Soko la Machinga Dodoma, tumpe Rais Samia maua yake

Soko la Machinga Dodoma, tumpe Rais Samia maua yake

Limeanzwa na JPM na frem zipo WAZI hao unaowaona wanazuga tu huku mtaani wanavunja vibanda wakishikiza watu kuhamia hapo.

Ni kama machinga complex Dar kuna maajabu gani horofa kwanza tu wamejaa wauza simu na mafundi laptops
Katika eneo ambalo wananchi wanaeleimishwa sana ni Dodoma.

Pale ada kwa siku ni Tshs 1,000.

Soko limejaa halina nafasi za wazi. Bidhaa ni bei nafuu kama Kariakoo.

SGR ikianza naamini neema nyingi zitakuja kwa wakaI wa Dodoma kupata unafuu wa maisha
 
Katika eneo ambalo wananchi wanaeleimishwa sana ni Dodoma.

Pale ada kwa siku ni Tshs 1,000.

Soko limejaa halina nafasi za wazi. Bidhaa ni bei nafuu kama Kariakoo.

SGR ikianza naamini neema nyingi zitakuja kwa wakaI wa Dodoma kupata unafuu wa maisha
We mgeni njoo zivimba baada ya mstar wa3 uona kama kuna watu.
Mtu alikuwa na banda la kama duka halafu aje apange bidhaa mezani?
 
Katika eneo ambalo wananchi wanaeleimishwa sana ni Dodoma.

Pale ada kwa siku ni Tshs 1,000.

Soko limejaa halina nafasi za wazi. Bidhaa ni bei nafuu kama Kariakoo.

SGR ikianza naamini neema nyingi zitakuja kwa wakaI wa Dodoma kupata unafuu wa maisha
Ila dodoma pagumu sana
 
Katika eneo ambalo wananchi wanaeleimishwa sana ni Dodoma.

Pale ada kwa siku ni Tshs 1,000.

Soko limejaa halina nafasi za wazi. Bidhaa ni bei nafuu kama Kariakoo.

SGR ikianza naamini neema nyingi zitakuja kwa wakaI wa Dodoma kupata unafuu wa maisha
Ila dodoma pagumu
 
Ila iwe ni maeneo Yale Yale potential,pia ilitakiwa ujenzi wa Barabara au stand uwe unazingatia maeneo ya machinga Ili watengewe maeneo Yao Kwa maana wasiwe wanazurula Kila mahala Wala kwenda kuweka bidhaa mbele ya wenye maduka.
Wataalam wa TAMISEMI na Wizara ya Ujenzi wakikaa pamoja wanaweza kufanikisha hii mipango.

Pale Morogoro kukiwa na plan nzuri na hata Mwanza vitasaidia sana kuondoa vurugu za wachuuzi kutumia barabara kama eneo la biashara
 
Wengi watashangazwa na huu uzi.
Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita.

Tembea uone.
View attachment 2660495
Nilifanikiwa kutembelea soko la Machinga pale mji mkuu Dodoma, nilijihakikishia kuwa plan na ukamilishwaji wa mradi wa soko hilo la Machinga umefanikiwa kwa kiasi kukubwa.

Sijajua kwa undani soko hilo likikamilika linapaswa liweje lakini kwa kila Mtanzania na mgeni anayetembelea atakubaliana nami kuwa soko hilo linaweza kuwa la kisasa kwa afrika mashariki na kati.

View attachment 2660496
Nimekuta wamachinga wamepangwa vizuri, alama za wapi utakuta aija ya bidhaa unazotafuta zinaonekana kwa uwazi. Zimeandikwa kwa lugha yetu tukuka ya kiswahili ambapo ni uamuzi wa dhahabu. Usafi wa soko na hata huduma mbalimbali muhimu kwa machinga na wanunuzi zipo. Nimekuta lipo eneo limetengwa ndani ya soko la wamama kunyonyeshea, kuna ATM, store, vyoo vizuri. Maeneo ya baba na mama lishe yametengwa vizuri hata sehemu za nyama choma nje ya soko zinashawishi kwani meza za wateja ni za marble ambazo zinadumu kuliko mabati na mbao.

View attachment 2660501
Kelele ndani ya soko zimedhibitiwa ambapo wenye vipaza sauti hawaruhusiwi kufungulia sauti kubwa.

