Nafikiri wapelekwe ugogoni kuna maeneo mengi ya wazi tu yatawafaa huko😅Kitunda ndege zikiwa zinatua na watalii, Wamachinga wataonekana. Itafaa wamachinga wote nchini wahamishiwe Nkasi Rukwa
Unajipimia urefu wa kamba yakoNi sh ngap boss hapo mlimani city?
Mtu yupo ofisini serikalini huko anakula kiyoyozi tu atakuwa na shida gani na serikali ya ccm? Ndio maana hata tukisema tuandamane wanaotizamwa ni hao wamachinga na sio wengine.That being said tunahitimisha kuwa raia wa tanganyika wamekubaliana na ukandamizaji unaofanywa na majizi ya ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntaenda kutafuta hapo la buku tanoUnajipimia urefu wa kamba yako
Mumpige moto nae hapo naona mtaenda sawa😅Mtafuteni makala anapo kaa nimoto tu...
Wachache wale wengi mteseke ndio mfumo wa sasa 😅😅😅!!! Awamu iliopita ilikuwa wachache wateseke wengi waneemekeUtawala dhalimu una halalisha uhalifu, dhuluma, wizi, rushwa na ufisadi
We unaongelea firearms sijui safety nini, huo moto ni wa mchongo!😅Ila Fire wapo karibu na Karume imekuaje wameshindwa ushughulikia huu moto?
Tumejifunza nini kutokana na kuungua kwa soko la KKoo?
Umefika wakati wa kujenga masoko yenye fire alarm.
Wamiliki upande ndani ya masoko wapate elimu ya lazima juu ya moto revisited frequently.
Contacts za Emergency zijuilikane na wote. Kama hotline haipo iwe established sasa.
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake. Mbuzi wengine kamba zao zinafika hadi Ulaya na Marekani, wanaenda huko kusaini mikataba ya kilaghai.Wachache wale wengi mteseke ndio mfumo wa sasa 😅😅😅!!! Awamu iliopita ilikuwa wachache wateseke wengi waneemeke
Hamna namna ingine nafurahi kuona Legacy ya Mwendazake imechomwa na kuteketea kama ilivyoada 😅Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake. Mbuzi wengine kamba zao zinafika hadi Ulaya na Marekani, wanaenda huko kusaini mikataba ya kilaghai.
Mama anaupiga mwingi sana
Kibaya wabongo wanashindwa kutofautisha kati ya kukosoa na chuki.Lzm tukosoe
Wacha upigwe mwing..si tumelala kama mbwaMukama Acha roho mbaya
Mupate hasira you have to do something about it!Kama yanaungua kwa michongo wote waliofanya huo mchongo Mungu anawaona. They gonna burn in hell. Soko limeajiri vijana wengi ambao wengi wetu ni mpaka uende sokoni ndo upate unafuu wa maisha sasa familia zetu zitakula nini jamani daaa
Life taiti broNapita mida hii kariakoo naona watu wanajenga upya lile soko na vitochi yani hawajasubiri hata kukuche.....aiseeee
I used to respect you man but with this kind of thinking, nigga you about to lost a fan! Huwezi ku act like a crazy muthafucka without brains...Mkuu. Mimi natafakari sana...wafuasi wa JPM ambao mnaona alikuwa mfalme au muungu wa hapa duniani ndio Mna akili za ajabu sana. Hamuoni maovu yake na makosa yake. Lakini ndio watu walivyo.. na ndio maana wengine wnafanikiwa kwenye maisha na wengije HAWAFANIKIWI. Sababu ni mnakosa thinking capacity nzuri.. Endeleeni tu na fikra zenu izo
Pale sandles za mtoto ni kuanzia 55k.hahahaha..Ni sh ngap boss hapo mlimani city?
Hahah..anaupiga balaa...lizi waziri ujue na nape.hahahah.nazid kukukera chiefSafi sana mama anaupiga mwingi mno! Kazi iendelee tukitoka hapo tuhamie la Ilala Boma pale napo tuwaunguzie!
Wamachinga wanachafua sasa jiji watalii wanaona uchafu umezidi, waende kitunda huko au chamazi wakauze bidhaa zao!
Magufuli yeye alikuwa anatetea wanyonge ni fala tu kama ambavyo tulimsindikiza na vibwagizo hivyo mwezi march mpaka septemba[emoji28] wacha twende na mama!
Watu hawaelewi yani wamewasha viswaswadu huku ujenzi unaendelea na kwa speed ile kuna uwezekano asubuhi wakapanga na bidhaa kabisa na wateja wa mapema watapa discountLife taiti bro
Hela yake halaf unamwambia ni kiazi? 🤔. HeeePale sandles za mtoto ni kuanzia 55k.hahahaha..
Nna dada angu m1 huyo yeye akiingia gsm dula la watoto..kuacha 1m ni kitu ya kawaida...kuna siku nkamwambia hiv sista unajua wewe ni kiaz..akasema yeye hapend kwenda kkoo sabab hawez kupark gar..hahah...nkasema haya bwana...tumeingia duka lingne akanambia chkua hzo sandles znakutosha..kitu kinasoma 115k..nkamwambia anipe hyo hela nkachkue kkoo kwa 30..kumbe bwana anachanja card..hahahah...akasema yeye cash hana.hahah.ikabid nichkue tu...115k..sandles..ila huwez amin nikizivaaga lazima mtu aulize mjomba huo mguu umeuchkua ngap....aisee...kuna watu wanaish maisha aisee...so tupambane tu
Sure, wameona serikali longo longo bora wapige wenyeweWatu hawaelewi yani wamewasha viswaswadu huku ujenzi unaendelea na kwa speed ile kuna uwezekano asubugi wakapanga na bidhaa kabisa na wateja wa mapema watapa discount