Siyo kwa ubaya, nauliza tu: Gari la Lissu halitengenezeki? Je, halikuwa na bima kubwa?

Siyo kwa ubaya, nauliza tu: Gari la Lissu halitengenezeki? Je, halikuwa na bima kubwa?

Kama alivyo Tundu Lisu yeye ni bahari hakai na uchafu lazima hautapike.

Sasa na mimi namuenzi Lisu kwa kusimama katika ukweli na nina swali naomba majibu, je gari ya Lisu haitengenezeki? Maana ninachojuwa engine haikupata madhara yoyote, je Lisu kama mwanamsheria msomi gari yake haina bima kubwa?

Hivi ni busara kweli kukamuwa watu maskini wakuchangie gari wakati wao hata baiskeli hawana? Je inawezekana vipi chama kikubwa kama Chadema kishindwe kumpatia gari Lisu? Maswali ni mengi hebu naomba wa ufafanuzi kwa haya kwanza.
Wanasiasa ni watu ambao wanatafuta masilahi binafsi kupitia siasa. Kwa kifupi Lissu ni mchumia tumbo aliyechangamka halafu anadeka sana kama mtoto. Hajawahi kujitolea kwa kipato chake kusaidia watu halafu leo eti anataka watu masikini ndo wamchangie kununua gari 😭😭
 
Bima gani inakuwa valid kwa miaka 7 ? Hiyo gari ipo kituoni kuanzia mwaka 2017 September , ina maanisha bima yake ilikwisha siku nyingi sana
Huna akili, mwaka uliotokea ajari gari lilikuwa na bima valid.

Tundu Lisu ni public figure ni bingwa wa sheria na ana marafiki wanasheria wenzake waliobobea kwenye angle hiyo ya insurance na matatizo aliyopitia yanajurikana nchi nzima na ana vyeti vya hospitali na asylum seeker.
 
Kama alivyo Tundu Lisu yeye ni bahari hakai na uchafu lazima hautapike.

Sasa na mimi namuenzi Lisu kwa kusimama katika ukweli na nina swali naomba majibu, je gari ya Lisu haitengenezeki? Maana ninachojuwa engine haikupata madhara yoyote, je Lisu kama mwanamsheria msomi gari yake haina bima kubwa?

Hivi ni busara kweli kukamuwa watu maskini wakuchangie gari wakati wao hata baiskeli hawana? Je inawezekana vipi chama kikubwa kama Chadema kishindwe kumpatia gari Lisu? Maswali ni mengi hebu naomba wa ufafanuzi kwa haya kwanza.
KWANINI UNATESEKA?
 
Kama alivyo Tundu Lisu yeye ni bahari hakai na uchafu lazima hautapike.

Sasa na mimi namuenzi Lisu kwa kusimama katika ukweli na nina swali naomba majibu, je gari ya Lisu haitengenezeki? Maana ninachojuwa engine haikupata madhara yoyote, je Lisu kama mwanamsheria msomi gari yake haina bima kubwa?

Hivi ni busara kweli kukamuwa watu maskini wakuchangie gari wakati wao hata baiskeli hawana? Je inawezekana vipi chama kikubwa kama Chadema kishindwe kumpatia gari Lisu? Maswali ni mengi hebu naomba wa ufafanuzi kwa haya kwanza.
MBONA MCHANGIA WACHUNGAJI KUNUNUA MAGARI?
 
Kama alivyo Tundu Lisu yeye ni bahari hakai na uchafu lazima hautapike.

Sasa na mimi namuenzi Lisu kwa kusimama katika ukweli na nina swali naomba majibu, je gari ya Lisu haitengenezeki? Maana ninachojuwa engine haikupata madhara yoyote, je Lisu kama mwanamsheria msomi gari yake haina bima kubwa?

Hivi ni busara kweli kukamuwa watu maskini wakuchangie gari wakati wao hata baiskeli hawana? Je inawezekana vipi chama kikubwa kama Chadema kishindwe kumpatia gari Lisu? Maswali ni mengi hebu naomba wa ufafanuzi kwa haya kwanza.
kwanza kuna flaw kwenye hoja yako. Una uhalika kila anaechangia ni maskini?
 
Muujiza unaoishi.....risasi 16 ziliingia mwilini ,moja imebakia ,22 zimeenda nje ya target.

38 bullets couldn't drop him ,he took and smiled ,a lot they clapped but he ate 'em shits like scooby's snacks.
Mkuu hapo mwishoni umepita kama Pac kwenye Hit Em Up 😁
 
Huna akili, mwaka uliotokea ajari gari kilikuwa na bima valid.

Tundu Lisu ni public figure ni bingwa wa sheria na ana marafiki wanasheria wenzake waliobobea kwenye angle hiyo ya insurance na matatizo aliyopitia yanajurikana nchi nzima na ana vyeti vya hospitali na asylum seeker.
Bima valid 😂😂😂
 
Mwingine ni bodaboda tena boda ni ya boss
Anapiga domo hadi udenda unamtoka kuhamasisha wenzake wamchangie lissu

Ujinga wa hali ya juu, pangu pakavu hata mchuzi sina natia maji tena maji ya kisima halafu nimchangie tajiri!
Lissu akionesha bank statement yake sidhani kama anakosa hata 1B
Pamoja na kuwa yupo CDM ila anayopambania nje ya siasa unamlipa?.

Mfano kuna wanasheria wengi wanajitolea kusimamoa kesi zenu huko, uliwahi toa 200/- uongezee mafuta ya gari yake to mahakamani?.
 
Halafu ukishajua Kama inatengenezeka?
Ile gari itawekwa jumba la makumbusho ili watu wakumbushwe kwamba, hata umpige mtu risasi arobaini Kama Mungu hataki wafanya kazi bure.
By the way, hakuna anayelazimishwa kuchangia gari jipya la Lissu.
makumbusho ya Chadema yatakua wap ili watalii wafike kirahisi 🐒
 
CCM nyie ni wajinga sn, hakuna sehemu Lisu kaomba kununuliwa gari, watu ndiyo wameamua kumnunulia gari na hiyo iwe ni kumbukumbu yake, mbona nyie mnachanga form ya uRais kila mara au maza hana milioni 1 ya form?
acha upotoshaji kamanda,
muungwana ameomba kwa mdomo wake mwenyewe hadharini, licha ya wazo kutoka kwa wanaharakti wa Chadema 🐒

si amini kama unafanya makusudi Ben...
 
Back
Top Bottom