Soko la Machinga Dodoma, tumpe Rais Samia maua yake

Soko la Machinga Dodoma, tumpe Rais Samia maua yake

Wengi watashangazwa na huu uzi.
Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita.

Tembea uone.
View attachment 2660495
Nilifanikiwa kutembelea soko la Machinga pale mji mkuu Dodoma, nilijihakikishia kuwa plan na ukamilishwaji wa mradi wa soko hilo la Machinga umefanikiwa kwa kiasi kukubwa.

Sijajua kwa undani soko hilo likikamilika linapaswa liweje lakini kwa kila Mtanzania na mgeni anayetembelea atakubaliana nami kuwa soko hilo linaweza kuwa la kisasa kwa afrika mashariki na kati.

View attachment 2660496
Nimekuta wamachinga wamepangwa vizuri, alama za wapi utakuta aija ya bidhaa unazotafuta zinaonekana kwa uwazi. Zimeandikwa kwa lugha yetu tukuka ya kiswahili ambapo ni uamuzi wa dhahabu. Usafi wa soko na hata huduma mbalimbali muhimu kwa machinga na wanunuzi zipo. Nimekuta lipo eneo limetengwa ndani ya soko la wamama kunyonyeshea, kuna ATM, store, vyoo vizuri. Maeneo ya baba na mama lishe yametengwa vizuri hata sehemu za nyama choma nje ya soko zinashawishi kwani meza za wateja ni za marble ambazo zinadumu kuliko mabati na mbao.

View attachment 2660501
Kelele ndani ya soko zimedhibitiwa ambapo wenye vipaza sauti hawaruhusiwi kufungulia sauti kubwa.

Kuhusu usafiri, soko limejengwa pembezoni mwa barabara kuu huku kukiwa na kituo kikubwa cha daladala kuelekea maeneo mengi ya jiji la dodoma. Kimsingi serikali imewatendea haki wamachinga kwani imeamua kuwaweka mahala sahihi ambapo haimlazimishi mteja kwenda umbali mrefu kutafuta petty goods. Nilimuuliza mmachinga mmoja wanalipa kiasi gani kwa siku akasema wanalipa Tshs 1,000 na akaenda mbali zaidi kuwa anaiona ni fair kwa sababu soko halikauki wateja pia alilinganisha na eneo lake la biashara pale Kariakoo aliloamuq kuachana nalo kwa sababu hata hrla wlizokuwa wanatoa kwa jiji hazikuzuia harassments za mgambo na kukithiri kwa uchafu.


Tofauti na majiji mengine kama Dar, wamachinga wanaondolewa maeneo potential kwao na kutupwa nje pembezoni mwa mji ambapo hata miundombinu kama vyoo, umeme , usafiri vinakuwa ni taabu.

Kwa mfano pale Kariakoo wangechukua mfumo wa soko la Machinga Dodoma hakika wangeweza kukidhi takwa la serikali kuwakusanya machinga na hata wakachangia pato la jiji kwa tozo watakazolipa. Serikali inaweza kuongea na NHC wakapanua eneo lile kulifanya liwe efficiency kwa biashara.

Pale Mbagala Zakhiem kuna utopolo umejengwa ambapo wamachinga hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafanyabishara wenye msuli wa fedha.

Kwenye hili soko la Machinga Dodoma, tuungane kumpongeza Mama Samia kwa sababu amefanikiwa kuwapatia machinga sehemu stahiki kwa shughuli zao. Pia kama ikipendeza masoko kama haya yajengwe kwenye majiji hapa nchini na kuangalia pale Mbezi Mwisho kujenga soko la Machinga la kisasa ili kuongeza wigo wa nchi jirani kuja kununua bidhaa kama wanavyofanya Kariakoo na Mbagala.


