Katika eneo ambalo wananchi wanaeleimishwa sana ni Dodoma.Limeanzwa na JPM na frem zipo WAZI hao unaowaona wanazuga tu huku mtaani wanavunja vibanda wakishikiza watu kuhamia hapo.
Ni kama machinga complex Dar kuna maajabu gani horofa kwanza tu wamejaa wauza simu na mafundi laptops
Sawa wakat wenzako wanajenga wakiwa kazi na kuongeza vyazo vya kipato wewe ulikuwa unakula matokeo yake hela ya kustafia unajenga mwishow ndio unaleta makasiriko hapafailures wa darasa la saba utawajua
We mgeni njoo zivimba baada ya mstar wa3 uona kama kuna watu.Katika eneo ambalo wananchi wanaeleimishwa sana ni Dodoma.
Pale ada kwa siku ni Tshs 1,000.
Soko limejaa halina nafasi za wazi. Bidhaa ni bei nafuu kama Kariakoo.
SGR ikianza naamini neema nyingi zitakuja kwa wakaI wa Dodoma kupata unafuu wa maisha
Ila dodoma pagumu sanaKatika eneo ambalo wananchi wanaeleimishwa sana ni Dodoma.
Pale ada kwa siku ni Tshs 1,000.
Soko limejaa halina nafasi za wazi. Bidhaa ni bei nafuu kama Kariakoo.
SGR ikianza naamini neema nyingi zitakuja kwa wakaI wa Dodoma kupata unafuu wa maisha
Pia kwa rais mtanguliz maana yeye ndie alianza project hii ya masoko mfano kisutu. Magomeni.kariakoo.na mengne mengPongezi nyingi sana Kwa Rais Samia alitoa pesa za COVID zikafanya kazi hii ku top up pesa za Jiji..
Pia Mtaka na yule alikuwa DED wa Dom walifanya kazi nzuri
Ila dodoma pagumuKatika eneo ambalo wananchi wanaeleimishwa sana ni Dodoma.
Pale ada kwa siku ni Tshs 1,000.
Soko limejaa halina nafasi za wazi. Bidhaa ni bei nafuu kama Kariakoo.
SGR ikianza naamini neema nyingi zitakuja kwa wakaI wa Dodoma kupata unafuu wa maisha
Wataalam wa TAMISEMI na Wizara ya Ujenzi wakikaa pamoja wanaweza kufanikisha hii mipango.Ila iwe ni maeneo Yale Yale potential,pia ilitakiwa ujenzi wa Barabara au stand uwe unazingatia maeneo ya machinga Ili watengewe maeneo Yao Kwa maana wasiwe wanazurula Kila mahala Wala kwenda kuweka bidhaa mbele ya wenye maduka.
Mama Samia nu ntu ws vitendo zaidi. ukimuona kimya utadhani hafanyi, mra ynastykia kitu hichi, tayari.Wengi watashangazwa na huu uzi.
Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita.
Tembea uone.
View attachment 2660495
Nilifanikiwa kutembelea soko la Machinga pale mji mkuu Dodoma, nilijihakikishia kuwa plan na ukamilishwaji wa mradi wa soko hilo la Machinga umefanikiwa kwa kiasi kukubwa.
Sijajua kwa undani soko hilo likikamilika linapaswa liweje lakini kwa kila Mtanzania na mgeni anayetembelea atakubaliana nami kuwa soko hilo linaweza kuwa la kisasa kwa afrika mashariki na kati.
View attachment 2660496
Nimekuta wamachinga wamepangwa vizuri, alama za wapi utakuta aija ya bidhaa unazotafuta zinaonekana kwa uwazi. Zimeandikwa kwa lugha yetu tukuka ya kiswahili ambapo ni uamuzi wa dhahabu. Usafi wa soko na hata huduma mbalimbali muhimu kwa machinga na wanunuzi zipo. Nimekuta lipo eneo limetengwa ndani ya soko la wamama kunyonyeshea, kuna ATM, store, vyoo vizuri. Maeneo ya baba na mama lishe yametengwa vizuri hata sehemu za nyama choma nje ya soko zinashawishi kwani meza za wateja ni za marble ambazo zinadumu kuliko mabati na mbao.
