SMZ: Kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kuja Zanzibar

SMZ: Kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kuja Zanzibar

Sister usipanic, nataka kuelewa
Nyerere hakutaka kuwa mwanasiasa Bali padre,alizuiwa kuwa padre na askofu wa kizungu,akaja kwenye siasa na kupenyezwa tanu,alipopata uhuru miaka Saba baadae akaingia field kuvunja taasisi ya kiislam iliyounganisha waislam wote na ikiwa na misuli ya kifedha,akaunda bakwata, nadhani unaiona,utawala wake hapakuwahi kuwa na Waziri wa elimu muislam,Ila padre chiwanga alikua Waziri,mpaka 1988 ndiyo Waziri wa kwanza muislam kushika hiyo wizara,na kipindi chote hicho waliofaulu shule za msingi wengi wakiwa wakiristo,elimu ndiyo kigezo Cha kushika nyadhifa tofauti serikalini,Sasa ukiiacha Zanzibar ikawa na mifumo yake ya elimu na mengine,na wazanzibar Wana mafungamano na wabara,maana yake Hawa waislam wa Tanganyika wataenda kuelimika na kupata misaada mingine Zanzibar,so kuungana na Zanzibar Kisha kuimeza,kutasaidia Sana katika kutimiza agenda,yaani ni wakala wa kanisa serikalini,ndiyo maana wapo kwenye mchakato wa kumfanya Nyerere kuwa mtakatifu,kwa makubwa aloyowafanyia
 
Nyerere hakutaka kuwa mwanasiasa Bali padre,alizuiwa kuwa padre na askofu wa kizungu,akaja kwenye siasa na kupenyezwa tanu,alipopata uhuru miaka Saba baadae akaingia field kuvunja taasisi ya kiislam iliyounganisha waislam wote na ikiwa na misuli ya kifedha,akaunda bakwata, nadhani unaiona,utawala wake hapakuwahi kuwa na Waziri wa elimu muislam,Ila padre chiwanga alikua Waziri,mpaka 1988 ndiyo Waziri wa kwanza muislam kushika hiyo wizara,na kipindi chote hicho waliofaulu shule za msingi wengi wakiwa wakiristo,elimu ndiyo kigezo Cha kushika nyadhifa tofauti serikalini,Sasa ukiiacha Zanzibar ikawa na mifumo yake ya elimu na mengine,na wazanzibar Wana mafungamano na wabara,maana yake Hawa waislam wa Tanganyika wataenda kuelimika na kupata misaada mingine Zanzibar,so kuungana na Zanzibar Kisha kuimeza,kutasaidia Sana katika kutimiza agenda,yaani ni wakala wa kanisa serikalini,ndiyo maana wapo kwenye mchakato wa kumfanya Nyerere kuwa mtakatifu,kwa makubwa aloyowafanyia
Waislamu asili yao hawapendi shule hata huko uarabuni, so kwa maelezo yako uislamu ni ugaidi?
 
Back
Top Bottom