Kuhusu usafiri, soko limejengwa pembezoni mwa barabara kuu huku kukiwa na kituo kikubwa cha daladala kuelekea maeneo mengi ya jiji la dodoma. Kimsingi serikali imewatendea haki wamachinga kwani imeamua kuwaweka mahala sahihi ambapo haimlazimishi mteja kwenda umbali mrefu kutafuta petty goods. Nilimuuliza mmachinga mmoja wanalipa kiasi gani kwa siku akasema wanalipa Tshs 1,000 na akaenda mbali zaidi kuwa anaiona ni fair kwa sababu soko halikauki wateja pia alilinganisha na eneo lake la biashara pale Kariakoo aliloamuq kuachana nalo kwa sababu hata hrla wlizokuwa wanatoa kwa jiji hazikuzuia harassments za mgambo na kukithiri kwa uchafu.


Tofauti na majiji mengine kama Dar, wamachinga wanaondolewa maeneo potential kwao na kutupwa nje pembezoni mwa mji ambapo hata miundombinu kama vyoo, umeme , usafiri vinakuwa ni taabu.

Kwa mfano pale Kariakoo wangechukua mfumo wa soko la Machinga Dodoma hakika wangeweza kukidhi takwa la serikali kuwakusanya machinga na hata wakachangia pato la jiji kwa tozo watakazolipa. Serikali inaweza kuongea na NHC wakapanua eneo lile kulifanya liwe efficiency kwa biashara.

Pale Mbagala Zakhiem kuna utopolo umejengwa ambapo wamachinga hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafanyabishara wenye msuli wa fedha.

Kwenye hili soko la Machinga Dodoma, tuungane kumpongeza Mama Samia kwa sababu amefanikiwa kuwapatia machinga sehemu stahiki kwa shughuli zao. Pia kama ikipendeza masoko kama haya yajengwe kwenye majiji hapa nchini na kuangalia pale Mbezi Mwisho kujenga soko la Machinga la kisasa ili kuongeza wigo wa nchi jirani kuja kununua bidhaa kama wanavyofanya Kariakoo na Mbagala.


Muwe na weekend njema


CC: Pascal Mayalla ChoiceVariable bubex_jr johnthebaptist emback Ne91cM Mzee Mwanakijiji Dr. Mariposa Dr Matola PhD FaizaFoxy Mohamed Said
Mama Samia nu ntu ws vitendo zaidi. ukimuona kimya utadhani hafanyi, mra ynastykia kitu hichi, tayari.


Allah azidi kumoa hekima na utendaji uliotukuka.

Hili soko pekee ni legacy isiyo na mfano Tanzania.

Nashauri kila wilaya ya Tanzania iige mfano huo, tuibadilishe taswira nchi. Maana hapo hata wamachinga wamepanda hadhi.



Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Wengi watashangazwa na huu uzi.
Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita.

Tembea uone.
View attachment 2660495
Nilifanikiwa kutembelea soko la Machinga pale mji mkuu Dodoma, nilijihakikishia kuwa plan na ukamilishwaji wa mradi wa soko hilo la Machinga umefanikiwa kwa kiasi kukubwa.

Sijajua kwa undani soko hilo likikamilika linapaswa liweje lakini kwa kila Mtanzania na mgeni anayetembelea atakubaliana nami kuwa soko hilo linaweza kuwa la kisasa kwa afrika mashariki na kati.

View attachment 2660496
Nimekuta wamachinga wamepangwa vizuri, alama za wapi utakuta aija ya bidhaa unazotafuta zinaonekana kwa uwazi. Zimeandikwa kwa lugha yetu tukuka ya kiswahili ambapo ni uamuzi wa dhahabu. Usafi wa soko na hata huduma mbalimbali muhimu kwa machinga na wanunuzi zipo. Nimekuta lipo eneo limetengwa ndani ya soko la wamama kunyonyeshea, kuna ATM, store, vyoo vizuri. Maeneo ya baba na mama lishe yametengwa vizuri hata sehemu za nyama choma nje ya soko zinashawishi kwani meza za wateja ni za marble ambazo zinadumu kuliko mabati na mbao.

View attachment 2660501
Kelele ndani ya soko zimedhibitiwa ambapo wenye vipaza sauti hawaruhusiwi kufungulia sauti kubwa.

Kuhusu usafiri, soko limejengwa pembezoni mwa barabara kuu huku kukiwa na kituo kikubwa cha daladala kuelekea maeneo mengi ya jiji la dodoma. Kimsingi serikali imewatendea haki wamachinga kwani imeamua kuwaweka mahala sahihi ambapo haimlazimishi mteja kwenda umbali mrefu kutafuta petty goods. Nilimuuliza mmachinga mmoja wanalipa kiasi gani kwa siku akasema wanalipa Tshs 1,000 na akaenda mbali zaidi kuwa anaiona ni fair kwa sababu soko halikauki wateja pia alilinganisha na eneo lake la biashara pale Kariakoo aliloamuq kuachana nalo kwa sababu hata hrla wlizokuwa wanatoa kwa jiji hazikuzuia harassments za mgambo na kukithiri kwa uchafu.


