PGO ndio nini wakuu?
Police General Order, ni muongozo wenye taratibu za utendaji kazi wa policePGO ndio nini wakuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PGO ndio nini wakuu?
Police General Order, ni muongozo wenye taratibu za utendaji kazi wa policePGO ndio nini wakuu?
PGO ni kielelezo (mfano) mmoja tu wa uozo ulioenea kila sehemu serikalini!Hii ndio taarifa mpya kutoka kwenye Jeshi la Polisi Tanzania , Idadi ya Polisi waliofutwa kazi ni 7
Siku chache zilizopita tuliripoti tukio la Polisi wa Ileje kushambuliwa nchini Malawi na magari yao kuharibiwa baada raia wa Malawi kupinga askari wageni kuvamia nchi yao.
Hii ni wiki ngumu sana kwa Polisi, huku haya yakitokea kule kwingine kuna PGO!
changamotoHapo wanakuja kukimbizana na pension nssf mpaka buti linatoboka mwisho wa siku anaingia kitaa kupiga roba wapita njia.
round hii lazima wakatoe hata photocopy sio Kwa mishale hiih
Hawawezi kusoma lugha iliyotumika "English" hawaielewiround hii lazima wakatoe hata photocopy sio Kwa mishale hii
Na huko CCM ndiko uozo ulioenea sehemu zote unakoanzia.Huenda walipewa maagizo na makada wa CCM
Mkuu hawa ni wale waliofeli O level hawajui hata PGOs wanayotakiwa kufanya kazi nazo kila siku sembuse mipaka ya nchi yetu.
Hii kesi inayoendelea wataloweka miguu kwenye makarai usiku ili waanze kukariri PGO maana wameshaona wanakoenda siko.Tukiwaambia wawe wanajisomea PGO mara kwa mara wao wanakuwa wabishi.
Ipo tafsiri yake ya kiswahili ila tatizo ni kutojua kusoma vilivyo na kuelewaHawawezi kusoma lugha iliyotumika "English" hawaielewi
Kwanini usingeenda kupambania nchi over hao polisi?!Lakin pia pongez kwa wananch wa malawi sio mazombi. Kitendo cha kuwatwanga hao vilaza walioingia kwako ni cha kizalendo na kujielewa..
Njoo sasa huku kwetu kwa mazombi, kule Tarime one time police wakenya walivuka mpaka kuwakamata boda boda waliokuwa wanavuka mpaka kwenda Kenyaa..
Mazombi ya tz yakawa yanasema tu mbona wamevuka mpaka..mbona wanawashika..alaf yamekaa tu kutazama..
Vichwa wa wabongo vimejaa simba na yanga tu..shwaini
Au limeandikwa kwa kithungu, jana kuna mtu nafanya nipo nae ofisini akawa ananiambia anahangaikia mdogo wake alikuwa jkt ili aingie polisi lakini wamemkataa eti ana dibision 3 wanataka 4 ya 28,nikasema kweli PGO itaendelea kuwa msamiatiHv hao jamaa hawasomagi hilo dubwasha linaitwa PGO!!??
What is iyo?Du!! Ajira zenyewe ngumu mura.
ANAEJUA MAANA YA ALAMA IYO YA KUSHOTO, SIMU IYOView attachment 1947517
Piga Gwaride Ondoka zako!PGO ndio nini wakuu?
Yaani SIRO ameharibu jeshi la polisi hadi ina fika mahali hata RPC hajui PGO ina mtaka askari kufanya kitu gani na ni kitu gani hstahili kufanya. Bado Mama Samia haoni huo uozoHii ndio taarifa mpya kutoka kwenye Jeshi la Polisi Tanzania , Idadi ya Polisi waliofutwa kazi ni 7
Siku chache zilizopita tuliripoti tukio la Polisi wa Ileje kushambuliwa nchini Malawi na magari yao kuharibiwa baada raia wa Malawi kupinga askari wageni kuvamia nchi yao.
Hii ni wiki ngumu sana kwa Polisi, huku haya yakitokea kule kwingine kuna PGO!