Socrates, Plato na Nietzsche: Siyo kila mtu anatakiwa kuwa kiongozi

Socrates, Plato na Nietzsche: Siyo kila mtu anatakiwa kuwa kiongozi

Wakina Dr James Watson ambao walipata Nobel Prize on Genetics, wenye akili kuliko mimi na wewe wanaamini kabisa kwamba DNA inachangia akili ya mtu. Kasome tafiti zake, japo najua hutafanya hivyo. Mtoto wa mtu kama Elon Musk au Joseph Stiglitz ana asilimia kubwa ya kuwa na uwezo wa kiakili kama baba yake. Huu ndiyo ukweli.​
Kwa hiyo ww unafikiri kwamba Elon Musk ana akili kuliko wewe kwenye DNA?Kumbe hujui kuwa Elon Musk anafanya kazi na watu wenye utaalamu na kusaidiwa na watu wenye financial resources ndio maana yupo hapo na sio kwamba yy ana akili kuliko wote ambao hawajafikia hapo....Acha kujidhili bila sababu
 
Walipoacha huu mfumo na kuanza kuleta mambo ya haki sawa na kujaza kila mwanamke na mweusi kwenye mfumo hata wale ambao hawana uwezo ati kisa kuleta usawa, ndiyo sasa wanakinywea.


Effin Misogynist Racist Twaat

Hili ni bandiko la kutunga tunga tu.
 
Basically you are agreeing with Socrates philosophy on meritocracy, despite differences in interchangeable wording on the definition of ruling elite. You call them aristocracy, I use the term meritocracy, Socrates called them ‘Philosophers Kings’. The meaning is the same a group of clever people running the country.

Remember at the time of Plato’s writing, Greece was the only democracy, the rest of Europe were monarchies.

So what western countries have done during their transition from absolute monarchies to democracy (fully or partially); in the process they adopted some of Socrates philosophy and applied them into their government positions.

Despite countries having three pillars of powers ie Judiciary, Parliament and Government. From those three pillars of powers only the government has the task of making decisions which impact the society.

It is for those reasons meritocracy is important in government administration, that’s where the decision makers are; and this is where the concept of ‘philosopher’s kings’ (the term which Socrates used to imply technocrat) is applied.

Brightness is non-negotiable for senior posts in civil services; to be considered as a candidates individuals performance track record comes into play, understanding the nitty gritty of the ministry, understanding how to manage the department/ministry, ascendency to the top is through the appraisal from junior posts.

It doesn’t matter if you the son of the King. When it comes to civil services posts ascendency to the top is a meritocracy process.

You can have any form of system single party state or a multi party system; what they have taken from the Republic (the book)civil services senior posts are for serious experienced, well educated and very clever.


View: https://m.youtube.com/watch?v=oLU-Evdlt-A&pp=ygUaeWVzIG1pbmlzdGVyIGZ1bGwgZXBpc29kZXM%3D

Pretty much this is how things work in this political parody. See how civil servants try to impose their will on the minister wittingly.

Umezunguka kote huko lakini ukweli unabakia kuwa hayo yaliyoandikwa na mleta mada ni Matusi.
 
I believe in merits, distinguished people should lead a society,
Don't you think so too? By the way hasn't it been this way throughout history?
I believe distinguished people don't come from aristocratic and socialite families alone...
 
Intelligence makes it possible to contextualize and interpret community affairs just the way ‘perceptual agreements’ are shared within community members making human experience palpable in terms of sensations of joy, happiness, sorrow, pain etc—capacity to empathize and/or sympathize with one another. Thus, any Intelligent Observer surveying functional community expanses, can make the most of it, providing everything going on is symbolic to shim own ‘intelligible guess’; Seeing through out the observable universe is seeing through in oneself with empathic/sympathetic cognitive resonance.

