Soko la Karume limeungua moto

Soko la Karume limeungua moto

That being said tunahitimisha kuwa raia wa tanganyika wamekubaliana na ukandamizaji unaofanywa na majizi ya ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu yupo ofisini serikalini huko anakula kiyoyozi tu atakuwa na shida gani na serikali ya ccm? Ndio maana hata tukisema tuandamane wanaotizamwa ni hao wamachinga na sio wengine.
 
Ila Fire wapo karibu na Karume imekuaje wameshindwa ushughulikia huu moto?

Tumejifunza nini kutokana na kuungua kwa soko la KKoo?

Umefika wakati wa kujenga masoko yenye fire alarm.

Wamiliki upande ndani ya masoko wapate elimu ya lazima juu ya moto revisited frequently.

Contacts za Emergency zijuilikane na wote. Kama hotline haipo iwe established sasa.
We unaongelea firearms sijui safety nini, huo moto ni wa mchongo!😅
 
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake. Mbuzi wengine kamba zao zinafika hadi Ulaya na Marekani, wanaenda huko kusaini mikataba ya kilaghai.
Mama anaupiga mwingi sana
Hamna namna ingine nafurahi kuona Legacy ya Mwendazake imechomwa na kuteketea kama ilivyoada 😅

Tumpongeze bibi tozo na naomba aongeze tozo zaidi ili akili ziwakae sawa wapiga zumari wake, naona kila mtu anakula eneo lake sasa mambo ni mswano kabisa.

Nchi imerudi kwa wenyewe 😅
 
Kama yanaungua kwa michongo wote waliofanya huo mchongo Mungu anawaona. They gonna burn in hell. Soko limeajiri vijana wengi ambao wengi wetu ni mpaka uende sokoni ndo upate unafuu wa maisha sasa familia zetu zitakula nini jamani daaa
Mupate hasira you have to do something about it!
 
Mkuu. Mimi natafakari sana...wafuasi wa JPM ambao mnaona alikuwa mfalme au muungu wa hapa duniani ndio Mna akili za ajabu sana. Hamuoni maovu yake na makosa yake. Lakini ndio watu walivyo.. na ndio maana wengine wnafanikiwa kwenye maisha na wengije HAWAFANIKIWI. Sababu ni mnakosa thinking capacity nzuri.. Endeleeni tu na fikra zenu izo
I used to respect you man but with this kind of thinking, nigga you about to lost a fan! Huwezi ku act like a crazy muthafucka without brains...
 
Ni sh ngap boss hapo mlimani city?
Pale sandles za mtoto ni kuanzia 55k.hahahaha..

Nna dada angu m1 huyo yeye akiingia gsm dula la watoto..kuacha 1m ni kitu ya kawaida...kuna siku nkamwambia hiv sista unajua wewe ni kiaz..akasema yeye hapend kwenda kkoo sabab hawez kupark gar..hahah...nkasema haya bwana...tumeingia duka lingne akanambia chkua hzo sandles znakutosha..kitu kinasoma 115k..nkamwambia anipe hyo hela nkachkue kkoo kwa 30..kumbe bwana anachanja card..hahahah...akasema yeye cash hana.hahah.ikabid nichkue tu...115k..sandles..ila huwez amin nikizivaaga lazima mtu aulize mjomba huo mguu umeuchkua ngap....aisee...kuna watu wanaish maisha aisee...so tupambane tu
 
Safi sana mama anaupiga mwingi mno! Kazi iendelee tukitoka hapo tuhamie la Ilala Boma pale napo tuwaunguzie!

Wamachinga wanachafua sasa jiji watalii wanaona uchafu umezidi, waende kitunda huko au chamazi wakauze bidhaa zao!

Magufuli yeye alikuwa anatetea wanyonge ni fala tu kama ambavyo tulimsindikiza na vibwagizo hivyo mwezi march mpaka septemba[emoji28] wacha twende na mama!
Hahah..anaupiga balaa...lizi waziri ujue na nape.hahahah.nazid kukukera chief
 
Pale sandles za mtoto ni kuanzia 55k.hahahaha..

Nna dada angu m1 huyo yeye akiingia gsm dula la watoto..kuacha 1m ni kitu ya kawaida...kuna siku nkamwambia hiv sista unajua wewe ni kiaz..akasema yeye hapend kwenda kkoo sabab hawez kupark gar..hahah...nkasema haya bwana...tumeingia duka lingne akanambia chkua hzo sandles znakutosha..kitu kinasoma 115k..nkamwambia anipe hyo hela nkachkue kkoo kwa 30..kumbe bwana anachanja card..hahahah...akasema yeye cash hana.hahah.ikabid nichkue tu...115k..sandles..ila huwez amin nikizivaaga lazima mtu aulize mjomba huo mguu umeuchkua ngap....aisee...kuna watu wanaish maisha aisee...so tupambane tu
Hela yake halaf unamwambia ni kiazi? 🤔. Heee
 
Watu hawaelewi yani wamewasha viswaswadu huku ujenzi unaendelea na kwa speed ile kuna uwezekano asubugi wakapanga na bidhaa kabisa na wateja wa mapema watapa discount
Sure, wameona serikali longo longo bora wapige wenyewe
 
Back
Top Bottom