UP TO DATE
JF-Expert Member
- Apr 20, 2021
- 740
- 903
Moto mkubwa nao ulianza Kama cheche, wafutwe na wasirudishwe Tena kazini...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du!! Ajira zenyewe ngumu mura.Septemba 15 askari Polisi wa Tanzania waliingia Malawi kinyume cha sheria wakimfukuza bodaboda waliyedhani amebeba biashara ya magendo ambapo walipoingia Malawi walipigwa mawe na wamalawi na kuokolewa na Polisi wa Malawi
Askari 7 wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamefukuzwa kazi kwa kosa la kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi wakiwa na mavazi ya kijeshi na silaha za moto kinyume na taratibu za kijeshi
Kamanda wa Polisi Mkoani Songwe Janeth Magomi amethibitisha tukio hilo
CCM ndio imewafanya wawe watumwa maskini jamani na wanawatumia Kama makondom. Wakisikia kongamano la Chadema kudai KATIBA mpya mnakwenda kuwapiga ili Hali KATIBA mpya ingewasaidia kuboresha maslahi na utu wenu. Ona Sasa mmefukuzwa kazi na Mkoloni wenu mtajutaa.Ata katika biblia waliambiwa watosheke na mishahara yao, hawa jamaa wakiona pesa akili wanaweza kuziacha popote
HIYO ni PGO Mkuu ya Kingai ngai na Mahita, uliza swali jingine mkuuDu!! Ajira zenyewe ngumu mura.
ANAEJUA MAANA YA ALAMA IYO YA KUSHOTO, SIMU IYOView attachment 1947517
Umewasha data saving modeDu!! Ajira zenyewe ngumu mura.
ANAEJUA MAANA YA ALAMA IYO YA KUSHOTO, SIMU IYOView attachment 1947517
Da kidogo tu umeingizia dukuduku lako mwanangu, si polisi wa Tanzania tu hata wakati wa Biblia walikuwa hivyo hiyo ndiyo hoja, maumivu yako hayaingii hapa ndiyo maana hata Bob aliimba bufaloo soja ni hicho hicho. Chadema inawatesa sana.CCM ndio imewafanya wawe watumwa maskini jamani na wanawatumia Kama makondom. Wakisikia kongamano la Chadema kudai KATIBA mpya mnakwenda kuwapiga ili Hali KATIBA mpya ingewasaidia kuboresha maslahi na utu wenu. Ona Sasa mmefukuzwa kazi na Mkoloni wenu mtajutaa.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Hv hao jamaa hawasomagi hilo dubwasha linaitwa PGO!!??Imeisha hio.
PGO number 290
hahaahaa mbona mara kibao tu kitimoto anatoa michango yake naona now kaongeza speed ya F120 km per hour!Leo umetoa maoni?😝😝😝😝😝
Lakin pia pongez kwa wananch wa malawi sio mazombi. Kitendo cha kuwatwanga hao vilaza walioingia kwako ni cha kizalendo na kujielewa..Hii ndio taarifa mpya kutoka kwenye Jeshi la Polisi Tanzania , Idadi ya Polisi waliofutwa kazi ni 7
Siku chache zilizopita tuliripoti tukio la Polisi wa Ileje kushambuliwa nchini Malawi na magari yao kuharibiwa baada raia wa Malawi kupinga askari wageni kuvamia nchi yao
Hii ni wiki ngumu sana kwa Polisi , huku haya yakitokea kule kwingine kuna PGO !
Hicho ki alama maana yake umeweka data limit, na kikiwepo hcho huwez haTA kushare hotspot yako kwa mtu mwingine.Du!! Ajira zenyewe ngumu mura.
ANAEJUA MAANA YA ALAMA IYO YA KUSHOTO, SIMU IYOView attachment 1947517