Intelligence makes it possible to contextualize and interpret community affairs just the way ‘perceptual agreements’ are shared within community members making human experience palpable in terms of ‘coherent thoughts’-- coherent thoughts follow auspicious ability to harmonize ‘finite and infinite elements of form’ in the intellect. Outer world, has its similar reflection in intellect with symbolic ‘magic’ mind to process ‘memories’ and ‘imaginations’ to relay the Trizanium of ‘Thoughts’. Sentience, is having degree of self awareness within the living environment, qualifying symbolic ‘magic’ mind which functions uniquely with time/space and/or varies its capacity and ability as per ‘extended will’ of ‘Being and Time’.

Intelligence makes it possible to contextualize and interpret community affairs just the way ‘perceptual agreements’ are shared within community members making human experience ‘square in circle’ of ‘higher function’ of life—the Metafunction. Thus in the Metafunction, individual sentience is the ‘smaller circle’ of the ‘Overfunction’. Extended will, is the basis of all palpable ‘temporal and spatial’ displacements. Overfunction, through ‘extended will’ of ‘Being and time’, coordinates ‘lenses’ of realities to ascertain ‘what is focused’ and ‘what is blurred’--degree of self awareness, yet out of sight does not imply out of mind; The metafunction stirrers everything inside out, eternally, causing all forms to be ‘seen/observed’ as in perpetual motion—spinning and revolving; at any scale and/or order. Thus ‘time’ is actually an ‘inverse’ of space; ‘Will’ is the grace of Metafunction to the Overfunction to complete the ‘magic’ of form and intelligible ‘self-organization’.

Metafunction and Overfunction animates ‘Sovereign Integral’; thus cosmic energy is all about ‘conscious awareness’. Less than ‘Sovereign Integral’ is seeing things in part, as St Paul articulated in 1 Corinthians 13. Thus the illusion of space and time compounds lesser knowing in the symbolic ‘magic’ mind. Higher knowing is the yield of symbolic ‘magic’ mind beyond illusions of space and time; when this perfectly bestows the intelligence and wisdom pertaining to a ‘Trizanium’, then it is precisely what St Paul called ‘The Mind of Christ’; having the mind of Christ is the auspicious qualification of the ‘Sovereign Integral’. Thus the present, 2023, understanding of length, time, motion and dimensioning is symbolically ‘half of the story’; for the reciprocal system can somehow bestow the counter-intuitive world of ‘visible magic’--the magic of form, being and time; never-the-less the mystery of life persist, intelligibly, at any scale and/or order as an ‘Ankh’-- the ‘inverse’ of the composite square and circle.

Evoking the ‘All Seeing Eye’ is a practical enterprise of bestowing ability and capacity for populations to ascertain ‘Metaphysics’ pertaining to ‘Metafunction’ and ‘Overfuction’ to that they ought to see themselves through. This applies to Africa, with auspiciousness of the ‘Trizania’; thus auspicious social transformations in the continent of Africa follow the suite of ‘Higher Knowing’ and not ‘limited self identity’. With applied Trizania, Africa as a civil society is subjected to ‘Rebirth’--complete transformation beyond ordinary conceptions of ‘nations’ and ‘regional integrations’ for economic and political reasons.

Evoking the ‘All Seeing Eye’ is a practical enterprise of bestowing ability and capacity for populations to ascertain ‘Metaphysics’ pertaining to ‘Metafunction’ and ‘Overfuction’ to that they ought to making conscious choices new communities in the light. Thus new communities in the light can dispel illusions of ‘scarcity’ and/or false national prides in terms of geopolitical influences and material prospects. With applied Trizania, Africa as a civil society is subjected to ‘Rebirth’-- breaking from old influences, and appropriating new auspicious orientation for social thriving with prominence of the Education 1.0, 2.0 and 3.0.

Evoking the ‘All Seeing Eye’ is a practical enterprise of bestowing ability and capacity for populations to ascertain ‘Metaphysics’ pertaining to ‘Metafunction’ and ‘Overfuction’ to that they ought to be ‘guided’ by the higher principality of life itself and not ‘limited thoughts of men’. Thus such guidance is auspicious to ascertain ‘where the continent is coming from(?)’ and ‘where it can be auspiciously destined(?)’ notably if the people make themselves available for the ‘shifted grand reality’. If say, Africa is coming from the ‘Babylon Yard and yoke of slavish mentality’ and auspiciously destined for ‘African Liberty’--what is this ‘African Liberty’ then?

