Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
-
- #21
Dah, basi tuna viongozi wa ajabu sana. Wanaona bora miaka kumi ipite hivihivi! Ndiyo maana watu huhusisha kuungua kwa masoko na hujuma.Soko la Mbeya lipo eneo ambalo viongozi wanalitaka na ndicho chanzo cha kutojengwa.
Sizungumzii soko la Mwanjelwa. Nazungumzia soko la mjini kati.mkuu ivi umeshawah kwenda kusurvey pale ? naongelea pale pale na sio kariakoo nzima...mkuu uje ufananishe na mwanjelwa kweli ?
mjin kati na mwanjelwa yapo sawa tu huwez fananisha na kariakoo...kariakoo wateja wengi sana daslama population kubwa sana mkuuSizungumzii soko la Mwanjelwa. Nazungumzia soko la mjini kati.
Kuifananisha Mbeya na Dar nacho ni kipaji. Mambo mengine hata kwa akili ya kawaida tu hayaendani.Hii imakaaje. Ni kwamba serikali inafanya miradi yake kwa upendeleo?
Nafananisha masoko siyo miji. Mnapenda sana ligi za miji. Nazungumzia soko la Kariakoo lililoungua na soko kuu la mjini Mbeya.Kuifananisha Mbeya na Dar nacho ni kipaji. Mambo mengine hata kwa akili ya kawaida tu hayaendani.
Hivi lile jengo lililoungua lilikuwa na wafanyabiashara wa aina gani? Ni bidhaa gani hasa zilikuwa zinauzwa?mjin kati na mwanjelwa yapo sawa tu huwez fananisha na kariakoo...kariakoo wateja wengi sana daslama population kubwa sana mkuu
Acha hizo wewe,hujui kule ni Dar,unafikiri usipojenga lile hayo mazao ya huko uliko yatauziwa wapi,lengo ni kukusaidia wewe huko ili ukilima mazao yako upate soko...!Hii imakaaje. Ni kwamba serikali inafanya miradi yake kwa upendeleo?
Hajajua Daslam ndio Tanzaniayan anataka kufananisha mbeya na daslama ?...aisee
mkuu ikifika siku ukaelewa kuna levels na hakuna usawa duniani utapiga hatua...hakuna mkoa wa kufananisha na daslama Tanzania...
kila kitu unachojua wewe kiauzwa mule mfano, unaona pembejeo zote hapa tanzania pale ndio soko kuu, yan iko hivi wewe pale unapaona padogo lakini wafanya biashara wa pale wanatumia kama diplay shops..yan wana migodown yao maeneo ya kariakoo yana mizigo hatari...nasema hivi sababu nna ndugu ameunguliwa duka kkoo na wwkati sina mchongo nlikuwa nashinda shop kwake...mkuu kuna hela pale acha kabisaHivi lile jengo lililoungua lilikuwa na wafanyabiashara wa aina gani? Ni bidhaa gani hasa zilikuwa zinauzwa?
watu huwa hawataki kukubali, wiki tatu zilizopita nlikuwa dodoma, dodoma bado sanaaa, ndio maana hata sasaivi mama samia yupo darHajajua Daslam ndio Tanzania
Makao makuu yamehamia Dodoma lakini kila siku tunagongana na vigogo mitaa ya Dar...
Soko gani unazungumzia wewe uoni hapo Mwanjelwa soko la kisasa tofauti na vile vibanda kabla soko alijaungua?Hii imakaaje. Ni kwamba serikali inafanya miradi yake kwa upendeleo?
Mama wa Pwani yule umpeleke kwenye mavumbi Dodoma? Yani akae karibu na kina Matonya na Ndddu-gay?watu huwa hawataki kukubali, wiki tatu zilizopita nlikuwa dodoma, dodoma bado sanaaa, ndio maana hata sasaivi mama samia yupo dar
Sio atofautishe huyo hata Mbeya yenyewe aijui hakuna soko lililoungua Mbeya alijajengwaUnapaswa ujue kutofautisha mlima na kichuguu...
Lililokua soko kuu.Soko gani unazungumzia wewe uoni hapo Mwanjelwa soko la kisasa tofauti na vile vibanda kabla soko alijaungua?
Mmekwisha elezwa kuwa dar ni Jiji la biashara tz hakuna wa kushinda nalo mapato makubwa ya Kodi ni daslamwatu huwa hawataki kukubali, wiki tatu zilizopita nlikuwa dodoma, dodoma bado sanaaa, ndio maana hata sasaivi mama samia yupo dar
Kumbe lilishajengwa? Kumbe analeta analeta fitna Kariakoo isijengwe?Sio atofautishe huyo hata Mbeya yenyewe aijui hakuna soko lililoungua Mbeya alijajengwa
vijana hawataki kukubali mkuu...hahaMmekwisha elezwa kuwa dar ni Jiji la biashara tz hakuna wa kushinda nalo mapato makubwa ya Kodi ni daslam