Muwe na weekend njema


CC: Pascal Mayalla ChoiceVariable bubex_jr johnthebaptist emback Ne91cM Mzee Mwanakijiji Dr. Mariposa Dr Matola PhD FaizaFoxy Mohamed Said
Mkuu nakubaliana nawe kabisa, lile soko ni mzuri na limejengwa sehemu sahihi na ndio maana huduma muhimu zipo bila matatizo. Aidha kwa Mbezi, panafaa sana kujenga soko kama lile maana sehemu za kujenga zipo. Nadhani lile eneo la wazi katikati ya barabara kuu ya njia 8 na barabara ya service road ambapo daraja la juu la watembea kwa miguu wanao vuka barabara kutoka Mbezi Bus Stand na kutokezea Mbezi Stand ya daladala na mwendokasi. Eneo hilo linatosha kabisa kuwaweka wamachinga wote wa Mbezi. Eneo lina anzia upande wa Magharibi mwa stand ya daladala hadi kwa Yusufu (round-about) Eneo linakidhi kwa soko.
 
Mkuu nakubaliana nawe kabisa, lile soko ni mzuri na limejengwa sehemu sahihi na ndio maana huduma muhimu zipo bila matatizo. Aidha kwa Mbezi, panafaa sana kujenga soko kama lile maana sehemu za kujenga zipo. Nadhani lile eneo la wazi katikati ya barabara kuu ya njia 8 na barabara ya service road ambapo daraja la juu la watembea kwa miguu wanao vuka barabara kutoka Mbezi Bus Stand na kutokezea Mbezi Stand ya daladala na mwendokasi. Eneo hilo linatosha kabisa kuwaweka wamachinga wote wa Mbezi. Eneo lina anzia upande wa Magharibi mwa stand ya daladala hadi kwa Yusufu (round-about) Eneo linakidhi kwa soko.
Umeongwa kitaalam sana
Wapangaji mipango wa Dar waandae mkakati huo
 
Nikweli tumpongeze saaana saaana. Tatizo ni Moja kwamba, haitakuja kutokea tujenge majengo ya machinga ya kutoshereza idadi Yao. Hapo walipojenga tayariii hapatoshi. Kwa nini hapatoshi sababu ni hiiii;
1. Machinga wanazalishwa Kila sikuuu kama ifuatavyo, Kila uchwao, machinga wanaongezeka Kwa Kasi kubwaa saaana kwani Kila unapoona darasa la Saba wamemaliza basi ujue tumepeleka machinga Tena,

2. Kila unapoona form4 na f6 wamemaliza ujue Kuna machinga wameingia mijini Tena. Kila unapoona vyuo vya in kati na vyuo vikuu wamehitimu, basi ujue tumepeleka machinga wengine wengi saana.

Pia Kila siku kunawasitafu wengine Tena wanaongezeka, hao nao ujue umeongeza machinga Tena mtaani na mijiniii, Bado watumishi wa umaa nao nimwachinga pia.

Kwahyo hakuna siku tutajenga majengo ya kutoshereza wimbi hili la machingaaa. Tutajenga majengo mangapiiio ya kutoshereza? Hivyo namuomba mama yangu kipenzi changu na shujaaa wa TANZANIA na Africa nzima afanye hiviii; wawepo machinga wakukaaa kwenye MAENEO hayoo, pia wawepo machinga watakao ruhusiwa kutembeza bidhaa zao MAENEO yote ya mjini. Au zitafutwee baadhi ya barabara zifungwee ili machinga hawa .
Mkuu Ujamaa, nakubaliana nawe juu ya namna ya ongezeko la hawa wamachinga; ni kweli kabisa kwamba pamoja na sababu zingine zinazopelekea ongezeko la wamachinga lakini hizi ulizozitaja ndizo zinazo zalisha watu hawa. Aidha sikubaliani nawe katika kutatua tatizo la uzalishaji wa hawa wamachinga. Hili la baadhi lawanachinga kutembeza bidhaa zao na la kuwapatia baadhi ya barabara kuendesha biashara zao naona kama tutarudi tulikotoka. Nadhani njia sahihi ni hii ya kuwajengea masoko kwa kadri ya idadi yao; maeneo yapo.
 
