igogondwa
JF-Expert Member
- Aug 1, 2021
- 2,597
- 3,373
Ndiyo uvuke mpaka?Labda walikua doria
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo uvuke mpaka?Labda walikua doria
Hawasomi PGO, wanafanya kazi kwa mazoeaAskari wetu wanapaswa kuboreshewa mafunzo. Wana matatizo mengi
Ipo ya Kiswahili.Nadhani PGO ziandikwe kwa kiswahili ili hawa vilaza wajue kilichoandikwa
Hujui kwa askari kuvuka mpaka ukiwa umevaa uniform na silaha juu bila taarifa yoyote inatafsiriwa kama uvamizi kwenye nchi ya watu?hiyo adhabu ni stahiki kwao kabisa.Hii adhabu ni kubwa sana , ni Bora wasingelipa mshahara hata mwaka mzima, huku wakiendelea na majukumu yao
[emoji3166][emoji3166][emoji3166] tungewasamehe sababu ni policcmHujui kwa askari kuvuka mpaka ukiwa umevaa uniform na silaha juu bila taarifa yoyote inatafsiriwa kama uvamizi kwenye nchi ya watu?hiyo adhabu ni stahiki kwao kabisa.
Ni kutelekeza na wala si kutekeleza... halafu mbona mnatuchanganya mara kule wanatuambia AK47 huku wewe watuambia SMG, which is which?21 SEPTEMBER 2021
ILEJE, SONGWE
TANZANIA
ASKARI WA POLISI WATANZANIA WALIOINGIA MALAWI WAFUTWA KAZI, PIA WALIKIMBIA NA KUTEKELEZA SILAHA ZAO
WALIKUWA KATIKA OPERESHENI AMBAYO HAIKUFUATA KANUNI ZA GPO
Askari 7 wa kituo cha Polisi cha Ileje bila kutoa taarifa kokote wala kibali cha IGP wa Tanzania waliingia katika nchi ya Malawi wilaya Chitipa wakidai kufukuzia magendo wakiwa na silaha 2 za SMG kila mmoja ikiwa na risasi 30 na gari moja la jeshi la Polisi la Tanzania.
Kufuatia kitendo hicho walikumbana na wananchi wa wenye hasira kali Malawi kupelekea askari polisi 4 kukamatwa pamoja na silaha mbili, risasi 60 na gari la polisi lenye usajili PT kushikiliwa nchini Malawi.
Askari hawa kwa kushindwa kufuata sheria ya utekelezaji kazi, kupata ruhusa, kutumwa / kupewa idhini halali toka ofisa wa Cheo cha juu kama zilizoainishwa na kanuni za GPO (general police orders), jeshi la Polisi kupitia mkuu wa Polisi mkoa wa Songwe amewafukuza kazi askari kwa kudhalilisha Jeshi la Polisi na pia kuifedhehesha nchi kwa vitendo vyao kufanya kazi bila kufuata GPO zinavyotaka.
Source : MATUKIO DAIMA TV
Hiyo GPO ndi and kitu gani bossBado madogo wale,tamaa ya hela imewaponza,lakini warudi uraiani wajipange upya,wanaweza wakaja wakatusua kinoma kwa miaka ijayo.
Kila la kheri,na pole kwao.
Wale wa sayansi wakasomee hata udaktari na kazi nyingine,wale waliojua ujasiriamali,wakomae,watatusua,hiyo ni ajali kazini.Ila GPO ni kisanga kwa hawa ndugu.
SIFAHAMU,kusoma kingereza unafaham mkuu
Ndo ile ile mkuuNi kutelekeza na wala si kutekeleza... halafu mbona mnatuchanganya mara kule wanatuambia AK47 huku wewe watuambia SMG, which is which?
Mwenda zake ndo chanzo cha haya aliwapa nguvu sana sasa vichwa vilivimba wameamua waingie malawi kusaka hela za kiwi kama ulivyo sema mwendazakeNeno "FUKUZWA KAZI" ni mara chache sana nimelisikia(tena sikumbuki mara ya mwisho ni lini na ilikuwaje?) Mara nyingi tunasikia "SIMAMISHWA KAZI" Ambapo tafsiri yake yawezekana baadae aliyefukuzwa akarudi kazini...
Lakini awamu hii hawakutaka kulembe,