View attachment 2660501
Kelele ndani ya soko zimedhibitiwa ambapo wenye vipaza sauti hawaruhusiwi kufungulia sauti kubwa.
Kuhusu usafiri, soko limejengwa pembezoni mwa barabara kuu huku kukiwa na kituo kikubwa cha daladala kuelekea maeneo mengi ya jiji la dodoma. Kimsingi serikali imewatendea haki wamachinga kwani imeamua kuwaweka mahala sahihi ambapo haimlazimishi mteja kwenda umbali mrefu kutafuta petty goods. Nilimuuliza mmachinga mmoja wanalipa kiasi gani kwa siku akasema wanalipa Tshs 1,000 na akaenda mbali zaidi kuwa anaiona ni fair kwa sababu soko halikauki wateja pia alilinganisha na eneo lake la biashara pale Kariakoo aliloamuq kuachana nalo kwa sababu hata hrla wlizokuwa wanatoa kwa jiji hazikuzuia harassments za mgambo na kukithiri kwa uchafu.
Tofauti na majiji mengine kama Dar, wamachinga wanaondolewa maeneo potential kwao na kutupwa nje pembezoni mwa mji ambapo hata miundombinu kama vyoo, umeme , usafiri vinakuwa ni taabu.
Kwa mfano pale Kariakoo wangechukua mfumo wa soko la Machinga Dodoma hakika wangeweza kukidhi takwa la serikali kuwakusanya machinga na hata wakachangia pato la jiji kwa tozo watakazolipa. Serikali inaweza kuongea na NHC wakapanua eneo lile kulifanya liwe efficiency kwa biashara.
Pale Mbagala Zakhiem kuna utopolo umejengwa ambapo wamachinga hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafanyabishara wenye msuli wa fedha.
Kwenye hili soko la Machinga Dodoma, tuungane kumpongeza Mama Samia kwa sababu amefanikiwa kuwapatia machinga sehemu stahiki kwa shughuli zao. Pia kama ikipendeza masoko kama haya yajengwe kwenye majiji hapa nchini na kuangalia pale Mbezi Mwisho kujenga soko la Machinga la kisasa ili kuongeza wigo wa nchi jirani kuja kununua bidhaa kama wanavyofanya Kariakoo na Mbagala.
Muwe na weekend njema
CC: Pascal Mayalla ChoiceVariable bubex_jr johnthebaptist emback Ne91cM Mzee Mwanakijiji Dr. Mariposa Dr Matola PhD FaizaFoxy Mohamed Said
Wewe uliyesoma kaichukue basi hiyo bandari kama ni yakofailures wa darasa la saba utawajua
Sema vitu vinauzwa Bei sana nimegusa juzi apo training shoes haieleweki eti elf 50Wengi watashangazwa na huu uzi.
Nimekuwa nakosoa tena kwa lugha kali utendaji wa hovyo usiozingatia uhalisia hususani kuanzia awamu hii ya sita.
Tembea uone.
View attachment 2660495
Nilifanikiwa kutembelea soko la Machinga pale mji mkuu Dodoma, nilijihakikishia kuwa plan na ukamilishwaji wa mradi wa soko hilo la Machinga umefanikiwa kwa kiasi kukubwa.
Sijajua kwa undani soko hilo likikamilika linapaswa liweje lakini kwa kila Mtanzania na mgeni anayetembelea atakubaliana nami kuwa soko hilo linaweza kuwa la kisasa kwa afrika mashariki na kati.
View attachment 2660496
Nimekuta wamachinga wamepangwa vizuri, alama za wapi utakuta aija ya bidhaa unazotafuta zinaonekana kwa uwazi. Zimeandikwa kwa lugha yetu tukuka ya kiswahili ambapo ni uamuzi wa dhahabu. Usafi wa soko na hata huduma mbalimbali muhimu kwa machinga na wanunuzi zipo. Nimekuta lipo eneo limetengwa ndani ya soko la wamama kunyonyeshea, kuna ATM, store, vyoo vizuri. Maeneo ya baba na mama lishe yametengwa vizuri hata sehemu za nyama choma nje ya soko zinashawishi kwani meza za wateja ni za marble ambazo zinadumu kuliko mabati na mbao.
