Socrates, Plato na Nietzsche: Siyo kila mtu anatakiwa kuwa kiongozi

Socrates, Plato na Nietzsche: Siyo kila mtu anatakiwa kuwa kiongozi

Dunia yetu inakwama kwasababu tunakataa uhalisia ambao umekuwepo tokea kitambo, binadamu hatufanani.
Kuna wanadamu ambao huzaliwa wakiwa na akili kubwa kuliko wengine, kimtazamo, kiutendaji na ubunifu. Katika vitu ambavyo huwa tunadanganywa ni kwamba kila mwanadamu anaweza kuwa mbunifu au kiongozi. Huu ni uongo wa hali ya juu mno ambao ndiyo unaitafuna Afrika isiendelee. Wanasiasa wako wengi lakini, ni waongeaji watupu wasiokuwa na uwezo mkubwa kiutendaji na kiubunifu.

Tunaiga demokrasia za Magharibi, ila ukweli mchungu ni kwamba demokrasia za kule zilifanywa na watu waliothibitishwa na jamii kuwa na uwezo wa kiuongozi (Aristocrats). Uingereza, watoto wenye akili walisomeshwa shule za kanisa, halafu wakapelekwa vyuo kama Oxford na Cambridge. Miaka zaidi ya 100, Waziri Mkuu wa Uingereza alikuwa hatoki nje ya chuo cha Oxford. Walivyoacha huu utaratibu wakaanza kupata majanga.

Vivyo hivyo Marekani, walitengeneza mfumo maalum wa kupata viongozi ambao ndiyo umeisaidia Marekani kufika hapa ilipo. Walipoacha huu mfumo na kuanza kuleta mambo ya haki sawa na kujaza kila mwanamke na mweusi kwenye mfumo hata wale ambao hawana uwezo ati kisa kuleta usawa, ndiyo sasa wanakinywea.

Hata hapa Tanzania ukianza kufuatilia vizuri ni kwamba wale waliosomeshwa na mkoloni, mbali tu na kupewa upendeleo, ila kiukweli MOST WERE INTELLECTUALLY SUPERIOR. Watanzania ambao Nyerere aliwakuta wako sekondari za mkoloni walikuwa ndiyo THE FINEST OF ALL TANZANIANS/TOP BRASS YA NCHI. Wajamaa walipoanza kuleta UPUUZI wa kusema kila mtu ni sehemu ya serikali ndiyo matatizo ya muda mrefu yakaanza. Ukweli ni kwamba wengi wanaweza wakaenda shule hata kupata Division I, wakawa hodari wa kuzungumza au kujenga hoja lakini hawawezi kuongoza. Being a Good Leader is a Genetic Gift Not Everyone is Born With.

Ndugu zangu watanganyika ni lazima hili tulifahamu vizuri, UONGOZI SIYO ASALI KILA MTU AKALAMBA. Wengine sisi ni watandaji wazuri ambao tunatakiwa tuajiriwe au tujiajiri kwenye kada za sheria, afya, uchumi na burudani ili tusogeze uchumi mbele. Najua hili litawakera wengi, ila ukweli ni kwamba watanzania wengi ambao ni viongozi waandamizi hawakutakiwa kabisa kushika nyadhifa.

Watoto na Wajuu wengi wa machifu wa kiasili waliweza kuwa watawala wazuri kuliko watu ambao kwao hakuna historia ya uongozi. Mkoloni alilifahamu hili vizuri ndiyo maana akaanza kuwatumia katika kuwatawala Waafrika wenzao. Kiukweli, tunakwama sana pale ambapo tunaamini kila mtu maarufu anaweza akawa mbunge.
Hivi@Kiranga Kiranga ulipita hapa
 
Mtoto wa mtu kama Elon Musk au Joseph Stiglitz ana asilimia kubwa ya kuwa na uwezo wa kiakili kama baba yake. Huu ndiyo ukweli.
Kama ambavyo elon musk aliibuka tu na kujipatia umaarufu bila baba yake hivyo tunaamini elon musk ni juhudi zake ndio zimemfikisha na wala sio alirithi kwa baba yake.

