Songwe: Askari waliovuka mpaka kuingia Malawi kinyume cha sheria wafukuzwa kazi

Songwe: Askari waliovuka mpaka kuingia Malawi kinyume cha sheria wafukuzwa kazi

Oya hio PGO nimegoogle kirefu chake ni Police General Order ina nini mbona kila mtu anaitaja humu?, kuna habari gani kuhusu hilii, nimekua bussy sana
 
Askari wetu wanapaswa kuboreshewa mafunzo. Wana matatizo mengi
Wala sio mafunzo!!hizo ni njaa tu, nchi hii unaweza mtoa askari mkoa wa dar, na akaenda kukufanyia kazi mkoa wa pwani,bila hata wakuu wake kujua kwakuwa tu ameshaona hilo deal lina lipa, likitick powa likibuma matokeo yake ndio hayo!!!yaani 20, 000 ina kupelekea kupoteza kazi!!!
 
21 SEPTEMBER 2021
ILEJE, SONGWE
TANZANIA

ASKARI WA POLISI WATANZANIA WALIOINGIA MALAWI WAFUTWA KAZI, PIA WALIKIMBIA NA KUTEKELEZA SILAHA ZAO





WALIKUWA KATIKA OPERESHENI AMBAYO HAIKUFUATA KANUNI ZA GPO

Askari 7 wa kituo cha Polisi cha Ileje bila kutoa taarifa kokote wala kibali cha IGP wa Tanzania waliingia katika nchi ya Malawi wilaya Chitipa wakidai kufukuzia magendo wakiwa na silaha 2 za SMG kila mmoja ikiwa na risasi 30 na gari moja la jeshi la Polisi la Tanzania.

Kufuatia kitendo hicho walikumbana na wananchi wa wenye hasira kali Malawi kupelekea askari polisi 4 kukamatwa pamoja na silaha mbili, risasi 60 na gari la polisi lenye usajili PT kushikiliwa nchini Malawi.

Askari hawa kwa kushindwa kufuata sheria ya utekelezaji kazi, kupata ruhusa, kutumwa / kupewa idhini halali toka ofisa wa Cheo cha juu kama zilizoainishwa na kanuni za GPO (general police orders), jeshi la Polisi kupitia mkuu wa Polisi mkoa wa Songwe amewafukuza kazi askari kwa kudhalilisha Jeshi la Polisi na pia kuifedhehesha nchi kwa vitendo vyao kufanya kazi bila kufuata GPO zinavyotaka.

Source : MATUKIO DAIMA TV
 
Bado madogo wale,tamaa ya hela imewaponza,lakini warudi uraiani wajipange upya,wanaweza wakaja wakatusua kinoma kwa miaka ijayo.
Kila la kheri,na pole kwao.
Wale wa sayansi wakasomee hata udaktari na kazi nyingine,wale waliojua ujasiriamali,wakomae,watatusua,hiyo ni ajali kazini.Ila GPO ni kisanga kwa hawa ndugu.
 
Pia wanatakiwa washtakiwe mahakamani kwa kosa la kuvamia nchi nyingine huru!
 
Bado madogo wale,tamaa ya hela imewaponza,lakini warudi uraiani wajipange upya,wanaweza wakaja wakatusua kinoma kwa miaka ijayo. Kila la kheri,na pole kwao. Wale wa sayansi wakasomee hata udaktari na kazi nyingine,wale waliojua ujasiriamali,wakomae,watatusua,hiyo ni ajali kazini.Ila GPO ni kisanga kwa hawa ndugu.
Bado madogo wale,tamaa ya hela imewaponza,lakini warudi uraiani wajipange upya,wanaweza wakaja wakatusua kinoma kwa miaka ijayo. Kila la kheri,na pole kwao. Wale wa sayansi wakasomee hata udaktari na kazi nyingine,wale waliojua ujasiriamali,wakomae,watatusua,hiyo ni ajali kazini.Ila GPO ni kisanga kwa hawa ndugu.
21 SEPTEMBER 2021 ILEJE, SONGWE TANZANIA Askari 7 wa kituo cha Polisi cha Ileje bila kutoa taarifa kokote wala kibali cha IGP wa Tanzania waliingia katika nchi ya Malawi wilaya Chitika wakidai kufukuzia magendo wakiwa na silaha 2 za SMG kila mmoja ikiwa na risasi 30 na gari moja la jeshi la Polisi la Tanzania. Kufuatia kitendo hicho walikumbana na wananchi wa wenye hasira kali Malawi kupelekea askari polisi 4 kukamatwa pamoja na silaha mbili, risasi 60 na gari la polisi lenye usajili PT kushikiliwa nchini Malawi. Askari hawa kwa kushindwa kufuata sheria ya utekelezaji kazi, kupata ruhusa, kutumwa / kupewa idhini halali toka ofisa wa Cheo cha juu kama zilizoainishwa na kanuni za GPO (general police orders), jeshi la Polisi kupitia mkuu wa Polisi mkoa wa Songwe amewafukuza kazi askari kwa kudhalilisha Jeshi la Polisi na pia kuifedhehesha nchi kwa vitendo vyao kufanya kazi bila kufuata GPO zinavyotaka. Source : MATUKIO DAIMA TV
 
Kwenye hiyo lists waongezwe Kingai, Mahita na Msemwa. Hawa tumewashuhudia wenyewe hadharani.
 
Hahahhah nimecheka sana eti hawakufuata PGO,kwa hiyo Polisi wameona watoke na usanii huu wa PGO ili tuone kweli PGO inafanya kazi kwa vitendo?
 
21 .09. 2021

Wananchi wa Songwe Tanzania na Chitipa Malawi waongea



Source : Jay TV Songwe
 
Back
Top Bottom