Sangizi
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,942
- 4,230
Sema tu mnatamani azibe yale matundu maana nafsi zinawasuta.Gari mpya kabisa ile. Ukiitengea kama milioni 20 tena hiyo ni pesa nyingi sana. Ile gari itapendeza na itakuwa wembe tena mpya kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema tu mnatamani azibe yale matundu maana nafsi zinawasuta.Gari mpya kabisa ile. Ukiitengea kama milioni 20 tena hiyo ni pesa nyingi sana. Ile gari itapendeza na itakuwa wembe tena mpya kabisa.
Wanasiasa ni watu ambao wanatafuta masilahi binafsi kupitia siasa. Kwa kifupi Lissu ni mchumia tumbo aliyechangamka halafu anadeka sana kama mtoto. Hajawahi kujitolea kwa kipato chake kusaidia watu halafu leo eti anataka watu masikini ndo wamchangie kununua gari 😭😭Kama alivyo Tundu Lisu yeye ni bahari hakai na uchafu lazima hautapike.
Sasa na mimi namuenzi Lisu kwa kusimama katika ukweli na nina swali naomba majibu, je gari ya Lisu haitengenezeki? Maana ninachojuwa engine haikupata madhara yoyote, je Lisu kama mwanamsheria msomi gari yake haina bima kubwa?
Hivi ni busara kweli kukamuwa watu maskini wakuchangie gari wakati wao hata baiskeli hawana? Je inawezekana vipi chama kikubwa kama Chadema kishindwe kumpatia gari Lisu? Maswali ni mengi hebu naomba wa ufafanuzi kwa haya kwanza.
👌🏾 Ndio.Wewe si ndiye umeleta ishu ya ID mpya? Au umeshasahau mara moja hii?
Huna akili, mwaka uliotokea ajari gari lilikuwa na bima valid.Bima gani inakuwa valid kwa miaka 7 ? Hiyo gari ipo kituoni kuanzia mwaka 2017 September , ina maanisha bima yake ilikwisha siku nyingi sana
Wanaomchangia samia sio vijana maskini ila ni hao wanaotaka teuzi, tena wamefanya kwa hiari yaoIla sa100 kuchangiwa kuchukua fomu kwako ni shega tu mwanangu
Acha kukariri maisha,Na wewe ukute unatumia SONGESHA au nipige tafu kuandika huu ujinga.
Kwahiyo na wale waliochangia form 1 nao wajinga?1. Ujinga
2.Ujinga
3.Ujinga
KWANINI UNATESEKA?Kama alivyo Tundu Lisu yeye ni bahari hakai na uchafu lazima hautapike.
Sasa na mimi namuenzi Lisu kwa kusimama katika ukweli na nina swali naomba majibu, je gari ya Lisu haitengenezeki? Maana ninachojuwa engine haikupata madhara yoyote, je Lisu kama mwanamsheria msomi gari yake haina bima kubwa?
Hivi ni busara kweli kukamuwa watu maskini wakuchangie gari wakati wao hata baiskeli hawana? Je inawezekana vipi chama kikubwa kama Chadema kishindwe kumpatia gari Lisu? Maswali ni mengi hebu naomba wa ufafanuzi kwa haya kwanza.
Upo kwenu huko mtambaswala umekopa nipige tafu umeingia uandike na wewe uonekane una logic.Acha kukariri maisha,
Njoo tubebe box huku utengeneze hela.
SOk kwahiyo litakua makumbusho kwa kumbukumbu? Na gari jipya atachangiwa
MBONA MCHANGIA WACHUNGAJI KUNUNUA MAGARI?Kama alivyo Tundu Lisu yeye ni bahari hakai na uchafu lazima hautapike.
Sasa na mimi namuenzi Lisu kwa kusimama katika ukweli na nina swali naomba majibu, je gari ya Lisu haitengenezeki? Maana ninachojuwa engine haikupata madhara yoyote, je Lisu kama mwanamsheria msomi gari yake haina bima kubwa?
Hivi ni busara kweli kukamuwa watu maskini wakuchangie gari wakati wao hata baiskeli hawana? Je inawezekana vipi chama kikubwa kama Chadema kishindwe kumpatia gari Lisu? Maswali ni mengi hebu naomba wa ufafanuzi kwa haya kwanza.
kwanza kuna flaw kwenye hoja yako. Una uhalika kila anaechangia ni maskini?Kama alivyo Tundu Lisu yeye ni bahari hakai na uchafu lazima hautapike.
Sasa na mimi namuenzi Lisu kwa kusimama katika ukweli na nina swali naomba majibu, je gari ya Lisu haitengenezeki? Maana ninachojuwa engine haikupata madhara yoyote, je Lisu kama mwanamsheria msomi gari yake haina bima kubwa?
Hivi ni busara kweli kukamuwa watu maskini wakuchangie gari wakati wao hata baiskeli hawana? Je inawezekana vipi chama kikubwa kama Chadema kishindwe kumpatia gari Lisu? Maswali ni mengi hebu naomba wa ufafanuzi kwa haya kwanza.
Mkuu hapo mwishoni umepita kama Pac kwenye Hit Em Up 😁Muujiza unaoishi.....risasi 16 ziliingia mwilini ,moja imebakia ,22 zimeenda nje ya target.
38 bullets couldn't drop him ,he took and smiled ,a lot they clapped but he ate 'em shits like scooby's snacks.
Bima valid 😂😂😂Huna akili, mwaka uliotokea ajari gari kilikuwa na bima valid.
Tundu Lisu ni public figure ni bingwa wa sheria na ana marafiki wanasheria wenzake waliobobea kwenye angle hiyo ya insurance na matatizo aliyopitia yanajurikana nchi nzima na ana vyeti vya hospitali na asylum seeker.
sadaka ya kujimaliza sio 🐒Unateseka Bure
Yesu alisema " aliyenacho ataongezewa"
Pamoja na kuwa yupo CDM ila anayopambania nje ya siasa unamlipa?.Mwingine ni bodaboda tena boda ni ya boss
Anapiga domo hadi udenda unamtoka kuhamasisha wenzake wamchangie lissu
Ujinga wa hali ya juu, pangu pakavu hata mchuzi sina natia maji tena maji ya kisima halafu nimchangie tajiri!
Lissu akionesha bank statement yake sidhani kama anakosa hata 1B
makumbusho ya Chadema yatakua wap ili watalii wafike kirahisi 🐒Halafu ukishajua Kama inatengenezeka?
Ile gari itawekwa jumba la makumbusho ili watu wakumbushwe kwamba, hata umpige mtu risasi arobaini Kama Mungu hataki wafanya kazi bure.
By the way, hakuna anayelazimishwa kuchangia gari jipya la Lissu.
acha upotoshaji kamanda,CCM nyie ni wajinga sn, hakuna sehemu Lisu kaomba kununuliwa gari, watu ndiyo wameamua kumnunulia gari na hiyo iwe ni kumbukumbu yake, mbona nyie mnachanga form ya uRais kila mara au maza hana milioni 1 ya form?