The quest for nations and regional integrations, all over the world, and Africa being in focus is a typical limited enterprise conceived by ‘limited thoughts of men’. Levi Dowling transcribed an interesting ‘truth’ prescribing occasional rising and falling of nations—attributing it to the ‘Holy Breath’ and ‘Mighty Spirits’. In Chapter 14, of the Aquarian Age Gospel of Jesus the Christ of Pisces Age, it is mentioned that “These mighty Spirits cause the nations to be born; they rock them in their cradles, nurtures them to greatest power, and when their tasks are done they wrap them in their winding sheets and lay them in their tombs. Events are many in a nation’s life, and in the life of man, that are not pleasant for the time; but in the end the truth appears: whatever comes is for the best.”

With Trizania, Holy Breath is none other that the intermediary of ‘Sovereign Integral’, a metaphorical ‘vesica-piscis’ of Metafunction and Overfunction to ascertain ‘governing dynamics’ of human culture and civilization. Again, this supposes that it is the people/population who actually en-soul the destinies of lands and time, not vice versa. Through the ‘heart and mind’ of people, ‘African Liberty’ can emerge from the cold and enliven human culture and civilization until auspicious people are no longer around on Earth to en-soul such.

African liberty is the ‘contextual’ culture and state of human civilization due to ‘higher knowing’ innate to prevalent population that seek self-determination over the time and land in Africa. Contemporary Modern Africa, 2023, is not yet a Freeland; this is due to its native people looking outside of themselves for ‘hopes’ and ‘faith’. New and Free Africa, is going to come through ‘African Liberty’ with ‘faith’ and ‘hope’ rooted ‘within’ people themselves. Outside organizations and institutions, say African Union State, will not liberate ‘Africa’ as people in Africa are not ‘united’ by genuine faith and hope.

The real binding force for ‘native people of Africa’, is same force that seeks to bind the entire global population under single umbrella of ‘Humanity’. Thus, nations rise and fall with auspicious coming and going of ‘men of light/judgment’ to the states of human institutions and capacity to effect ‘social compounding’ and/or occasional fragmentation.

Auspicious men and women, people of light and/or judgment, are ‘tactical incarnations’ – ‘individual souls’ of an Overfunction with propensities for ‘new ideas and feelings’; such to infuse, share and collaborate with ‘lukewarm’ populations. These souls may deem to be ‘divine incarnations/soul’ by popular ‘human standards’ related to religious order and/or dispensation; however with qualified Trizania-- ‘the Trizanium’; they are simply soul individuation with ‘more awareness’ and ‘supreme love’ to alter and/or shift ‘perceptive reality’ in societies. Technically, any soul is ‘divine’ yet individuals posses varying capacities to live the ‘will’ of the ‘Divine’—Sovereign Integral is ‘degree of freedom’ of such ‘Will’ as the vesica-piscis of Metafunction and Overfunction. Thus a soul, is a focal point of assuming intelligence--intelligence of an Overfunction predestining ‘human potential and capacity’ to precipitate ‘higher order/functioning’ over ‘time’ and ‘lands’--realms of ‘space/time’ domains.

Overfunction is the ‘Higherself/Ego’ of soul individuation—group soul, and ‘information cloud’ for any sentient living individual, be it a man, animal, plant etc. Lobsang T. Rampa, in his book ‘Chapters of Life’, chapter two, articulates what he and the Tibetan Buddhism have known about the ‘Overself’. Realms of ‘space/time’ domain, are nothing but plenitude of concurrent ‘parallel universes’ that an individual soul can extend into, from the overfunction, while ‘experiences’ can be both ‘positive or negative’--past and/or future moments alike; occasional rising and falling of human cultures and civilization are thus ‘one eternal moment—now-ness’ in ‘functional boundaries’ of the Metafunction.

