Siyo siri siku hizi wanawake wameota mapembe

Siyo siri siku hizi wanawake wameota mapembe

Mapembe ni ishu ya nyota, wengi elimu hawana. Mwanamke mapembe ni nyota ya simba na ni mwanamke moto. Wewe ni punda, mbuzi, kondoo unaoa simba, lazima utapelekeshwa. Simba ni mfalme huwa juu. Ukiweka simba na mbuzi chumba kimoja ni lzm mbuzi ataliwa.
Hapo ni ishu ya elimu ya kuchagua. Rudi shule kachague upya, kwann ubebe mzigo wa malezi mabovu. Wazazi wanawalea watoto wao vibaya KISHA mzigo ubebe wewe nani kasema.
 
Mapembe ni ishu ya nyota, wengi elimu hawana. Mwanamke mapembe ni nyota ya simba na ni mwanamke moto. Wewe ni punda, mbuzi, kondoo unaoa simba, lazima utapelekeshwa. Simba ni mfalme huwa juu. Ukiweka simba na mbuzi chumba kimoja ni lzm mbuzi ataliwa.
Hapo ni ishu ya elimu ya kuchagua. Rudi shule kachague upya, kwann ubebe mzigo wa malezi mabovu. Wazazi wanawalea watoto wao vibaya KISHA mzigo ubebe wewe nani kasema.
Hapo ndio tatizo huanza, malezi mabovu kutoka kwao.
 
Bila discussion wakuu,

Wanawake wengi wa siku hizi daah wameota mapembe, yaani hawaambiliki, wala huwezi kuwapanga kwa chochote.

Yaani anataka kupelekesha mtu tu kwa kila kitu akiwa anajua upo naye kwenye mahusiano na unyumba, sijui ni vikoba vina wachanganya au ni hizi pesa wameanza kuzishika na kumiliki magari.😔

Lakini mbio za sakafuni huishia ukingoni, na sisi men tuna waacha tu tuone wanafika wapi.

Visa ni vingi wakuu, lakini wanawake wanaforce kingi; yaani huna chochote lakini umpe.
Screenshot_20230222-055823.png

KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
UTACHAPIWA TU
UTAGONGEWA TU
 
Lazima kutakuwa na kaupendeleo mahali...mbona mi bado sijapata mapembe yangu???

On a serious note : ukiwa na mtu alafu ukaishia kuhisi unatumika/unatoa sana kuliko unavyopokea just know you are not in the right relationship. Nenda na mambo yako nae aende na mambo yake.
Well said.
 
Bila discussion wakuu,

Wanawake wengi wa siku hizi daah wameota mapembe, yaani hawaambiliki, wala huwezi kuwapanga kwa chochote.

Yaani anataka kupelekesha mtu tu kwa kila kitu akiwa anajua upo naye kwenye mahusiano na unyumba, sijui ni vikoba vina wachanganya au ni hizi pesa wameanza kuzishika na kumiliki magari.😔

Lakini mbio za sakafuni huishia ukingoni, na sisi men tuna waacha tu tuone wanafika wapi.

Visa ni vingi wakuu, lakini wanawake wanaforce kingi; yaani huna chochote lakini umpe.
Unatakiwa kuwa na msumeno au mkasi wa haja wa kukata hayo mapembe, na unamuonyesha kabisa.

1677038266790.jpeg


maxresdefault.jpg
 
Sio kila mwanamke ni kwa ajili yako...

Ukiona huendani naye, achana naye...
 
Ukishajua kuzichanga karata zako vizuri, mwanamke si chochote kwa mwanaume otherwise mwanaume uwe lofa.
 
Back
Top Bottom