Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa Majaji wakiitupilia mbali, Jumba lile linajitoa toaje?wale wakifanywa kitu naacha kutumia JF, tukio la mbowe lina baraka za jumba lile
wale hawanaga aibu,yani kesi itaishia tu huko mahakamani kama ma judge wataitupilia mbali na maisha yataendeleasasa Majaji wakiitupilia mbali, Jumba lile linajitoa toaje?
Wamewaonea. Wa kufukuzwa ni Siro. Kwa nini Polisi wake hawajui taratibu za kipolisi (PGO) wanapotimiza wajibu wao? Je, wanafumdishwa na kuoimwa kuona kama wameelewa? Au polisi hawafundishiki, ikiashiria hawana akili ya kuelewa hata wakifundishwa?Septemba 15 askari Polisi wa Tanzania waliingia Malawi kinyume cha sheria wakimfukuza bodaboda waliyedhani amebeba biashara ya magendo ambapo walipoingia Malawi walipigwa mawe na wamalawi na kuokolewa na Polisi wa Malawi
Askari 7 wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamefukuzwa kazi kwa kosa la kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi wakiwa na mavazi ya kijeshi na silaha za moto kinyume na taratibu za kijeshi
Kamanda wa Polisi Mkoani Songwe Janeth Magomi amethibitisha tukio hilo
Pia soma: Polisi wa Tanzania wanasa Malawi wakifuatilia wahalifu
Siro mwenyewe haijui PGO, sembuse hao makanyagio!!Imeisha hio.
PGO number 290
Labda walikua doria
Ni tatizo la malezi. Polisi wameaminishwa kuwa wao wanaweza kufanya chochote, hata kuua bila ya kuhojiwa na yeyoteHv hao jamaa hawasomagi hilo dubwasha linaitwa PGO!!??
Yule mnyiramba ni tapeli wa kisiasaHii kazi alipewa Mhe. Mwiguli kipindi cha JPM sijui aliishia wapi
Police General Order.Mkuu umetukuka kwa uchambuzi, samahani Be Daudi PGO ni nini?
Tukisema mafunzo wanayopitia yana mapungufu wanajigamba ati mtaala wa Polisi Tanzania hakupo mahali pengine duniani kila nchi inaushangaa ulivyo mzuri!!!🤣🤣Askari 7 wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani Songwe wamefukuzwa kazi kwa kosa la kuvuka mpaka na kuingia nchini Malawi wakiwa na mavazi ya kijeshi na silaha za moto kinyume na taratibu za kijeshi
Itakua tunapishana mi nipo sana nduguNjema kabisa. Ulipotea kurusha madini humu au Mimi ndiye sijui ku search
Huwezi kuwaonaCcm wateteen wanachama wenu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Yule jamaa aliyekimbilia Malawi akisikia atacheka sana