All human experience can be exacted as persistent ‘frozen units of moments’--units of events and/or order; metaphysically, qualifying Trizanium, it is possible to ascertain that ‘time moving forward’ has it its counter twin--’time moving backward’. Thus cosmic energy, follows analogies of ‘torsion waves’ with gravity and electricity having parallels to light and magnetism, the mysteries of ‘cube of space’. Thus, applying Individual WILL through Overfunction, it is tuning in to what reality you want -- to magnetize reality of your Being and Time; and as if ‘magic’, it is possible to ‘transfigure/transform’ any reality if an individual knows ‘where and how to root’ the axis of ‘extending will’ in ‘metacubes’ of space/time ratios.

And so, Trizania ascertains ‘New Africa’ which is the possible domain of bold collective spirit – of spiritual triumphant. Soulful individuals who can seize auspicious moments to make it right, are the ones know from their hearts and mind ‘what hour it is’. Social compounding for community welfare ought to be guided by harmonized pursuits in both spiritual and mundane needs and wants. ‘Time/temporal displacement’ and ‘Land’ provide auspicious environment to ‘extend will’ and ‘orientations’ for equal opportunity and fairness to participate in human true celebrations of the victory—victory of good over evil; this victory is the function of self-determination in light of auspicious increase in self awareness. Thus making Africa ‘the Tree of Life’ is heralding ‘Trizanium’ in the hearts and mind of Men and women as contextual basis for ‘Actionable Choice Making’.

And so, Trizania ascertains ‘New Africa’ which is the possible domain of bold collective spirit – of spiritual triumphant—with innate ‘overstanding’ of ‘soul realities’ that makes men and women, renown for the ‘African Cause’, past and present-2023; thus those of the past, have played their part which has been ‘half of the story’--for another half has never been told. Seeking to know oneself better, will open new doors to ‘hidden reality’ which en-souled pioneers of new humanity on African soil— Incarnation origins of Nkwameh Nkrumah, Julius K Nyerere and His Imperial Majesty Haile Selassie I. These three souls represented foundational stability for Education 1.0, 2.0 and 3.0 in Africa as pioneering ‘State-men’. Thus ‘New Africa’ will know ‘new heights’ yet its ‘soul’ abides with men and women of ‘open arms and heart’ to embrace ‘better humanity’--men and women from all across the world, not limited by color and/or background culture.

And so, Trizania ascertains ‘New Africa’ which is the possible domain of bold collective spirit – of spiritual triumphant—united not from the without, rather from the within. People coming together to ‘work’ and making it to ‘work’ will constitute a new society with an ‘integral new culture’-- integral new culture which has to be auspicious to all inherent sub-cultures. Trizanium, provides abstraction of the auspicious ‘superstructure’ , intelligible correspondence with that which has appeared, is likely to appear, in any culture on Earth or Beyond--such to quench the thirst for >‘Water of Life’<; again, auspicious to the symbolic ‘magic’ mind. As characteristic key / gnostic template to Knowledge that elucidate the ‘Ontology of Institutions’, Trizanium represent the nameless ‘Metafunction’ that animates ‘Spatial Seed Propensities’, ‘Breaths of Life’ and ‘the Fruits of Life’-- Ankh of the ‘Father’, ‘Mother’ and ‘Son’ aspects of phenomenon world.
 
Dunia yetu inakwama kwasababu tunakataa uhalisia ambao umekuwepo tokea kitambo, binadamu hatufanani.
Kuna wanadamu ambao huzaliwa wakiwa na akili kubwa kuliko wengine, kimtazamo, kiutendaji na ubunifu. Katika vitu ambavyo huwa tunadanganywa ni kwamba kila mwanadamu anaweza kuwa mbunifu au kiongozi. Huu ni uongo wa hali ya juu mno ambao ndiyo unaitafuna Afrika isiendelee. Wanasiasa wako wengi lakini, ni waongeaji watupu wasiokuwa na uwezo mkubwa kiutendaji na kiubunifu.