HIvyo hivyo hata hao watoto wakiwa na akili sio kwa sababu ya elon musk wamemrithi hapana bali ni kwa sababu ya juhudi zao na malezi ambayo watakulia nayo.
 
Kama ambavyo elon musk aliibuka tu na kujipatia umaarufu bila baba yake hivyo tunaamini elon musk ni juhudi zake ndio zimemfikisha na wala sio alirithi kwa baba yake.

HIvyo hivyo hata hao watoto wakiwa na akili sio kwa sababu ya elon musk wamemrithi hapana bali ni kwa sababu ya juhudi zao na malezi ambayo watakulia nayo.

Unaongea kama una facts na una uhakika na unachosema kwa kujiamini kabisa, Duh.

Baba yake alikuwa anamiliki migodi ya madini Zambia, Hotels, lodge, biashara nyingi sana pamoja na kuwa engineer, sailor, pilot na Consultant.
 
Unaongea kama una facts na una uhakika na unachosema kwa kujiamini kabisa, Duh.

Baba yake alikuwa anamiliki migodi ya madini Zambia, Hotels, lodge, biashara nyingi sana pamoja na kuwa engineer, sailor, pilot na Consultant.
Imani yangu ni kwamba elon musk umemtolea kama mfano tu lakini hauwezi kulinganisha utajiri wa elon musk na baba yake.

Elon musk ana utajiri mkubwa na amefanya mambo makubwa tofauti na baba yake hivyo sioni urithi hapo bali ni juhudi binafsi na makuzi aliyopitia.

Achilia hilo kuna matajiri wengi tu ambao tumeanza kuona wao wakifanya makubwa na sio baba zao.

Hivyo hata kama ukaikataa hoja ya elon musk na baba yake bado wapo wengine wataprove ukweli wa hilo jambo.

Alafu pia elewa tu mkuu bakhresa usitegemee watoto wake wakawa masikini,watakuwa matajiri sio kwa sababu ya kurithi akili haoana bali kwa sababu wemeshakuta njia walizotengeneza wazazi tayari.

.hivyo suala la kurithi akili ondoa kabisa mkuu wangu
 
Kwani kuwa kiongozi unatakiwa na DNA strands za aina gani?Acha kuwaza na kuamini kwa DNA kama za Mangungo zinafaa kwa UONGOZI
Nadhani unapungukiwa na uwezo wa kiakili.

Fanya utafiti kidogo kuhusu Sultan Mangngu wa Msovero utakuja kushangazwa na matokeo yake.
Sultan Mangungu wa Msovero ni kiongozi aliyeona miaka 100 mbele.Alichokifanya yeye,Leo hii kinafanywa kwa ubaya mara mbili tena ikulu kukiwa na sharehe na tafrija juu.
Mangungu alikuwa genius

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Not everyone can harness a vision, let alone think rationally. Damn, these talks of democracy and equality are nothing but a smokescreen of populism and demagoguery. Historia inaonesha kwamba utawala "Aristocracy" ni "Efficient" than a Democracy alone. Kuanzia Persia, Rome, Britain, China hadi America. Sisi tunaokota tu watu halafu tunawapa nchi, halafu wakiharibu tunaanza kutafuta mchawi.​
Mwanangu uko vizuri,hata mm binafsi hua siamini ktk democracy na equality,nnaamini fika kabisa kua kuna watu wanauwezo wakufikiri,kiutendaji ,kiubunifu zaidi ya sisi wengi ila hawana nafasi namfumo umewwaweka nje walioshikiria vijiti ni watu wengine wasio nauwezo wowote hata mambo ya kawaida tu kushugulika nayo niahida ,unayohoja ya msingi usikilizwe.
 
Hakika, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Imani yangu ni kwamba elon musk umemtolea kama mfano tu lakini hauwezi kulinganisha utajiri wa elon musk na baba yake.

Elon musk ana utajiri mkubwa na amefanya mambo makubwa tofauti na baba yake hivyo sioni urithi hapo bali ni juhudi binafsi na makuzi aliyopitia.

