Soko la mapenzi limekuwaje, mbona halieleweki kabisa?

Ngono sasa hivi imekuwa cheap sana siku hizi wanawake wengi ni malaya indirect hasa hawa wa mitaani mitandao na simu zimerahisisha upatikanaji wa mbususu
Me nadhani zamani ilikuwa rahisi zaidi maana mitandao ilikuwa hamna
Unaweza chapa sehemu 20 na hawajuani
 
Kuna shida mahali, hata nyie ke wenyewe mjitathmini
 
Well wanawake wa kipindi hiki mmeweka standard za juu wkt mna offer kidogo sana kwenye maisha ya mwanaume
So wanaume baada ya ku suffer muda mrefu wameona wawaachie standards zenu mpambane nazo
Wengi wame give up
Sasa wanawake wa zamani walikua wana offer nini ambacho sisi hatutoi, semeni mueleweke...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…