Evelyn Salt upo?Waje mtaani kujiajiri.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Evelyn Salt upo?Waje mtaani kujiajiri.....
Mkuu umetukuka kwa uchambuzi, samahani Be Daudi PGO ni nini?Tukiwaambia wawe wanajisomea PGO mara kwa mara wao wanakuwa wabishi.
walifundishwa lakini si unajua policcm wapenda rushwa ? inasemwa walienda kumkamata mtu huko nchi jiraniHawakufundishwa kanuni na matumizi ya mavazi na silaha?
🤣Labda walikua doria
Du....kweli Polisi wana matatizo.Polisi wetu nilidhani hawajui vitu vikubwa kama vifungu vya PGO, kumbe hata vidogo kama hicho cha kufanya kazi nje ya mipaka ya nchi yao hawavijui?
Hawa vilaza sasa wataligharimu taifa.
Data saving mode. Itakuwa ni Oppo hiiDu!! Ajira zenyewe ngumu mura.
ANAEJUA MAANA YA ALAMA IYO YA KUSHOTO, SIMU IYOView attachment 1947517
Tatizo hawaijui PGO...Kila kitu kimeandikwa kwenye PGOalafu bado vijan wadogo ...karibuni uraiani
Naona aibu mimiPolisi wetu nilidhani hawajui vitu vikubwa kama vifungu vya PGO, kumbe hata vidogo kama hicho cha kufanya kazi nje ya mipaka ya nchi yao hawavijui?
Hawa vilaza sasa wataligharimu taifa.
Huenda walipewa maagizo na makada wa CCMHao askari polisi hawakusoma PGO kabla ya kuvamia huko malawi?
CCM ndio imewafanya wawe watumwa maskini jamani na wanawatumia Kama makondom. Wakisikia kongamano la Chadema kudai KATIBA mpya mnakwenda kuwapiga ili Hali KATIBA mpya ingewasaidia kuboresha maslahi na utu wenu. Ona Sasa mmefukuzwa kazi na Mkoloni wenu mtajutaa.
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Hawa ni wadogo PGO hawawezi kuifahamu, wanaoifahamu ni hakina Inspekta Mahita lakini naye anashangaa kila kitu kilichoelekezwa kwenye PGO naye hajui.PGO ndio tuliambiwa huwa hawasomi, Kibatala knows better
Polisi ni Civilians in uniform.... Inshort ni raia wakakamavuDu....kweli Polisi wana matatizo.
Security personnel kuingia hata inchi moja nchi ya jirani ni sababu tosha kuanzisha vita mpakani.
CCP Moshi wanafundishwa nini?
Kuna mtu kawalinganisha Polisi sasa hivi na mgambo, hakukosea.