Tofauti na majiji mengine kama Dar, wamachinga wanaondolewa maeneo potential kwao na kutupwa nje pembezoni mwa mji ambapo hata miundombinu kama vyoo, umeme , usafiri vinakuwa ni taabu.

Kwa mfano pale Kariakoo wangechukua mfumo wa soko la Machinga Dodoma hakika wangeweza kukidhi takwa la serikali kuwakusanya machinga na hata wakachangia pato la jiji kwa tozo watakazolipa. Serikali inaweza kuongea na NHC wakapanua eneo lile kulifanya liwe efficiency kwa biashara.

Pale Mbagala Zakhiem kuna utopolo umejengwa ambapo wamachinga hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafanyabishara wenye msuli wa fedha.

Kwenye hili soko la Machinga Dodoma, tuungane kumpongeza Mama Samia kwa sababu amefanikiwa kuwapatia machinga sehemu stahiki kwa shughuli zao. Pia kama ikipendeza masoko kama haya yajengwe kwenye majiji hapa nchini na kuangalia pale Mbezi Mwisho kujenga soko la Machinga la kisasa ili kuongeza wigo wa nchi jirani kuja kununua bidhaa kama wanavyofanya Kariakoo na Mbagala.


Muwe na weekend njema


CC: Pascal Mayalla ChoiceVariable bubex_jr johnthebaptist emback Ne91cM Mzee Mwanakijiji Dr. Mariposa Dr Matola PhD FaizaFoxy Mohamed Said
Sema vitu vinauzwa Bei sana nimegusa juzi apo training shoes haieleweki eti elf 50
 
Mama Samia nu ntu ws vitendo zaidi. ukimuona kimya utadhani hafanyi, mra ynastykia kitu hichi, tayari.


Allah azidi kumoa hekima na utendaji uliotukuka.

Hili soko pekee ni legacy isiyo na mfano Tanzania.

Nashauri kila wilaya ya Tanzania iige mfano huo, tuibadilishe taswira nchi. Maana hapo hata wamachinga wamepanda hadhi.



Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Soko ni legacy ya Magufuli
 
Hakuna serikali ya kipigaji kama hii ya Sa100, yaani soko ambalo materials % yote imetoka hapa hapa bongo hasa chuma na cement eti limegharibu pesa za Tz Bilioni 9!!!.
Hakika Mama anaupiga mwingi hadi kwenye matope!
 
Sema vitu vinauzwa Bei sana
Nilifanya shopping ndogo hapo niliona is fair kiasi kwa sababu huwezi kulinganisha na kariakoo. Distance ya kusafirisha bidhaa inahusika na kupanga bei.

SGR inaweza kusaisia kupunguza gharama.

Lakini kwa bidhaa za nyumbani kama mazao nahusi siyo ghatama kubwa
 
Nilifanya shopping ndogo hapo niliona is fair kiasi kwa sababu huwezi kulinganisha na kariakoo. Distance ya kusafirisha bidhaa inahusika na kupanga bei.

SGR inaweza kusaisia kupunguza gharama.

Lakini kwa bidhaa za nyumbani kama mazao nahusi siyo ghatama kubwa
Sahihi Kwa vyakula. Ulijaribu kugusa nguo na viatu🤔🤔
 
Soko ni legacy ya Magufuli
Hivi nani alikuwa makamo wa Rais wakati wa Magufuli? Unajuwa maana ya kazi iendelee?


Raus wa Tanzania ans uwdzo wa kuzuwia muradi yite aliyoikuta, kama alivyofanya mwendazaks, alizuwia miradi ya gas, alizuuwia miradi ya bandari Bagamoyo na Tanga na aliendelea kuwapa wezi TICTS bandari ya Dar. Ambayo tayri Kikwete alianza mazubgumzo ba AD Ports na Hutchison, mwenda zake akayapiga chini. Unayajuwa hayo? Usisifie ujinga.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Hakuna serikali ya kipigaji kama hii ya Sa100, yaani soko ambalo materials % yote imetoka hapa hapa bongo hasa chuma na cement eti limegharibu pesa za Tz Bilioni 9!!!.
Hakika Mama anaupiga mwingi hadi kwenye matope!
Mkuu
SIkatai hata kidogo ingawa mimi nilichokiona ni uwepo wa soko ambao utadumu vizazi na vizazi.

Upigaji upo nanutakuwepo kwa sababu tunadeal na petty issues badala masuala ya msingi yanayoweza kuleta taasisi imara zenye kuenzi maslahi ya nchi kuliko ya viongozi
 
1687018987788.png


Hivi anajua kuwa bandari imepigwa mnada!!? Sijamsikia akisema kitu
 
Back
Top Bottom