Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Hakuna la kujifunza hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... naam; na hata sio wawili tena bali wamekuwa mwili mmoja! Hiyo ndoa tafsiri sahihi ya ndoa! Kama unaweza kuwa mwili mmoja na mama yako hayo yenu sasa!Ww jamaa mbona siku hizi una andika chenga.
Yaani nimpende mke ambaye tumekutana ukubwani na ambaye kesho ataniacha na kwenda kwa mwanaume mwingine kuliko mama yangu aliye nizaa ,kunishomesha na kunipa maarifa?
Mke na mama kila mtu atapedwa kwa nafasi yake lakini mama ana nafasi zaidi ya mara kumi mbele mke wangu.
Katika ulimwengu huu hakuna kitu chenye thamani kama mama na baba yako chochote utakacho kifanya hilo unatakiwa kulitambua.
Wazazi wana thamani kuliko hata watoto wako.
Utazaa na sabuniKATAA NDOA
NDOA NI UJAMBAZI
Mkuu mbona unachekesha hakuna Sheria yeyote inayo mpangia mtu ni vipi atumie pesa yake na ndio maana ww tangu umezaliwa na kujua kutafuta pesa serikali haijawahi kukufuata na kukuuliza ni vipi unatumia pesa yako kunufaisha familia yako.Binafsi nadhani kesi hii imejaa porojo mitandaoni kuliko UHALISIA wa kisheria
Hata mimi binafsi sheria hii ya kugawana mali pasu kwa pasu baada ya talaka bila kuangalia mchango wa kila muhusika inanikwaza sana
Lakini watu tunapaswa kujua kwamba hili ni TAKWA la kisheria na sio maamuzi au utashi wa mtu..... na takwa hili haliwezi kukwepwa kijanja janja
Kisheria mali zote zinazo chumwa ndani ya ndoa na wanandoa ni zenu wote
Sasa swala la kuchukua mali za wote na kuanza kumpa mama yako kinyemela lina ukakasi kisheria..... na sisitiza KISHERIA na sio kiutashi
Sidhani kama sheria zinaweza kuacha loops za kijinga kiasi hicho cha kumilikisha mali za pamoja kwa mtu mwingine bila ridhaa yenu wote
Ninachojua mimi hii bado ni hadithi za kusadikika kwasababu kisheria hapo mahakama itaamuru hesabu ya mapato yenu itatoa matumizi na kiasi kilichobaki kitatakiwa kugawanywa
Sasa kama ulimpa nani sijui hiyo utajua wewe
Utatakiwa kutoa hilo gawio
DuhKATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
NDOA NI WIZI
NDOA NI BIASHARA YA UTUMWA
KATAA NDOA
Lina ukomo wa matumizi.Labda,uamue kulipinduapindua kwa hadaa tu.Binti WA watu Mkuu. Nikimaanisha mtoto wa kike wa Watu.
Kuna mahala hujaelewa mkuu, rudi usome tena. Jamaa kaeleza kuwa "ni ngumu kugawa mali zilizoandikwa jina la mtu mwingine" neno ni ngumu ndio lina uzito hapa. Yaana mahakama inakosa ushahidi wa moja kwa moja kuwa hii mali ni ya wana ndoa.
- Wakili, umezungumzia Kuhusu kuandikisha Mali Kwa majina ya wengine eg Mama Ake Hakimi, na kusema kuwa Hana Mali yoyote (Hakimi), hiyo mahakama iliyoamua Hilo shauri ilitakiwa ijiulize inawezekana vipi mtu mwenye kipato Cha zaidi ya Bilioni 2 asiwe na Mali yoyote? Tuseme alikuwa anatumia zote? Mahakama ilitakiwa ijiulize Mama Hakimi ameweza vipi kumiliki ukwasi wa kutisha i.e hizo Mali kama Nyumba? , Mama Hakimi analipwa Bilioni ngapi , Hadi aweze kumiliki hizo Mali?, Mahakama ilitakiwa itoe amri kwa Hakimi atoe matunzo Kwa mke wake
- Hapo Hakimi ametumia false pretense.
Hili mbona lilishaamuliwa na mahakama kuwa, kwakua Hakimi hana kitu, basi bibie anawajibika kulipa gharama zote za mahakama na baadae mahakama itaangalia kqma sheria itaruhusu kugawa mali za bibieKwann atoe matunzo Kwa mtalaka??
Hivi Kama mke WA hakimi ana Mali je wanaruhusiwa kugawana na mumewe baada ya taraka
Sent using Jamii Forums mobile app