Achilia hilo kuna matajiri wengi tu ambao tumeanza kuona wao wakifanya makubwa na sio baba zao.

Hivyo hata kama ukaikataa hoja ya elon musk na baba yake bado wapo wengine wataprove ukweli wa hilo jambo.

Alafu pia elewa tu mkuu bakhresa usitegemee watoto wake wakawa masikini,watakuwa matajiri sio kwa sababu ya kurithi akili haoana bali kwa sababu wemeshakuta njia walizotengeneza wazazi tayari.

.hivyo suala la kurithi akili ondoa kabisa mkuu wangu
Unazungumzia nature vs nurture.
Nasema hivi viongozi wa juu wanahitaji vyote vipaji vya asili vya uongozi na mazingira, elimu, role model sahihi kuongoza taifa kubwa kama Tanzania.

Angalia kiongozi wa sasa wa Tanzania, anajifunza kazi kazini, anabahatisha, hit and miss, angalia teuzi, tenguzi, uwajibikaji na kuwajibisha walio chini yake.

Sera zake ni kutembeza bakuli duniani na sio kujitegemea, rushwa imetamalaki kila sehemu nidhamu imeporomoka. Role model wake ni nani? Unamjua.
Elimu yake ni ipi? ya kuungaunga.
Familia, ukoo wake imetokea wapi? Mume wake anajishughulisha na nini? Misimamo yake toka awali ilikuwaje, inajulikana?

Sidhani kama ana kipaji cha uongozi, lakini nurturing, elimu sahihi ya kiuongozi ingeweza kumsaidia hata kiduchu kujua vipaumbele sahihi vya nchi kama angeandaliwa toka kijana kuja kuchukua nafasi kama hii.
 
Unazungumzia nature vs nurture.
Nasema hivi viongozi wa juu wanahitaji vyote vipaji vya asili vya uongozi na mazingira, elimu, role model sahihi kuongoza taifa kubwa kama Tanzania.

Angalia kiongozi wa sasa wa Tanzania, anajifunza kazi kazini, anabahatisha, hit and miss, angalia teuzi, tenguzi, uwajibikaji na kuwajibisha walio chini yake.

Sera zake ni kutembeza bakuli duniani na sio kujitegemea, rushwa imetamalaki kila sehemu nidhamu imeporomoka. Role model wake ni nani? Unamjua.
Elimu yake ni ipi? ya kuungaunga.
Familia, ukoo wake imetokea wapi? Mume wake anajishughulisha na nini? Misimamo yake toka awali ilikuwaje, inajulikana?

Sidhani kama ana kipaji cha uongozi, lakini nurturing, elimu sahihi ya kiuongozi ingeweza kumsaidia hata kiduchu kujua vipaumbele sahihi vya nchi kama angeandaliwa toka kijana kuja kuchukua nafasi kama hii.
Nakubaliana na wewe kwennye mengi uliyoyasema mkuu.
 
Ila jamani, mimi siwaonei, najaribu kusema uhalisia uliopo!


......Hivi Wand kwanini uzi wa siasa mmeuleta huku jukwaa la intelijensia....?
 
Kivipi mkuu? Tufafanulie, sisi wengine kipindi kikwete anaingia madarakani tulikua bado wadogo kuchanganua mambo makubwa
2005 kulikua na Dr Salim Ahmed Salim, Prof Mark Mwandosya, kati ya wengi waliokuwepo!

kiuwezo na kiutendaji Kikwete hawakaribii hata nusu hao wawili niliowataja, lakn kwa sababu alijenga mtandao mkubwa na akawa na timu kubwa nyuma yake, basi chama kikampitisha!

(inasemwa walitoa pressure kubwa sana kwa Mkapa ili jina la jk lisikatwe, walifikia hatua ya kwenda chadema mchana kweupe kutoa taarifa eti 'mgombea wao' akikatwa basi watahama chama timu nzima na wafuasi wao.......)

matokeo ya uongozi wa kikwete hadi leo tunaugulia, madhara yake ndio haya tunalia nayo hata leo
 
Sio kila mtu anatakiwa kuwa kiongozi.
 
Back
Top Bottom