Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tena ni historia nzuri na kubwaBabu yangu Mzee Kamtawa aka Saidi TANU alikuwa Dereva wa Landlover ya TANU iliyopo pale Makumbusho
Tunajivunia sana hilo ๐๐๐
Sioni tatizo Gari ya Tundu Lisu kuwekwa Makumbusho nasi wenye Mapenzi mema tumeshamchangia ๐๐๐น