Sokomoko la zawadi ya gari ya Rais mstaafu Mwinyi

Kumbuka kwamba anapokea kama pensheni, 80% ya mshahara wa rais aliyepo madarakani kila mwezi!
Hii ni kwa mujibu wa Sheria Na. 2 ya 1999 aliyojitungia B. W. Mkapa.
Kwa mujibu wa Sheria hiyo kila baada ya miaka 5 lazima bunge liipitie upya "kwa madhumuni ya kuiongeza".
 
Inawezekana maana hoja za wanaopinga mzee kupewa kabenzi ni nyepesi mno.
 
Sasa 450 m mbona unaziona si mali kitu wakati 38 m zilikuuma!? Au matumizi ya 38 m yalifanya jambo lisilo na manufaa kwa taifa lakini 450 zimefanya jambo muhimu, zito, la lazima na manufaa kwa taifa!?
Hivi hiyo Milioni 450 mmeipata wapi? Maana mnajibu tuu kama kasuku kila mtu 450 mia nne hamsini. Kama ni mtihani wote si mtakuwa mmefeli?
 
Unauhakika watanzania hawakuhoji? Au genye zimekujaa... watu walipiga kelele kuwa ni rushwa na tena aliendelea hadi uchaguzi ulipokuwa unakaribia jiwe anamwaga tu pesa barabarani wapinzani walipiga kelele... hivi mlikuwa wapi hadi muongee as if watu kuwa walikaa kimya watu hawakumuogopa Meco japo alikuwa anapoteza watu mashujaa walikomaa tu... ukifanya upuuzi mbele za watu utapondwa tu... naomba unyamaze kitendo cha jana ni upuuzi wa kutia hasira.. kama huna pesa fanya yasiyo gharama na kama pesa ipo toa kwa wote
 
Zawadi ya gari ina ubaya gani?
Ingekuwa ya bei rahisi sawa... kumbuka sheria inasemaje kuhusu thamani ya zawadi kwa mtumishi au mtu anayepokea mshahara kutoka serikalini... kuna thamani ikizidi unaikabidhi serikali ukiibeba zako inakuwa Rushwa.
 
Kwahiyo kila mzee wa dar ni Rais mstaafu wa Tanzania?
 
Mbona magufuli aliwajengea Nyumba wastaafu lakini hakuna aliehoji kama pesa imetoka wapi
 
Uzanzibari tu zamani hatukujua kabisa BIRTHDAY ya mwinyi
 
Ona sasa badala ya kujibu swali langu unakuja na mambo ya u team. Pole umeishiwa
Najibu vipi swali lisilokuwa na mantiki yoyote, hilo swali una majibu yake. Kwamba kila mzee wa Dar ni raisi, are you outta mind mkuu? Siku nyingine njoo na swali...utajibiwa!!
 
Yaan mambo mengine yana umiza mioyo ya wananchi ila basi tu.
Fanyen kazi,somesheni watoto zenu waje kula cake ya Taifa, porojo zingine hazina msingi, milion 450 kwa serikali ni sawa na buku jero tu kumnunulia zawadi mzee wetu mwinyi
 
Mbona leo sisikii ooh MATAGA
Hili MATAGA wanalifurahia kwa vile limeudhi wengi.
Kwao ni kama kumsukuma mlevi!

Its shocking jinsi wandaaji wa shughuli ya Mwinyi , Ofisi ya Ikulu pamoja na Wizara ya Michezo wasivyiweza kuona the bigger picture.
 
Najibu vipi swali lisilokuwa na mantiki yoyote, hilo swali una majibu yake. Kwamba kila mzee wa Dar ni raisi, are you outta mind mkuu? Siku nyingine njoo na swali...utajibiwa!!
Sasa mnakosea mnapomlinganisha mzee mwinyi na kila mzee wa dar. Hilo swali nilikuuliza ili kichwa chako kifunguke uweze kuelewa hoja yangu.
 
Sasa mnakosea mnapomlinganisha mzee mwinyi na kila mzee wa dar. Hilo swali nilikuuliza ili kichwa chako kifunguke uweze kuelewa hoja yangu.
@Waterloo,
Nakuheshimu sana mkuu, Ila hapo hakuna hoja. Jaribu kufikiria tena kwamba je, mzee Mwinyi kweli alihitaji hiyo zawadi wakati tunaambiwa taifa linapitia kipindi kigumu hata kushindwa kuongeza watu mishahara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…