Soko la Machinga Dodoma, tumpe Rais Samia maua yake

Hakuna kitu hapo, naumia sana kuona Taifa tuna risishana ujinga, wakati wenzetu wana risishana akili. Unachinga ni vitu ya ku descourage kwa gharama yoyote ile, ila Bongo tuna hamasisha Unachinga si kwa sababu za Kiichumi bali za kisiasa
Shida unasifia kwa kufika.mara moja tena kama reporter tuulize wakazi tulioishi na tunaoendelea hapa tuambie kuhusu MACHINGA COMPLEX ya dar hadi kuanza kuchoma masoko ya mchikichini kazimisha watu wahamie pale
 
Tuna sapoti ujinga badala ya kuja na sera nzuri za Vijana kuwekeza tunawatengenezea nazingira ya wao kuendelea kuwa wajinga, Hao wana siasa kuna ndugu zao ni Machinga?

Nchi tuna risishana ujinga,
Soko lina ujinga gani
 
Soko ni landmark lile.

Serikali ikiwekeza ktk ideas kama hizo tutaondokana na wamachinga kuvamia mabarabara na kutembeza bidhaa kwenye bars.

Mapato yataongezeka
Nchi ina laana hii. Haya mabanda ndiyo rais anasifiwa? Nadhani tuko kwenye hali mbaya sana.
 
Nnia pekee ya kuondokana na Macbibga ni uwekezaji kwenye viwanda, vijana wapate ajira, au uwekezaji mkubwa kwemye kilimo.

Hmachinga ni kutengeneza Taifa ka watu wasio waza wanao waza uchuuzi tu, Wamachinga wanakuza uchumi wa China
Mkuu ungelijua kuwa machinga wanasaidia sana kupunguza makali ya inflation usingekuwa na makasiriko namna hii
 
Nchi ina laana hii. Haya mabanda ndiyo rais anasifiwa? Nadhani tuko kwenye hali mbaya sana.
Hayo mabanda yanawawezesha vijana wajasiriamali kuhudumia familia zao na kuchangia pato la Taifa.

Sometimes we need to be appreciative kwa vichache vinavyoonekana
 
Hayo mabanda yanawawezesha vijana wajasiriamali kuhudumia familia zao na kuchangia pato la Taifa.

Sometimes we need to be appreciative kwa vichache vinavyoonekana
Uko good sana aisee
 
Mkuu, huogopi kukasirisha watu fulani hv?!!!!
Mkuu
Nilishaweka hapo juu wapo watakaoshangazwa.

Ninapoona wananchi ni wanufaika wa moja kwa moja na huduma za serikali hapo lazima nioneshe shukran kwa serikali.

Tunawapambania wananchi na siyo matumbo yetu
 
Ahhahahahha mimi dodoma hapana nitabaki dar
Miafrika ndivyo tulivyo.
Hatutaki kuhangaisha akili zetu. Ndio maana dar imejaa uswazi kwa sababu ya kila mtu kukimbilia dar,. Dodoma ni mji unaojengeka na baada ya miaka 10 ijayo utajuta kusema maneno yako. Kuwa na miji mingi mikubwa kunaifanya dar ipumue na hata kujengeka vizuri zaidi maana influx ya watu kukimbilia huko itapungua kwa sababu ya uwepo wa majiji mengine yenye huduma muhimu zinazolinga au kukaribiana na huduma zinazopatikana dar.
 
Asante kwa kutujuza. Pongezi nyingi kwa waliobuni wazo, ku finance na kusimamia ujenzi. Maendeleo hayana chama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