Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Mm na vijana wangu tutachangia ununuzi wa gari ya Lissu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ID nyingine unatoa wapi.🤔 Jikite kwenye mada. 😌ID nyingine toka wapi?
Mh. Samia hana milioni moja ya kuchukua fomu?Chama hakiwezi kununua gari mpaka watu wamchangie?
Huyu jamaa nae anajitia aibu sana! Katibu wa chama hawezi kununua gari?
Bilionea Mbowe atoe hela akanunue gari ya Lisu.
Huu ni utapeli.
Sasa aliyekwambia upime maji ya moto kwa kidole ni nani?😀Nisharelax mkuu!
Kumbe lissu ana watu, nusu wanitoe roho😂
Wanaomchangia pesa ya fomu Samia malengo yao yanaeleweka ni matumbo yao tu, ila leo swali kwa makamanda hebu tuwekane sawa kwanza.CCM nyie ni wajinga sn, hakuna sehemu Lisu kaomba kununuliwa gari, watu ndiyo wameamua kumnunulia gari na hiyo iwe ni kumbukumbu yake, mbona nyie mnachanga form ya uRais kila mara au maza hana milioni 1 ya form?
Nimeongea ukweli wangu ninaouaminiSasa aliyekwambia upime maji ya moto kwa kidole ni nani?😀
Una uelewa wowote wa insurance policy? Vitu usivyovijuwa subiri wataalam wapo humu watafafanuwa.Tofautisha Bima ya Ajali na tukio la gari kushambuliwa na majambazi
Ni vitu viwili tofauti 😃😃
Bima gani hao watalipa gharama? Hata wa kumsalia tu Lissu walikatwa.Swali ni kwamba,
Je kwa mfano sasa hivi Lisu akitaka kulitengeneza gari lake Bima itacover gharama kama wakati lilipotokea hilo tukio ilikua na bima?
Hili sio swali la kisiasa na ningependa lijibiwe na wataalamu wa masuala ya Bima tu.
Ni kwasababu, mwenye nacho ataongezewa, asiyekuwa nacho hata kile Kidogo alichodhani anacho, kitachukuliwa.Ila kwa nini maskini hatupendani? Tuko radhi kuchangia matajili.
Wewe si ndiye umeleta ishu ya ID mpya? Au umeshasahau mara moja hii?Kwani ID nyingine unatoa wapi.🤔 Jikite kwenye mada. 😌
Umeshapanic 🐼🔥Una uelewa wowote wa insurance policy? Vitu usivyovijuwa subiri wataalam wapo humu watafafanuwa.
Kuna vitu vingine vinakera sema kufanyana wajinga pia SIO Jambo jema kabisa Gari inakosaje Bima kwa mfano na mfanano?Hivi ni busara kweli kukamuwa watu maskini wakuchangie gari wakati wao hata baiskeli hawana? Je inawezekana vipi chama kikubwa kama Chadema kishindwe kumpatia gari Lisu? Maswali ni mengi hebu naomba wa ufafanuzi kwa haya kwanza.
Mkuu mimi sina hata kigoda ila nimechanga. Humsaidii mtu kutafuta na huwezi mpangia mtu matumizi ya pesa, michango inasogea kama kawaida na gari atapata.Hao ni wezi!
Watanzania wengi walivyo mbumbumbu watachanga hela
Mwingine hata baiskeli hana ila atamchangia Lissu
Hatupendani au wewe ndio hupendi wenzio?Ila kwa nini maskini hatupendani? Tuko radhi kuchangia matajili.
Achana na huyo mlevi. Yeye huandika kulingana na kimachomjia kichwani. Ndio maana hanaga hata uwezo wa kutofautisha jinsia. Wewe si unaonaga anamwita kila mtu Dada 😃😃😃😃Lucas Mwashambwa ajanipa hizi taarifa nitakuamini vipi
Na wewe ukute unatumia SONGESHA au nipige tafu kuandika huu ujinga.Huko kwenye Baiskeli umeenda mbali sana,
Kuna wengine hata kula yao tu ni ya tabu.
Gari limeharibika au halijaharibika? Jibu kwanza hilo swali alafu nikuongoze Sala ya TobaBima gani hao watalipa gharama? Hata wa kumsalia tu Lissu walikatwa.
Pia Hakuna bima ya terrorism. Ule ulikuwa ugaidi na haikuwa ajali.
Ila sa100 kuchangiwa kuchukua fomu kwako ni shega tu mwananguMwingine ni bodaboda tena boda ni ya boss
Anapiga domo hadi udenda unamtoka kuhamasisha wenzake wamchangie lissu
Ujinga wa hali ya juu, pangu pakavu hata mchuzi sina natia maji tena maji ya kisima halafu nimchangie tajiri!
Lissu akionesha bank statement yake sidhani kama anakosa hata 1B