Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Kama GPO haikuwa inazingatiwa inamaana hakina Kingai na wenzake itabidi wafukuzwe Jeshi la Polisi kama wale Askari wa IlejeHii ni ishara mbaya kwa kina kingai, hawa hawakufuata GPO kama wao, ngoja jeshi lijithibitishie baada ya maamuzi ya jaji kwamba GPO haikuwa inazingatiwa