Tunaiga demokrasia za Magharibi, ila ukweli mchungu ni kwamba demokrasia za kule zilifanywa na watu waliothibitishwa na jamii kuwa na uwezo wa kiuongozi (Aristocrats). Uingereza, watoto wenye akili walisomeshwa shule za kanisa, halafu wakapelekwa vyuo kama Oxford na Cambridge. Miaka zaidi ya 100, Waziri Mkuu wa Uingereza alikuwa hatoki nje ya chuo cha Oxford. Walivyoacha huu utaratibu wakaanza kupata majanga.

Vivyo hivyo Marekani, walitengeneza mfumo maalum wa kupata viongozi ambao ndiyo umeisaidia Marekani kufika hapa ilipo. Walipoacha huu mfumo na kuanza kuleta mambo ya haki sawa na kujaza kila mwanamke na mweusi kwenye mfumo hata wale ambao hawana uwezo ati kisa kuleta usawa, ndiyo sasa wanakinywea.

Hata hapa Tanzania ukianza kufuatilia vizuri ni kwamba wale waliosomeshwa na mkoloni, mbali tu na kupewa upendeleo, ila kiukweli MOST WERE INTELLECTUALLY SUPERIOR. Watanzania ambao Nyerere aliwakuta wako sekondari za mkoloni walikuwa ndiyo THE FINEST OF ALL TANZANIANS/TOP BRASS YA NCHI. Wajamaa walipoanza kuleta UPUUZI wa kusema kila mtu ni sehemu ya serikali ndiyo matatizo ya muda mrefu yakaanza. Ukweli ni kwamba wengi wanaweza wakaenda shule hata kupata Division I, wakawa hodari wa kuzungumza au kujenga hoja lakini hawawezi kuongoza. Being a Good Leader is a Genetic Gift Not Everyone is Born With.

Ndugu zangu watanganyika ni lazima hili tulifahamu vizuri, UONGOZI SIYO ASALI KILA MTU AKALAMBA. Wengine sisi ni watandaji wazuri ambao tunatakiwa tuajiriwe au tujiajiri kwenye kada za sheria, afya, uchumi na burudani ili tusogeze uchumi mbele. Najua hili litawakera wengi, ila ukweli ni kwamba watanzania wengi ambao ni viongozi waandamizi hawakutakiwa kabisa kushika nyadhifa.

Watoto na Wajuu wengi wa machifu wa kiasili waliweza kuwa watawala wazuri kuliko watu ambao kwao hakuna historia ya uongozi. Mkoloni alilifahamu hili vizuri ndiyo maana akaanza kuwatumia katika kuwatawala Waafrika wenzao. Kiukweli, tunakwama sana pale ambapo tunaamini kila mtu maarufu anaweza akawa mbunge.
Mkuu una hoja nzito sana,hii siri ya uongozi ata Israel wanazingatia sana,kuna makabila yapo gifted kwenye masuala ya uongozi.Pia nimewai kumsikia pia Mwalimu Mwakasege akisema kuwa kama taifa ni muhimu kutambua jamii au kabila zenye vipawa vya uongozi na ata masuala ya Biashara.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu una hoja nzito sana,hii siri ya uongozi ata Israel wanazingatia sana,kuna makabila yapo gifted kwenye masuala ya uongozi.Pia nimewai kumsikia pia Mwalimu Mwakasege akisema kuwa kama taifa ni muhimu kutambua jamii au kabila zenye vipawa vya uongozi na ata masuala ya Biashara.