Mama Samia nu ntu ws vitendo zaidi. ukimuona kimya utadhani hafanyi, mra ynastykia kitu hichi, tayari.


Allah azidi kumoa hekima na utendaji uliotukuka.

Hili soko pekee ni legacy isiyo na mfano Tanzania.

Nashauri kila wilaya ya Tanzania iige mfano huo, tuibadilishe taswira nchi. Maana hapo hata wamachinga wamepanda hadhi.



Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
hilo soko nani alieanza kujenga nani...??.mda mwingine uwe unakua na akili...
 
Wengi watashangazwa na huu uzi.
Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita.

Tembea uone.
View attachment 2660495
Nilifanikiwa kutembelea soko la Machinga pale mji mkuu Dodoma, nilijihakikishia kuwa plan na ukamilishwaji wa mradi wa soko hilo la Machinga umefanikiwa kwa kiasi kukubwa.

Sijajua kwa undani soko hilo likikamilika linapaswa liweje lakini kwa kila Mtanzania na mgeni anayetembelea atakubaliana nami kuwa soko hilo linaweza kuwa la kisasa kwa afrika mashariki na kati.

View attachment 2660496
Nimekuta wamachinga wamepangwa vizuri, alama za wapi utakuta aija ya bidhaa unazotafuta zinaonekana kwa uwazi. Zimeandikwa kwa lugha yetu tukuka ya kiswahili ambapo ni uamuzi wa dhahabu. Usafi wa soko na hata huduma mbalimbali muhimu kwa machinga na wanunuzi zipo. Nimekuta lipo eneo limetengwa ndani ya soko la wamama kunyonyeshea, kuna ATM, store, vyoo vizuri. Maeneo ya baba na mama lishe yametengwa vizuri hata sehemu za nyama choma nje ya soko zinashawishi kwani meza za wateja ni za marble ambazo zinadumu kuliko mabati na mbao.

View attachment 2660501
Kelele ndani ya soko zimedhibitiwa ambapo wenye vipaza sauti hawaruhusiwi kufungulia sauti kubwa.

Kuhusu usafiri, soko limejengwa pembezoni mwa barabara kuu huku kukiwa na kituo kikubwa cha daladala kuelekea maeneo mengi ya jiji la dodoma. Kimsingi serikali imewatendea haki wamachinga kwani imeamua kuwaweka mahala sahihi ambapo haimlazimishi mteja kwenda umbali mrefu kutafuta petty goods. Nilimuuliza mmachinga mmoja wanalipa kiasi gani kwa siku akasema wanalipa Tshs 1,000 na akaenda mbali zaidi kuwa anaiona ni fair kwa sababu soko halikauki wateja pia alilinganisha na eneo lake la biashara pale Kariakoo aliloamuq kuachana nalo kwa sababu hata hrla wlizokuwa wanatoa kwa jiji hazikuzuia harassments za mgambo na kukithiri kwa uchafu.


Tofauti na majiji mengine kama Dar, wamachinga wanaondolewa maeneo potential kwao na kutupwa nje pembezoni mwa mji ambapo hata miundombinu kama vyoo, umeme , usafiri vinakuwa ni taabu.

Kwa mfano pale Kariakoo wangechukua mfumo wa soko la Machinga Dodoma hakika wangeweza kukidhi takwa la serikali kuwakusanya machinga na hata wakachangia pato la jiji kwa tozo watakazolipa. Serikali inaweza kuongea na NHC wakapanua eneo lile kulifanya liwe efficiency kwa biashara.

Pale Mbagala Zakhiem kuna utopolo umejengwa ambapo wamachinga hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafanyabishara wenye msuli wa fedha.

Kwenye hili soko la Machinga Dodoma, tuungane kumpongeza Mama Samia kwa sababu amefanikiwa kuwapatia machinga sehemu stahiki kwa shughuli zao. Pia kama ikipendeza masoko kama haya yajengwe kwenye majiji hapa nchini na kuangalia pale Mbezi Mwisho kujenga soko la Machinga la kisasa ili kuongeza wigo wa nchi jirani kuja kununua bidhaa kama wanavyofanya Kariakoo na Mbagala.


