Soda ya Coca-Cola zimekuwa mbaya sana

Ni kweli coca siku hizi haisisimui.. Ladha yake baridi sana kama unakunywa dawa ya mganga.. [emoji6]
Hilo li soda halijawai kua na radha.

Wanauza kwa Matangazo tu.

Hata kwenye sherehe na Misiba crate la Coca ndo linakuaga la Mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…