Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Ngono sasa hivi imekuwa cheap sana siku hizi wanawake wengi ni malaya indirect hasa hawa wa mitaani mitandao na simu zimerahisisha upatikanaji wa mbususuEnzi za Mama yako, wanawake walikuwa 3 au?
Kwa mdomo huo, utaendelea kutusaka kwa tochi.We ushajiuliza kwanini wanawake wanakuzingatia?!
Huyo uliemzaa utamsaidiaje mbeleni labda??Sasa tunazalisha tu tunaongeza idadi ya singo maza wanawake wazururaji madanga na walevi...
If you can get milk for free, Why buy the cow...????
Me nadhani zamani ilikuwa rahisi zaidi maana mitandao ilikuwa hamnaNgono sasa hivi imekuwa cheap sana siku hizi wanawake wengi ni malaya indirect hasa hawa wa mitaani mitandao na simu zimerahisisha upatikanaji wa mbususu
Kuna shida mahali, hata nyie ke wenyewe mjitathminiKwani soko la mapenzi limeingia mchanga au limevaa ndondo cup
Skuhizi bwana mpaka umpate mwanaume anakutongoza, nenda kanisani ukatoe sadaka kabisa
Ukipata hata mwanaume anakupeleka kwake ushukuru Mungu
Ukipata mwanaume anakununulia hata maji ya kunwa basi nenda Kwa Yatima Katie sadaka
Wanaume kama hao waliotajwa Kwa sasa NI rare editions
Yani wanawake sahivi tumepaukaa, tunamavumbiiii, tumechoookaaa kuliko hata wanakawa WA zamani
Wakowapi wanaume WA kuwa take care wanawake kizazi hiki??
Hiki kilio cha wanawake kuteseka kitaisha lini??
Alisikika mlevi mmoja kariakoo akiongea Kwa uchungu, baada ya saa za kazi, huku machoI na makamasi yakimtoka
Sasa WA kumlaumu Nani?!
1. Vikoba
2. Marejesho
3. Kizazi cha sasa
4. Malika WA nguvu??
Hamna picha Kwa Leo, we tafuta picha yako ya mlevi weka kichwani mwako.
Utakuwa mgeni hukuKwa mdomo huo, utaendelea kutusaka kwa tochi.
Mbona tangu zamani ilikuwa hivo?!Tatizo mmeyageuza mahusiano kuwa kama ajira yenye maslahi manino kuliko ya gavana wa BoT 😀😀😀
Bado hujajibu swali asee?!Kuna shida mahali, hata nyie ke wenyewe mjitathmini
View profile.Utakuwa mgeni huku
Waulize wenzio,
Me Nina wajukuu 10 tayar nakula penshen na kuandika hadithi
Sasa wanawake wa zamani walikua wana offer nini ambacho sisi hatutoi, semeni mueleweke...Well wanawake wa kipindi hiki mmeweka standard za juu wkt mna offer kidogo sana kwenye maisha ya mwanaume
So wanaume baada ya ku suffer muda mrefu wameona wawaachie standards zenu mpambane nazo
Wengi wame give up
Kwani siku hizi kuna wanaojali kujuana kwenye kibunda? Sasa hivi hapa nikishika simu yangu nikidhamiria haifiki saa 4 usiku natombaMe nadhani zamani ilikuwa rahisi zaidi maana mitandao ilikuwa hamna
Unaweza chapa sehemu 20 na hawajuani
Na nimewarahisishia kabisaa majibuSasa wanawake wa zamani walikua wana offer nini ambacho sisi hatutoi, semeni mueleweke...
Sasa wanawake wa zamani walikua wana offer nini ambacho sisi hatutoi, semeni mueleweke...
View profile.
Utakuwa unaishi buzaKwani siku hizi kuna wanaojali kujuana kwenye kibunda? Sasa hivi hapa nikishika simu yangu nikidhamiria haifiki saa 4 usiku natomba
Kwahiyo shida NI pesa?!Tutafute hela tuache kulalamika!