Muwe na weekend njema


CC: Pascal Mayalla ChoiceVariable bubex_jr johnthebaptist emback Ne91cM Mzee Mwanakijiji Dr. Mariposa Dr Matola PhD FaizaFoxy Mohamed Said
Sikuwahi kufikiri kwamba unaweza kuwa chawa.
 
Mkuu Ujamaa, nakubaliana nawe juu ya namna ya ongezeko la hawa wamachinga; ni kweli kabisa kwamba pamoja na sababu zingine zinazopelekea ongezeko la wamachinga lakini hizi ulizozitaja ndizo zinazo zalisha watu hawa. Aidha sikubaliani nawe katika kutatua tatizo la uzalishaji wa hawa wamachinga. Hili la baadhi lawanachinga kutembeza bidhaa zao na la kuwapatia baadhi ya barabara kuendesha biashara zao naona kama tutarudi tulikotoka. Nadhani njia sahihi ni hii ya kuwajengea masoko kwa kadri ya idadi yao; maeneo yapo.
Utajenga Kila Kila sikuuu?? Maana wanazalishwa Kila sikuuu. Maana yake tuwe tunapanga bajeti Kila siku ya majengo ya kifahariii kama hayooo?? Kiwanda Cha machinga nikila sekunde wanazalishwa utawezaaa?? Ni Vyema tutafute namna nzuriii ya kitatua
 
Hayo mabanda yanawawezesha vijana wajasiriamali kuhudumia familia zao na kuchangia pato la Taifa.

Sometimes we need to be appreciative kwa vichache vinavyoonekana
Hili siyo jambo la kusifu. Ni jambo lililochewa na lina-reflect mamtatizo yetu. Sitakaa nisifie dalili za matatizo.
 
Wengi watashangazwa na huu uzi.
Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita.

Tembea uone.
View attachment 2660495
Nilifanikiwa kutembelea soko la Machinga pale mji mkuu Dodoma, nilijihakikishia kuwa plan na ukamilishwaji wa mradi wa soko hilo la Machinga umefanikiwa kwa kiasi kukubwa.

Sijajua kwa undani soko hilo likikamilika linapaswa liweje lakini kwa kila Mtanzania na mgeni anayetembelea atakubaliana nami kuwa soko hilo linaweza kuwa la kisasa kwa afrika mashariki na kati.

View attachment 2660496
Nimekuta wamachinga wamepangwa vizuri, alama za wapi utakuta aija ya bidhaa unazotafuta zinaonekana kwa uwazi. Zimeandikwa kwa lugha yetu tukuka ya kiswahili ambapo ni uamuzi wa dhahabu. Usafi wa soko na hata huduma mbalimbali muhimu kwa machinga na wanunuzi zipo. Nimekuta lipo eneo limetengwa ndani ya soko la wamama kunyonyeshea, kuna ATM, store, vyoo vizuri. Maeneo ya baba na mama lishe yametengwa vizuri hata sehemu za nyama choma nje ya soko zinashawishi kwani meza za wateja ni za marble ambazo zinadumu kuliko mabati na mbao.

View attachment 2660501
Kelele ndani ya soko zimedhibitiwa ambapo wenye vipaza sauti hawaruhusiwi kufungulia sauti kubwa.

Kuhusu usafiri, soko limejengwa pembezoni mwa barabara kuu huku kukiwa na kituo kikubwa cha daladala kuelekea maeneo mengi ya jiji la dodoma. Kimsingi serikali imewatendea haki wamachinga kwani imeamua kuwaweka mahala sahihi ambapo haimlazimishi mteja kwenda umbali mrefu kutafuta petty goods. Nilimuuliza mmachinga mmoja wanalipa kiasi gani kwa siku akasema wanalipa Tshs 1,000 na akaenda mbali zaidi kuwa anaiona ni fair kwa sababu soko halikauki wateja pia alilinganisha na eneo lake la biashara pale Kariakoo aliloamuq kuachana nalo kwa sababu hata hrla wlizokuwa wanatoa kwa jiji hazikuzuia harassments za mgambo na kukithiri kwa uchafu.


