Leo Arusha ndiyo wametia aibu ya mwaka kwa kufunga shule na kuwaamuru wanafunzi woote kuvaa nguo za nyumbani ili waende kuujaza uwanja wa sheikh Amri AbeidTupo kwenye utawala wa kipumbavu sana
Wanajaribu kuona reaction ya watu ili waone watakavyowathibuti tarehe 28.
Wajaribu waone mziki wake yaani tutachoma magari na vituo vya police vyote wakileta uchokozi....
Tupo kwenye utawala wa kipumbavu sana
Wanajaribu kuona reaction ya watu ili waone watakavyowathibuti tarehe 28.
Wajaribu waone mziki wake yaani tutachoma magari na vituo vya police vyote wakileta uchokozi....
Ndio maana wapo tayari kufanya mambo ya aibu kama njia ya kujitetea.Leo Arusha ndiyo wametia aibu ya mwaka kwa kufunga shule na kuwaamuru wanafunzi woote kuvaa nguo za nyumbani ili waende kuujaza uwanja wa sheikh Amri Abeid
Wanatia hasira na aibu sanaNdio maana wapo tayari kufanya mambo ya aibu kama njia ya kujitetea.
Sababu ya mabomu na bunduki nini wakati nchi iko kwenye kampeni?
Na ubabe wa Mkapa
Wewe ndio Rais wetu tulia wala usijali(Nahisi polisi yule alimwambia hivyo)Nimejifunza jambo
. Polisi wetu hawana tatizo na TAL,ila wanamfurahisha mtu fulani. Kuna jambo waliongea na Lissu,wakatabasamu wote
.Kuna kura nyingi za TAL kutoka kwa wanausalama
.Ongezea ulichoona/jifunza
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]eti kwasababu ya joto na keleleInawezekana yalilipuka kwa bahati mbaya sababu ya joto na kelele.
Samia aliposimama Kinambeu alikuwa na ratiba ya kusimama pale..?Hapa CDM wamesimama kimakosa wamekuwa na ratiba ndefu Leo wanasimama sehemu amapo hakukuwa na ratiba
Leo yuko wapi ?!Na ubabe wa Mkapa
Shida sio wagombea wote kusimama shida ni Mazingira yanaonekana sio rafiki na CHADEMA mbele ya Vyombo vya dola.Mbona wagombea wote wamekuwa wakisimama?
Najua si tatizo kwa Sasa CDM wajiepushe na matukio yasio ya lazima ambayo mengine yatapelekea wapiga kura kuwa ndani au majeruhi siku ya kupiga kuraKUSIMAMA SIYO TATIZO TATIZO NI KWAMBA NANI ALIKUWA NA RATIBA YA HAPO,JE KULIKUWA NA MGOMBEA YEYOTE WA RATIBA YA HAPO