Ahsante kwa somo mkuu, tatizo LA nguvu za kiume siku hizi limekua kubwa kuliko nguvu za Giza, sasa vinabust mambo yetu?
Kwa wanawake ukitumia swaumu 3+juice ya lemon 1+ 1tbsp of honey+ half cup of water..blend pamoja na unywe kwa week mara 2-3..magonjwa yetu yale utayasikia kwa jirani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo huiamini??Unajua siku hizi kuna zile dawa zinatangazwa inatibu kila kitu, naziogopa sana. Najiuliza dawa moja inatoa sumu, inapunguza mafuta, inaongeza hamu ya kula, inaweka sawa mfumo wote wa mwili, inatibu kisukari, shinikizo la damu, inaongeza nguvu na hamu kwa wanandoa, inaondoa VITAMBI...orodha ni ndefu
Unajua siku hizi kuna zile dawa zinatangazwa inatibu kila kitu, naziogopa sana. Najiuliza dawa moja inatoa sumu, inapunguza mafuta, inaongeza hamu ya kula, inaweka sawa mfumo wote wa mwili, inatibu kisukari, shinikizo la damu, inaongeza nguvu na hamu kwa wanandoa, inaondoa VITAMBI...orodha ni ndefu
Duuuh!!! Nguvu za baba ndiyo zipi?? Zinakaa wapi kwenye mwili wa baba??Sana na kuboresha ngufu sa baba
Jr[emoji769]
Duuuh!!! Nguvu za baba ndiyo zipi?? Zinakaa wapi kwenye mwili wa baba??
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1545][emoji1545][emoji1545] Asante sana kama imekuwa ua msaada kwakoKaka Mshana Jr hii post ina mzuka sana,yaani nimesoma mwanzo mpaka hapa na bado nasubiria michango mingine. Big up bro
usitamani hivo.kuna ma agent wa shetani.nephilim.mpaka leo wamo humu.Siku ya ufufuko wa wote.. Natamani kila mmoja jina lake liwepo kwenye kitabu cha uzima
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]usitamani hivo.kuna ma agent wa shetani.nephilim.mpaka leo wamo humu.
Yaani waliumbwa na shetani mwenyewe ili kuleta shida Duniani.maarufu km
Synegougue of satan.walikuwepo. Wapo lkn hawatakuwepo
Mchawi hana akili ukishajua codes zake.
huwa tunakutana na shida kama hizi kusumbuliwa na wanga na wachawi nyakati za usiku na hata makazini, hii kitunguu saumu ni kinga
Katika mimea ipo nguvu za uponyaji wa kiroho na kimwili.Kivumbasi ni kiboko ya nguvu za giza.Shida ni upotoshaji wa matangazo.. Lakini vyakula na mimea vina tiba ya magonjwa mengi sana....
Jr[emoji769]