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Watu watakwambia wote tuko sawa, ila hata hapa nchini Tanzania kuna makabila yanaaminika na kuwekwa sehemu nyeti kuliko mengine kwasababu watu wake ni watunza siri, hawadokoi, hawapendeleani na hawana makuu. Hli watanganyika hawataki kabisa kulikubali ila bahati mbaya ndiyo ukweli wenyewe.​
 
Dunia yetu inakwama kwasababu tunakataa uhalisia ambao umekuwepo tokea kitambo, binadamu hatufanani.
Kuna wanadamu ambao huzaliwa wakiwa na akili kubwa kuliko wengine, kimtazamo, kiutendaji na ubunifu. Katika vitu ambavyo huwa tunadanganywa ni kwamba kila mwanadamu anaweza kuwa mbunifu au kiongozi. Huu ni uongo wa hali ya juu mno ambao ndiyo unaitafuna Afrika isiendelee. Wanasiasa wako wengi lakini, ni waongeaji watupu wasiokuwa na uwezo mkubwa kiutendaji na kiubunifu.

Tunaiga demokrasia za Magharibi, ila ukweli mchungu ni kwamba demokrasia za kule zilifanywa na watu waliothibitishwa na jamii kuwa na uwezo wa kiuongozi (Aristocrats). Uingereza, watoto wenye akili walisomeshwa shule za kanisa, halafu wakapelekwa vyuo kama Oxford na Cambridge. Miaka zaidi ya 100, Waziri Mkuu wa Uingereza alikuwa hatoki nje ya chuo cha Oxford. Walivyoacha huu utaratibu wakaanza kupata majanga.

Vivyo hivyo Marekani, walitengeneza mfumo maalum wa kupata viongozi ambao ndiyo umeisaidia Marekani kufika hapa ilipo. Walipoacha huu mfumo na kuanza kuleta mambo ya haki sawa na kujaza kila mwanamke na mweusi kwenye mfumo hata wale ambao hawana uwezo ati kisa kuleta usawa, ndiyo sasa wanakinywea.

Hata hapa Tanzania ukianza kufuatilia vizuri ni kwamba wale waliosomeshwa na mkoloni, mbali tu na kupewa upendeleo, ila kiukweli MOST WERE INTELLECTUALLY SUPERIOR. Watanzania ambao Nyerere aliwakuta wako sekondari za mkoloni walikuwa ndiyo THE FINEST OF ALL TANZANIANS/TOP BRASS YA NCHI. Wajamaa walipoanza kuleta UPUUZI wa kusema kila mtu ni sehemu ya serikali ndiyo matatizo ya muda mrefu yakaanza. Ukweli ni kwamba wengi wanaweza wakaenda shule hata kupata Division I, wakawa hodari wa kuzungumza au kujenga hoja lakini hawawezi kuongoza. Being a Good Leader is a Genetic Gift Not Everyone is Born With.

Ndugu zangu watanganyika ni lazima hili tulifahamu vizuri, UONGOZI SIYO ASALI KILA MTU AKALAMBA. Wengine sisi ni watandaji wazuri ambao tunatakiwa tuajiriwe au tujiajiri kwenye kada za sheria, afya, uchumi na burudani ili tusogeze uchumi mbele. Najua hili litawakera wengi, ila ukweli ni kwamba watanzania wengi ambao ni viongozi waandamizi hawakutakiwa kabisa kushika nyadhifa.

Watoto na Wajuu wengi wa machifu wa kiasili waliweza kuwa watawala wazuri kuliko watu ambao kwao hakuna historia ya uongozi. Mkoloni alilifahamu hili vizuri ndiyo maana akaanza kuwatumia katika kuwatawala Waafrika wenzao. Kiukweli, tunakwama sana pale ambapo tunaamini kila mtu maarufu anaweza akawa mbunge.
huwa nasikitika sana nikisikiliza hotuba za huyu wetu, aiseee unajiuliza amefikaje hapo?

hata mtangulizi nae alikua kituko tu..... what a shame!
 
Hilo ndio tatizo la democracy ‘popularity wins, over merit’ according to Socrates. Ukiacha watu wafanye maamuzi wenyewe watachugua mtu wanaempenda badala ya mtu anaewafaa, hivyo busara ni kutengeneza viongozi wanaofaa.

Ndio maana akapendekeza a meritocracy system ya uongozi ambapo watu wenye uwezo waendeshe nchi permanently.