Tofauti na majiji mengine kama Dar, wamachinga wanaondolewa maeneo potential kwao na kutupwa nje pembezoni mwa mji ambapo hata miundombinu kama vyoo, umeme , usafiri vinakuwa ni taabu.

Kwa mfano pale Kariakoo wangechukua mfumo wa soko la Machinga Dodoma hakika wangeweza kukidhi takwa la serikali kuwakusanya machinga na hata wakachangia pato la jiji kwa tozo watakazolipa. Serikali inaweza kuongea na NHC wakapanua eneo lile kulifanya liwe efficiency kwa biashara.

Pale Mbagala Zakhiem kuna utopolo umejengwa ambapo wamachinga hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafanyabishara wenye msuli wa fedha.

Kwenye hili soko la Machinga Dodoma, tuungane kumpongeza Mama Samia kwa sababu amefanikiwa kuwapatia machinga sehemu stahiki kwa shughuli zao. Pia kama ikipendeza masoko kama haya yajengwe kwenye majiji hapa nchini na kuangalia pale Mbezi Mwisho kujenga soko la Machinga la kisasa ili kuongeza wigo wa nchi jirani kuja kununua bidhaa kama wanavyofanya Kariakoo na Mbagala.


Muwe na weekend njema


CC: Pascal Mayalla ChoiceVariable bubex_jr johnthebaptist emback Ne91cM Mzee Mwanakijiji Dr. Mariposa Dr Matola PhD FaizaFoxy Mohamed Said
Huku kwetu mvua zimenyesha za kutosha, pongezi sana kwa mheshimiwa rais mama dokta Samia.
 
Asante mama na mtaka kwa kazi njema. Kanyaga twende mama piga kazi tumecheleweshwa mnooo kama taifa zaidi ya 7 miaka
 
Mkuu, huogopi kukasirisha watu fulani hv?!!!!
Siku zote mawazo ya mtu ndio uondoa ujinga elimu hii haikutokea Kwa mwingine Bali Ni JPM alisema lazima unapotaka kuwaondoa machinga barabarani uwawekee mazingira mazuri hivyo Hakuna anayeumia.
 
Wakati anavoingia madarakani,akatoa agizo la kuwapanga machinga...wakuu wa mikoa mingi kama kawaida wakawanunulia migambo virungu vipya tayari kuingia kazini,maeneo mengi machinga walipigwa na kufukuzwa katikati ya miji..

Watu wote ikiwemo wabunge walikaa kimya kwa vipigo vile vya machinga,isipokua H. Polepole aliyejitokeza kuwatetea.

Ni mkuu wa mkoa wa Dodoma pekee kipindi kile Mtaka aliyekuwa na approach tofauti. Anasema kwa maneno yake mwenyewe akifanyiwa mahojiano " Tuliamua tuwe na mtizamo tofauti,nikaongea na mheshimiwa atupe muda tusiwafukuze machinga mjini,bali tuwajengee soko hapa hapa mjini ili wafanye shughuli zao,nae akanikubalia"

Kumbe unaweza ukaona mtizamo wa aliyeombwa machinga wasifukuzwe mjini Dodoma ulikuaje,hasa ukitizama hakuingilia kati vipigo kwa machinga wa majiji mengine. Sifa na utukufu ni kwake yeye
 
Wengi watashangazwa na huu uzi.
Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita.

Tembea uone.
View attachment 2660495
Nilifanikiwa kutembelea soko la Machinga pale mji mkuu Dodoma, nilijihakikishia kuwa plan na ukamilishwaji wa mradi wa soko hilo la Machinga umefanikiwa kwa kiasi kukubwa.

Sijajua kwa undani soko hilo likikamilika linapaswa liweje lakini kwa kila Mtanzania na mgeni anayetembelea atakubaliana nami kuwa soko hilo linaweza kuwa la kisasa kwa afrika mashariki na kati.

