Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao wanasema wanataka kuhudumiwa, kodi, chakula, Mavazi na ada ya shule ya mtoto wake single mother.Lazima kutakuwa na kaupendeleo mahali...mbona mi bado sijapata mapembe yangu???
On a serious note : ukiwa na mtu alafu ukaishia kuhisi unatumika/unatoa sana kuliko unavyopokea just know you are not in the right relationship. Nenda na mambo yako nae aende na mambo yake.
Wewe ni muadilifu??Wanawake nyie pia sio waadilifu mnakamua watoto wa watu
Sio Kila kitu Cha kuwapa mkuu,wewe unachotakiwa kufanya ni kuwapa mimba tu.Bila discussion wakuu,
Wanawake wengi wa siku hizi daah wameota mapembe, yaani hawaambiliki, wala huwezi kuwapanga kwa chochote.
Yaani anataka kupelekesha mtu tu kwa kila kitu akiwa anajua upo naye kwenye mahusiano na unyumba, sijui ni vikoba vina wachanganya au ni hizi pesa wameanza kuzishika na kumiliki magari.😔
Lakini mbio za sakafuni huishia ukingoni, na sisi men tuna waacha tu tuone wanafika wapi.
Visa ni vingi wakuu, lakini wanawake wanaforce kingi; yaani huna chochote lakini umpe.
Vizuri. Uwe unatafuta wa kufanana na wewe ili muweze kwenda sawa.Kiasi kadhaa huwa ni muadilifu.
Basi huyo mwenye mapembe achana nae tafuta mwengine.Mbona mimi silelewi.
Never enter into or escalate a conflict because your ego tells you to.Bila discussion wakuu,
Wanawake wengi wa siku hizi daah wameota mapembe, yaani hawaambiliki, wala huwezi kuwapanga kwa chochote.
Yaani anataka kupelekesha mtu tu kwa kila kitu akiwa anajua upo naye kwenye mahusiano na unyumba, sijui ni vikoba vina wachanganya au ni hizi pesa wameanza kuzishika na kumiliki magari.[emoji17]
Lakini mbio za sakafuni huishia ukingoni, na sisi men tuna waacha tu tuone wanafika wapi.
Visa ni vingi wakuu, lakini wanawake wanaforce kingi; yaani huna chochote lakini umpe.
Mtasema mengi ila narudia nilisema tuache kulalamika pisi kali zipo nyingi tuache kulia tutafute pesa, ukiwa na pesa ni ufalme na unapetaBila discussion wakuu,
Wanawake wengi wa siku hizi daah wameota mapembe, yaani hawaambiliki, wala huwezi kuwapanga kwa chochote.
Yaani anataka kupelekesha mtu tu kwa kila kitu akiwa anajua upo naye kwenye mahusiano na unyumba, sijui ni vikoba vina wachanganya au ni hizi pesa wameanza kuzishika na kumiliki magari.😔
Lakini mbio za sakafuni huishia ukingoni, na sisi men tuna waacha tu tuone wanafika wapi.
Visa ni vingi wakuu, lakini wanawake wanaforce kingi; yaani huna chochote lakini umpe.
This is truly ideal on the contrary our natural instincts perform poorly on this front in our life.Never enter into or escalate a conflict because your ego tells you to.
Only initiate or escalate conflict IF you calculate the benefits of doing so outweigh the costs.
An ego boost does not count as a benefit, an insult does not count as a cost.