View attachment 2660501
Kelele ndani ya soko zimedhibitiwa ambapo wenye vipaza sauti hawaruhusiwi kufungulia sauti kubwa.
Kuhusu usafiri, soko limejengwa pembezoni mwa barabara kuu huku kukiwa na kituo kikubwa cha daladala kuelekea maeneo mengi ya jiji la dodoma. Kimsingi serikali imewatendea haki wamachinga kwani imeamua kuwaweka mahala sahihi ambapo haimlazimishi mteja kwenda umbali mrefu kutafuta petty goods. Nilimuuliza mmachinga mmoja wanalipa kiasi gani kwa siku akasema wanalipa Tshs 1,000 na akaenda mbali zaidi kuwa anaiona ni fair kwa sababu soko halikauki wateja pia alilinganisha na eneo lake la biashara pale Kariakoo aliloamuq kuachana nalo kwa sababu hata hrla wlizokuwa wanatoa kwa jiji hazikuzuia harassments za mgambo na kukithiri kwa uchafu.
Tofauti na majiji mengine kama Dar, wamachinga wanaondolewa maeneo potential kwao na kutupwa nje pembezoni mwa mji ambapo hata miundombinu kama vyoo, umeme , usafiri vinakuwa ni taabu.
Kwa mfano pale Kariakoo wangechukua mfumo wa soko la Machinga Dodoma hakika wangeweza kukidhi takwa la serikali kuwakusanya machinga na hata wakachangia pato la jiji kwa tozo watakazolipa. Serikali inaweza kuongea na NHC wakapanua eneo lile kulifanya liwe efficiency kwa biashara.
Pale Mbagala Zakhiem kuna utopolo umejengwa ambapo wamachinga hawatakuwa na nafasi zaidi ya wafanyabishara wenye msuli wa fedha.
Kwenye hili soko la Machinga Dodoma, tuungane kumpongeza Mama Samia kwa sababu amefanikiwa kuwapatia machinga sehemu stahiki kwa shughuli zao. Pia kama ikipendeza masoko kama haya yajengwe kwenye majiji hapa nchini na kuangalia pale Mbezi Mwisho kujenga soko la Machinga la kisasa ili kuongeza wigo wa nchi jirani kuja kununua bidhaa kama wanavyofanya Kariakoo na Mbagala.
Muwe na weekend njema
CC: Pascal Mayalla ChoiceVariable bubex_jr johnthebaptist emback Ne91cM Mzee Mwanakijiji Dr. Mariposa Dr Matola PhD FaizaFoxy Mohamed Said
Soko ni legacy ya MagufuliMama Samia nu ntu ws vitendo zaidi. ukimuona kimya utadhani hafanyi, mra ynastykia kitu hichi, tayari.
Allah azidi kumoa hekima na utendaji uliotukuka.
Hili soko pekee ni legacy isiyo na mfano Tanzania.
Nashauri kila wilaya ya Tanzania iige mfano huo, tuibadilishe taswira nchi. Maana hapo hata wamachinga wamepanda hadhi.
Mama Samia anaupiga mwingi Kimataifa.
Kwenye biashara naona pagumu bora bukobaUgumu wake nini mkuu
Nilifanya shopping ndogo hapo niliona is fair kiasi kwa sababu huwezi kulinganisha na kariakoo. Distance ya kusafirisha bidhaa inahusika na kupanga bei.Sema vitu vinauzwa Bei sana
Sahihi Kwa vyakula. Ulijaribu kugusa nguo na viatu🤔🤔Nilifanya shopping ndogo hapo niliona is fair kiasi kwa sababu huwezi kulinganisha na kariakoo. Distance ya kusafirisha bidhaa inahusika na kupanga bei.
SGR inaweza kusaisia kupunguza gharama.
Lakini kwa bidhaa za nyumbani kama mazao nahusi siyo ghatama kubwa
Hivi nani alikuwa makamo wa Rais wakati wa Magufuli? Unajuwa maana ya kazi iendelee?Soko ni legacy ya Magufuli
MkuuHakuna serikali ya kipigaji kama hii ya Sa100, yaani soko ambalo materials % yote imetoka hapa hapa bongo hasa chuma na cement eti limegharibu pesa za Tz Bilioni 9!!!.
Hakika Mama anaupiga mwingi hadi kwenye matope!