Na huo ndio mfumo wa west, msingi wa stability ya nchi zao ni ‘civil services’ sio wanasiasa na huko awaokoti tuu. Ukisikia katibu mkuu wa wizara ni kwamba katengenezwa kweli kweli hiyo wizara au sector anaijua kinaga ubaga through succession planning na yeye mwenyewe ni technocrat wa sector husika na ufaulu wake auna mashaka kuanzia elimu ya awali.

Civil servants ndio watu wanaoongoza hizo nchi technically na kuhakikisha wanasiasa wanafanya maamuzi kupitia kiini macho; maamuzi ya wanasiasa hayavuki mipaka ya national interests wanazopanga wao civil services.

Kwa hivyo civil services, inatumika kama njia ya ku-circumvent dangerous people choices ya wanasiasa. Uwezi kwenda against national interest nchi za wenzetu ukakaa kwenye uongozi kwa muda mrefu utafanyiwa fitna tu ya kukutoa na maamuzi mengi makubwa ya nchi ushauriwi na chama bali appropriate qualified ‘civil servants’.

Tanzania tuna mfumo huo, ila wataalamu wanaishia ngazi ya wakurugenzi wa wizara tu (wengi wao ukiwasikiliza ni technocrats kweli kweli kushinda makatibu wakuu wa wizara).
hapo kwenye 'popularity wins over merit' nimemkumbuka kikwete,
 
Hoja yako nusu ni ukweli na nusu ni potofu.
 
Dunia yetu inakwama kwasababu tunakataa uhalisia ambao umekuwepo tokea kitambo, binadamu hatufanani.
Kuna wanadamu ambao huzaliwa wakiwa na akili kubwa kuliko wengine, kimtazamo, kiutendaji na ubunifu. Katika vitu ambavyo huwa tunadanganywa ni kwamba kila mwanadamu anaweza kuwa mbunifu au kiongozi. Huu ni uongo wa hali ya juu mno ambao ndiyo unaitafuna Afrika isiendelee. Wanasiasa wako wengi lakini, ni waongeaji watupu wasiokuwa na uwezo mkubwa kiutendaji na kiubunifu.

Tunaiga demokrasia za Magharibi, ila ukweli mchungu ni kwamba demokrasia za kule zilifanywa na watu waliothibitishwa na jamii kuwa na uwezo wa kiuongozi (Aristocrats). Uingereza, watoto wenye akili walisomeshwa shule za kanisa, halafu wakapelekwa vyuo kama Oxford na Cambridge. Miaka zaidi ya 100, Waziri Mkuu wa Uingereza alikuwa hatoki nje ya chuo cha Oxford. Walivyoacha huu utaratibu wakaanza kupata majanga.

Vivyo hivyo Marekani, walitengeneza mfumo maalum wa kupata viongozi ambao ndiyo umeisaidia Marekani kufika hapa ilipo. Walipoacha huu mfumo na kuanza kuleta mambo ya haki sawa na kujaza kila mwanamke na mweusi kwenye mfumo hata wale ambao hawana uwezo ati kisa kuleta usawa, ndiyo sasa wanakinywea.

Hata hapa Tanzania ukianza kufuatilia vizuri ni kwamba wale waliosomeshwa na mkoloni, mbali tu na kupewa upendeleo, ila kiukweli MOST WERE INTELLECTUALLY SUPERIOR. Watanzania ambao Nyerere aliwakuta wako sekondari za mkoloni walikuwa ndiyo THE FINEST OF ALL TANZANIANS/TOP BRASS YA NCHI. Wajamaa walipoanza kuleta UPUUZI wa kusema kila mtu ni sehemu ya serikali ndiyo matatizo ya muda mrefu yakaanza. Ukweli ni kwamba wengi wanaweza wakaenda shule hata kupata Division I, wakawa hodari wa kuzungumza au kujenga hoja lakini hawawezi kuongoza. Being a Good Leader is a Genetic Gift Not Everyone is Born With.