View attachment 2660496
Nimekuta wamachinga wamepangwa vizuri, alama za wapi utakuta aija ya bidhaa unazotafuta zinaonekana kwa uwazi. Zimeandikwa kwa lugha yetu tukuka ya kiswahili ambapo ni uamuzi wa dhahabu. Usafi wa soko na hata huduma mbalimbali muhimu kwa machinga na wanunuzi zipo. Nimekuta lipo eneo limetengwa ndani ya soko la wamama kunyonyeshea, kuna ATM, store, vyoo vizuri. Maeneo ya baba na mama lishe yametengwa vizuri hata sehemu za nyama choma nje ya soko zinashawishi kwani meza za wateja ni za marble ambazo zinadumu kuliko mabati na mbao.

View attachment 2660501
Kelele ndani ya soko zimedhibitiwa ambapo wenye vipaza sauti hawaruhusiwi kufungulia sauti kubwa.

Kuhusu usafiri, soko limejengwa pembezoni mwa barabara kuu huku kukiwa na kituo kikubwa cha daladala kuelekea maeneo mengi ya jiji la dodoma. Kimsingi serikali imewatendea haki wamachinga kwani imeamua kuwaweka mahala sahihi ambapo haimlazimishi mteja kwenda umbali mrefu kutafuta petty goods. Nilimuuliza mmachinga mmoja wanalipa kiasi gani kwa siku akasema wanalipa Tshs 1,000 na akaenda mbali zaidi kuwa anaiona ni fair kwa sababu soko halikauki wateja pia alilinganisha na eneo lake la biashara pale Kariakoo aliloamuq kuachana nalo kwa sababu hata hrla wlizokuwa wanatoa kwa jiji hazikuzuia harassments za mgambo na kukithiri kwa uchafu.


Tofauti na majiji mengine kama Dar, wamachinga wanaondolewa maeneo potential kwao na kutupwa nje pembezoni mwa mji ambapo hata miundombinu kama vyoo, umeme , usafiri vinakuwa ni taabu.

Kwa mfano pale Kariakoo wangechukua mfumo wa soko la Machinga Dodoma hakika wangeweza kukidhi takwa la serikali kuwakusanya machinga na hata wakachangia pato la jiji kwa tozo watakazolipa. Serikali inaweza kuongea na NHC wakapanua eneo lile kulifanya liwe efficiency kwa biashara.

Pale Mbagala Zakhiem kuna utopolo umejengwa ambapo wamachinga hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafanyabishara wenye msuli wa fedha.

Kwenye hili soko la Machinga Dodoma, tuungane kumpongeza Mama Samia kwa sababu amefanikiwa kuwapatia machinga sehemu stahiki kwa shughuli zao. Pia kama ikipendeza masoko kama haya yajengwe kwenye majiji hapa nchini na kuangalia pale Mbezi Mwisho kujenga soko la Machinga la kisasa ili kuongeza wigo wa nchi jirani kuja kununua bidhaa kama wanavyofanya Kariakoo na Mbagala.


Muwe na weekend njema


CC: Pascal Mayalla ChoiceVariable bubex_jr johnthebaptist emback Ne91cM Mzee Mwanakijiji Dr. Mariposa Dr Matola PhD FaizaFoxy Mohamed Said
Mama anaupiga mwingi sana. Tuachane na akina Mbowe na CHADEMA yao wanakumbatia ukabila na udini na kusahau uungwana wa mama yetu.
 
Wengi watashangazwa na huu uzi.
Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita.

Tembea uone.
View attachment 2660495
Nilifanikiwa kutembelea soko la Machinga pale mji mkuu Dodoma, nilijihakikishia kuwa plan na ukamilishwaji wa mradi wa soko hilo la Machinga umefanikiwa kwa kiasi kukubwa.

Sijajua kwa undani soko hilo likikamilika linapaswa liweje lakini kwa kila Mtanzania na mgeni anayetembelea atakubaliana nami kuwa soko hilo linaweza kuwa la kisasa kwa afrika mashariki na kati.

