Soko la mapenzi limekuwaje, mbona halieleweki kabisa?

Wanaume tumegundua kuwa kukulana hivyo sio dili...hatuhongi tena
 
Ukiona hivyo ujue umeshazeeka na kuchoka, upo 30+, wanawake wanaotongozwa na kuhudumiwa bado wapo, hatuwezi kuhamgaika na skrepa used, tunataka vibinti vibichi tufaidi utamu wao.
 
Wanawake WA zamani wangepata exposure kama wanazopata WA sasa nadhani realistic standard zingekuwa the same don't you think??
Hao wanawake wa zamani wapo mpaka sasa ni wamama, na teknolojia ya mitandao wanaishihudia, lakini hawana mambo ya kipumbavu kama wanawake wa sasahivi.
 
Ukiona hivyo ujue umeshazeeka na kuchoka, upo 30+, wanawake wanaotongozwa na kuhudumiwa bado wapo, hatuwezi kuhamgaika na skrepa used, tunataka vibinti vibichi tufaidi utamu wao.
Ivi unajua wanawake WA Miaka 35 -48 wanatongozwa na wanaume wengi Sana na WA maana kuliko hawa WA Miaka 20 mpaka 30?
Sijui kwanini mnadanganyana huku mtaani
 
Hao wanawake wa zamani wapo mpaka sasa ni wamama, na teknolojia ya mitandao wanaishihudia, lakini hawana mambo ya kipumbavu kama wanawake wa sasahivi.
Ya kipumbavu yapi?.
Sasa Una mkasirikia Nani Kwan tulikwambia uzaliwe Leo?
 
Njuruku ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…