Ndugu zangu watanganyika ni lazima hili tulifahamu vizuri, UONGOZI SIYO ASALI KILA MTU AKALAMBA. Wengine sisi ni watandaji wazuri ambao tunatakiwa tuajiriwe au tujiajiri kwenye kada za sheria, afya, uchumi na burudani ili tusogeze uchumi mbele. Najua hili litawakera wengi, ila ukweli ni kwamba watanzania wengi ambao ni viongozi waandamizi hawakutakiwa kabisa kushika nyadhifa.

Watoto na Wajuu wengi wa machifu wa kiasili waliweza kuwa watawala wazuri kuliko watu ambao kwao hakuna historia ya uongozi. Mkoloni alilifahamu hili vizuri ndiyo maana akaanza kuwatumia katika kuwatawala Waafrika wenzao. Kiukweli, tunakwama sana pale ambapo tunaamini kila mtu maarufu anaweza akawa mbunge.
Hawatakuelewa. fools hawawez kuongoz fools kutoka shimon. Kuna watu wana asili ya kitu ndio Mungu alivyoumba ukiwapa nafasi watakifanya kwa ufanis
 
Walio soma philosophy na historia vema wanaelewa kiundani uzito wa uzi huu.

Ndio maana watu wenye akili kama Plato alipendekeza "mfalme Mwanafalsafa (philosopher king).na ukipitia historia inaonesha kwamba utawala wa wachache wenye akili (Aristocracy) ndio utawala bora na ulio jenga mataifa makubwa.
Kazi ya ngamia, Aristocracy, ni kutuvusha jangwa, ... nje ya jangwa farasi, Democracy, atatupeleka ,mbali na haraka zaidi!
NB: Ukiwaambia wabongo watumie Aristocracy atajua hujui, maana wafalme tulionao tayari watang'angania mpaka watakapotolewa kwa mtutu!
 
Ndio maana Globalists wamekuja na mtazamo kuwa population ya Dunia inapaswa kupungua kwa asilimia 80 ili Utawala uwe rahisi na kuepuka ugomvi na mapigano.

Kuwa na idadi kubwa ya watu wajinga wasioweza kuzimudu changamoto za mazingira yao mpaka wasaidiwe ndio huzalisha viongozi wahuni na majizi wanaopata pa kuanzia.

Inawezekana COVID 19, vita vya Ukrainie na Russia na sasa Israel na HAMAS vinalenga kupunguza idadi ya watu wajinga Duniani. [emoji848]
Sa si wangekuja kupunguza huku afrika Kuna wajinga kibao
 
Hivi CCM kile chuo chao cha uongozi walicho jengewa kwa msaada wa wanaowaita marafiki zao macho madogo wana kitumia kwa ajili ya nini ?
 
Kwani kuwa kiongozi unatakiwa na DNA strands za aina gani?Acha kuwaza na kuamini kwa DNA kama za Mangungo zinafaa kwa UONGOZI
Kuna kaukweli Mkuu Kuna mtu hajaenda hata shule lkn ktk uongozi waliofika shule hawamkuti....kwl wengine wamezaliwa na kipawa Cha uongozi....
 
I concur that.

What we need and deserve are visionary leaders who have integrity, competence ,accountability and committed to transformative change , rule of law and progressive idea.

But in our societies every Tom ,Dick and Harry can be a leader .
 
Kazi ya ngamia, Aristocracy, ni kutuvusha jangwa, ... nje ya jangwa farasi, Democracy, atatupeleka ,mbali na haraka zaidi!
NB: Ukiwaambia wabongo watumie Aristocracy atajua hujui, maana wafalme tulionao tayari watang'angania mpaka watakapotolewa kwa mtutu!
Hawatakuelewa. fools hawawez kuongoz fools kutoka shimon. Kuna watu wana asili ya kitu ndio Mungu alivyoumba ukiwapa nafasi watakifanya kwa ufanis
Ila jamani mimi siwaonei, nimesema ukweli ambao upo!​
 
Back
Top Bottom