View attachment 2660496
Nimekuta wamachinga wamepangwa vizuri, alama za wapi utakuta aija ya bidhaa unazotafuta zinaonekana kwa uwazi. Zimeandikwa kwa lugha yetu tukuka ya kiswahili ambapo ni uamuzi wa dhahabu. Usafi wa soko na hata huduma mbalimbali muhimu kwa machinga na wanunuzi zipo. Nimekuta lipo eneo limetengwa ndani ya soko la wamama kunyonyeshea, kuna ATM, store, vyoo vizuri. Maeneo ya baba na mama lishe yametengwa vizuri hata sehemu za nyama choma nje ya soko zinashawishi kwani meza za wateja ni za marble ambazo zinadumu kuliko mabati na mbao.

View attachment 2660501
Kelele ndani ya soko zimedhibitiwa ambapo wenye vipaza sauti hawaruhusiwi kufungulia sauti kubwa.

Kuhusu usafiri, soko limejengwa pembezoni mwa barabara kuu huku kukiwa na kituo kikubwa cha daladala kuelekea maeneo mengi ya jiji la dodoma. Kimsingi serikali imewatendea haki wamachinga kwani imeamua kuwaweka mahala sahihi ambapo haimlazimishi mteja kwenda umbali mrefu kutafuta petty goods. Nilimuuliza mmachinga mmoja wanalipa kiasi gani kwa siku akasema wanalipa Tshs 1,000 na akaenda mbali zaidi kuwa anaiona ni fair kwa sababu soko halikauki wateja pia alilinganisha na eneo lake la biashara pale Kariakoo aliloamuq kuachana nalo kwa sababu hata hrla wlizokuwa wanatoa kwa jiji hazikuzuia harassments za mgambo na kukithiri kwa uchafu.


Tofauti na majiji mengine kama Dar, wamachinga wanaondolewa maeneo potential kwao na kutupwa nje pembezoni mwa mji ambapo hata miundombinu kama vyoo, umeme , usafiri vinakuwa ni taabu.

Kwa mfano pale Kariakoo wangechukua mfumo wa soko la Machinga Dodoma hakika wangeweza kukidhi takwa la serikali kuwakusanya machinga na hata wakachangia pato la jiji kwa tozo watakazolipa. Serikali inaweza kuongea na NHC wakapanua eneo lile kulifanya liwe efficiency kwa biashara.

Pale Mbagala Zakhiem kuna utopolo umejengwa ambapo wamachinga hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafanyabishara wenye msuli wa fedha.

Kwenye hili soko la Machinga Dodoma, tuungane kumpongeza Mama Samia kwa sababu amefanikiwa kuwapatia machinga sehemu stahiki kwa shughuli zao. Pia kama ikipendeza masoko kama haya yajengwe kwenye majiji hapa nchini na kuangalia pale Mbezi Mwisho kujenga soko la Machinga la kisasa ili kuongeza wigo wa nchi jirani kuja kununua bidhaa kama wanavyofanya Kariakoo na Mbagala.


Muwe na weekend njema


CC: Pascal Mayalla ChoiceVariable bubex_jr johnthebaptist emback Ne91cM Mzee Mwanakijiji Dr. Mariposa Dr Matola PhD FaizaFoxy Mohamed Said
Walinda ligacy na Chadomo watatukana 😂😂
 
Siku zote mawazo ya mtu ndio uondoa ujinga elimu hii haikutokea Kwa mwingine Bali Ni JPM alisema lazima unapotaka kuwaondoa machinga barabarani uwawekee mazingira mazuri hivyo Hakuna anayeumia.
Okaaaay, kumbe. Nashukuru kwa taarifa. Wakitokea watu wakiuliza vipi kuhusu Machinga complex ya Dar iliyoanza kipindi cha jk haikuwa mwanzo wa yote haya, nitawaambia ''KOMENI! TENA MKOME SANA!''
 
Back
Top Bottom