissu inavyoonekana anafanya kile wataalam wanakiita "Exposure Therapy"

Wahanga wa matukio ya kupigwa risasi huwa wanafanyiwa therapy hio

Lissu ni mhanga wa kupigwa risasi.

Gari Jipya halitamsaidia kisaikilojia, labda kisiasa kama inavyo onekana.
 
Swali sahihi, kwa wakati muafaka
 
Una roho ya kimasinikini sn, hujalazimishwa acha watu wachange kwa hiari yao.
Wewe ndo una roho ya kimaskini🚮
Unapenda kuchangiwa wakati unajiweza
Kama kuchangiwa ni hiari mbona mnaifanyia kampeni?

Tunawakumbusha watanzania wenzetu kua wanaibiwa akili kumkichwa!!

Watanzania bila kuwakumbusha akili zinakua zimelala
Usikute kuna mmoja katoka kuuza ng'ombe/kiwanja chake ili amtumie lissu hela
Kupitia post hii anaweza kughairi na hiyo hela akaitumia kupaua ghofu lake alilolitelekeza kwa kukosa hela ya kununua mabati.
 
Sisi hata mumeo akiomba mchango tuna mchangia, mbona nyie mnamchangia maza form ya 1M kwamba hana 1M? shame on you
 
Lissu inavyoonekana anafanya kile wataalam wanakiita "Exposure Therapy"

Wahanga wa matukio ya kupigwa risasi huwa wanafanyiwa therapy hio

Lissu ni mhanga wa kupigwa risasi.

Gari Jipya halitamsaidia kisaikilojia, labda kisiasa kama inavyo onekana.
Babu yangu Mzee Kamtawa aka Saidi TANU alikuwa Dereva wa Landlover ya TANU iliyopo pale Makumbusho

Tunajivunia sana hilo 😂😂😂

Sioni tatizo Gari ya Tundu Lisu kuwekwa Makumbusho nasi wenye Mapenzi mema tumeshamchangia 😃😃🌹
 
Raisi anajengewa nyumba yenye hadhi ya Ikulu mshahara wa hadhi ya Raisi alieko madarakani kwa kodi za wananchi masikini huoni! Unaongelea kwa hiari yao watu wametoa kwa mpendwa wao bila shuruti
 
Inasikitisha kwamba anayechanga ni mwingine, anayeumia na kuwasha washwa ni mwingine.

Lissu kaomba msaada wa kupata fedha za kununua gari baada ya wadau kumuomba asitengeneze hiyo ili iwe kumbukumbu ya tukio husika.

Hajamlazimisha yeyote wala kumshurutisha mtu. Mtu anawiwa tu kwenye nafsi yake kuamua kutoa kumsupport.

Wanaomsaidia hawamaanishi wameshiba au wamesaza na kujitosheleza. Na ukiona unatoa kwa sababu imekuzidia, basi huo msaada tena.

Marekani na nchi nyingi za Ulaya, kila wa leo wanatoa msaada kwa nchi yetu. Haimaanishi wanasaza, ina matatizo kede. Ila inaona kuna umuhimu wa kufanya hivyo.

Marekani anadaiwa trillions za dollars. Ila bado inawasaidia enyi walalahoi, na mnapokea kumsifia mama yenu.

Ila Watanzania wakijitoa kumsaidia nongwa basi mnawashwa vinyeo. Jitieni dole mnuse wapumbavu ninyi.

Acheni roho za kimaskini. Acheni roho za kukunjamana. Anayeweza atoe. Asiyekuwa na uwezo basi akae kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…