Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Tutaparuna kwa CCM, ila kwa ujinga wenu.Usijali! Hamna tatizo
Kwingine turuke zetu sarakasi š¤£. Ulikataa kuja kule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaparuna kwa CCM, ila kwa ujinga wenu.Usijali! Hamna tatizo
Njoo nakusubiriTutaparuna kwa CCM, ila kwa ujinga.
Kwingine turuke zetu sarakasi š¤£. Ulikataa kuja kule.
Kwani ma-PS hawapo Mwanza kwenye kikao chao?Lucas Mwashambwa ajanipa hizi taarifa nitakuamini vipi
Wapi Lissu ameomba kuchangiwa gari?Wewe ndo una roho ya kimaskiniš®
Unapenda kuchangiwa wakati unajiweza
Kama kuchangiwa ni hiari mbona mnaifanyia kampeni?
Tunawakumbusha watanzania wenzetu kua wanaibiwa akili kumkichwa!!
Watanzania bila kuwakumbusha akili zinakua zimelala
Usikute kuna mmoja katoka kuuza ng'ombe/kiwanja chake ili amtumie lissu hela
Kupitia post hii anaweza kughairi na hiyo hela akaitumia kupaua ghofu lake alilolitelekeza kwa kukosa hela ya kununua mabati.
Daaah! š¤£š¤£š¤£Njoo nakusubiri
Hata likipaki nyumbani kwake ni kumbukumbu tosha watu wataenda Ikungi kuchota Baraka za Unabii šššLandrover lina matundu ya Risasi?š¼.
Tundu Lissu analalamika matibabu yake hayajalipiwa?
Msaidieni huko, kwenye matibabu ya "Exposure Therapy" na Therapy nyingine zina gharama kubwa tu. Mchangishane tu. Nami sioni tatizo.
Ama atembee nalo hivyo hivyo basi.
Lakini makumbusho akayafanye pale Ufipa.
Relax.Mwingine ni bodaboda tena boda ni ya boss
Anapiga domo hadi udenda unamtoka kuhamasisha wenzake wamchangie lissu
Ujinga wa hali ya juu, pangu pakavu hata mchuzi sina natia maji tena maji ya kisima halafu nimchangie tajiri!
Lissu akionesha bank statement yake sidhani kama anakosa hata 1B
Pm ya nini wakati jukwaa la chit chat lipošAsipokuja nicheki pm
Nipo free leo.
š
Nisharelax mkuu!Relax.
Sijakusoma!Pm ya nini wakati jukwaa la chit chat lipoš
Halafu utakuta hao waliotaka kukutoa roho,wao hawajachanga hata mia.Nisharelax mkuu!
Kumbe lissu ana watu, nusu wanitoe rohoš
Nilimwambia aje kule "mention someone without any reason just to disturb them"Sijakusoma!
Wewe mwenyewe takataka kabisaš®
Usikasirike! Mambo madogo hayaWewe mwenyewe takataka kabisa
Hiyo exposure therapy umeikariri naona hata ukilala unaiota. Umeirudia weee hadi unaboa sasa.
ID nyingine toka wapi?Na wewe toka umepata ID nyingine unarudia rudia yale yale tu. Ngoja sindano na Ukweli ukuingie.
Ota na wewe.
Sijakasirika, tangu nizaliwe sijawahi kukasirishwa na mwanamama,nawapenda na nawaheshimu sana.Usikasirike! Mambo madogo haya
Nisamehe hata hivyo