Naam.Kiranga, watu waoweza kujibu hoja kwa hoja ni wachache sana. Wengi wana commit logical fallacies hasa hasa ad hominem
πππKama huyo member anaejiita Cohen huyo alitakiwa ahudhurie clinic ya afya ya akili mirembe ukibishana nae kwa sisi tunaemjua tunakuona na wewe ni chizi
Sisi wengine ni ma jobless pro max, cc min -me, dosho12πππππ
Nimecheka hadi shemeji ameshtuka na alikuwa amekuja kulala aamkie zamu ya jioni katika kampuni ya mtoa madaa
Ila mkuu sada hii ndio utamu wa JF πππ mambo kama hayo unayaacha tu ynapita kwa maana hayataacha kuja humu
Humu kila mtu ni tajir, ana iq kubwa, ana biashara k kooπππ
Huyo ni free lancerπ€£πHuyu kijana Eli Cohen kwanini hayupo kwa chama cha majobless kiongozi?
ππHuyo ni free lancerπ€£π
Aika/eka mleuKaribu umbeke mlehu
Bila kuweka link utakuwa wale wale watoto wa shuleHii mitaa inakuhitaji uwe mbunifu, ujue tofauti ya mabishano ya maana na kelele za watoto wa shule na watu wenye IQ ndogo. Usijichoshe bure ujanja ni akili, si hasira!
Ni ngumu kujibu hoja kwa hoja kama una mihemko. Nakiri kuwa na mimi huwa na commit logical fallacies πNaam.
Ad hominem.
Non sequitur.
False dichotomy.
Hasty generalization.
Special pleading.
Argument from authority.
Argument from tradition.
Hizi ni baadhi ya logical fallacies ambazo naziona sana.
Uzuri Nina back up kama 3πΉsoonπ€£π
Meku π machame,marangu, siha,kibosho mangi wa wapi?Aika/eka mleu
Mimi kinachonishinda kuelewa inakuwaje welevu wa jf mnahangaika na machizi.com kama sisiπKama huyo member anaejiita Cohen huyo alitakiwa ahudhurie clinic ya afya ya akili mirembe ukibishana nae kwa sisi tunaemjua tunakuona na wewe ni chizi
Ana IQ kubwa walahi. Miezi tisa tu keshamaliza Advance, Chuo, kafanya biashara Mwaka mzima, kesha somea programming, ana bwawa la samaki n.k n.k , Hana baya hana baya aseHii inawezekana mkuu kuna kijana maskini juzi juzi juzi tu leo ni tajiri hana baya.
Mangi wa uchaganiMeku π machame,marangu, siha,kibosho mangi wa wapi?
HayaUzuri Nina back up kama 3πΉ
Ukanda upiMangi wa uchagani
Mfumo waloutengeneza ccm ni kuweka watu wajinga ili WAWEZE kupokea maelekezo kama yanavyotolewa na huo uongozi wa juu, Tanzania watu wenye akili nyingi wapo sana ila hawapewi nafasi sababu hawawezi kuendeshwa kama unavyotaka, ebu fikiria taratibu, kwanini machawa woote ni ccm ? Mwinjaku and the likesHivi kwa Tanzania Kuna mna mtu siyo low IQ ukianzia uongozi wa juu?
Tunahitaji msaada wa afya ya akili.